Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23] nakuona bahariaNlianza kuishi maisha baada ya kuajiriwa , tena nlibahatika kupata nyumba ya vyumba wiwili na sebule kubwa,,
Maisha ya upweke sana usiku si vile bado mgeni,, nlivozoea usiku navusha wale madem ganda la ndizi, alfajiri wanasepa
[emoji3][emoji3]
[emoji16][emoji16] wazeee wa importationNlianza kuishi maisha baada ya kuajiriwa , tena nlibahatika kupata nyumba ya vyumba wiwili na sebule kubwa,,
Maisha ya upweke sana usiku si vile bado mgeni,, nlivozoea usiku navusha wale madem ganda la ndizi, alfajiri wanasepa
[emoji3][emoji3]
Hongera mkuu kwa uthubutu..trust me hapo ukimalza chuo haurud nyumbani bro,mchawi ni vitu vya ndan tu hivi...ado ado ukianza kua navyo basi geto kuanza inakua rahis kdgoKwanza kabisa heshima zimuendee muanzishaji wa hii thead kwa wageni wa izi mambo tunapata experience apa
then na mimi nichangie kidogo apa japo sijaanza rasmi kuwa gheto ila tayari nipo gheto kwa mda....bado napambana na module ila kwa sasa nipo field, niliona kwa mda ambao nipo field na baada ya kukataa kujistiri kwa ndugu nikaona nijikakamue na chench iliyobak kutoka uko chuoni nijaribu kuexperience maisha ya gheto mana mda sio mrefu nitaitaji kuanza rasmi kuwa mwenzenu...chuoni nilikua na ela ya boom tu ambayo ndo natumia kulipa ada na vitu vingine vyote hivyo iliitaji akili ya ziada kuweza kuipangilia iyo ela ibaki na ya kuja kusukuma maisha uku mtaani.....nimejitaidi nimelipa kodi ya mda nitakaokaa then changamoto ikaja either kununua jiko ndo rahisi au bora kula gengeni....nikaona kwa hali niliyonayo bora nijilie gengeni mana nikisema ninunue jiko nitakua na vitu vingine vingi vya kununua...apa vijicent nilivyokua navyo vimekata masisha yanazidi kua magumu....apa nimejinunua kigodoro changu cha futi nne nimekitandaza chini siku zinasonga namshukuru mungu.....maisha ni haya haya amna mengine so inabidi tu kujiset taratibu.....
asante bro napambana mana najua ata nikirudi home amna msaada wowote so better nikajipinda mwenyew tuHongera mkuu kwa uthubutu..trust me hapo ukimalza chuo haurud nyumbani bro,mchawi ni vitu vya ndan tu hivi...ado ado ukianza kua navyo basi geto kuanza inakua rahis kdgo
Siku hiz nishaacha yale mambo,,[emoji23][emoji23] nakuona baharia
Hahaha hahah[emoji16][emoji16] wazeee wa importation
Pole sana pambana anza kuweka kidogo kidogo utatoka
Eee ndugu yangu fanya fasta fasta hama home kajitegemew
Wakuu yani dharau kama zote. Kujipanga muhimu[emoji16] aisee mkuu Hali mbya ila kujipinda tu ndo kikubwa kaka
[emoji16][emoji16] mkuu umenunua vyombo kama vyoteDaaah!! Mi nakumbuka 2017 ndo nilianza life la kujitegemea hapo nimetoka kumaliza chuo halafu nikapata Mishe mishe pande za mkoa Fulani uzuri kulikuwa na rafiki yangu pande za mkoa huo so nikafikia kwake nikakaa kama mwezi mmoja hivi then nikaenda kupanga baada ya kulipwa my first salary maana kukaa kwa watu muda mrefu sio issue..
Basi mzee mwenyewe nikaenda kupanga hapo sina godoro wala kitanda na pesa ilikuwa imeshakata maana salary ilikuwa ya kawaida + majukumu ya kifamilia so nikabakiwa na pesa ya kula na nauli then nilichofanya cha maana nilinunua mkeka na mto so nikaanza kulala kwenye mkeka chini,then nikanunua jiko la gesi, sufuria set nzima ambayo zinakuwa 4, miiko miwili, vijiko dozen moja, ndoo na jaba, container kubwa za kuhifadhia vyakula, sabuni ya kuogea, ya kufulia, dodoki, mswaki mpya, dawa ya meno mpyq, mapazia mawili, mashuka mawili ya kulalia, ndala za bafuni....
Baada ya miezi miwili mbele nikawa nimeshanunua kitanda na godoro so life likawa limekaa stable hata demu kumualika ndani ikawa hakuna noma[emoji16][emoji16]
kaka tusaidie mawasiliano tunaweza kushauriana kuhusu maishaSo kupitia mimi hope mtajifunza vijana wenzangu kuwa endapo utalitumia vizuri basi hakika maisha yak yatabadilika.pia la mwisho ni kumtafuta mwenza mwenye maono ila uiangukia kwa kwa hawa makahaba wa mjini utaishia kuhangaika mwisho wa siku unarudi nyumbani ukiwa na miaka 40,bila kufanya lolote
Jerrybanks
[emoji23] yeah yeah, muhimu kwa afya Joh. Enzi hizo nakaa ghetto kigamboni nimefanya sana "uvushaji" [emoji119]. Kwa zile sketi ganda la ndizi jioni unamchukulia tu kiepe yai mixer unamwachia pc acheki check movies mara time imetembea, analiwa then asubuhi mapemaa mnooo kabla ya baba mwenye nyumba kuamka dogo anasepa [emoji23]Siku hiz nishaacha yale mambo,,
Ila mara moja moja sio mbaya [emoji3]
We huo wali uliivisha kweli????View attachment 1179564Pilau la sikukuu huku magetoni[emoji82]
malimbe au kwa mashaNipo Mwanza mkuu
Mzee baba hujipunji, kama hom tu vile dah[emoji1373][emoji16][emoji16]View attachment 1179564Pilau la sikukuu huku magetoni[emoji82]
Fanya hivyo mzee,na utu uzima huo kutumwa vitunguu swaumu sio poa yanNipo nyumbani mpaka mda huu na-type. Hali inazidi kua mbaya wakuu, naomba niwahaidi mwanzoni mwa mwez wa 9 picha ya geto Langu. Mungu nisaidie.
Tia Nazi hapo litakuwa tamView attachment 1179564Pilau la sikukuu huku magetoni[emoji82]
Mbali sana na hapomalimbe au kwa masha