Lello199
JF-Expert Member
- Aug 26, 2016
- 1,385
- 3,545
We huo wali uliivisha kweli????
Niliula hivohivo na kiini chake mkuu[emoji16][emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We huo wali uliivisha kweli????
Hizo neti hazifai mkuuNeti za chuma, znadondoka ukiwa ktk harakati zetu zile
Aisee itabd urud mageton mkuuKiufupi get nilianza kukaa na miaka 17 nimekaa kam miaka miwil nikapata mchongo mkoa mwengine kwa ajil ya kuuza duka la jumla mashart natakiwa nikae kwa boss ad now na 21 nakaa kwa boss ila geto ntalid tu namiss sana geto
Ntalud tu mkuu ngoja niwek mambo safiAisee itabd urud mageton mkuu
Kama mm napenda kukaa mwenyeweKwanza una moyo!?? Kukaa room moja zaidi ya watu wawili? Hahahahahaah tena maslay kwini hawapendi kupika!!! Hongera bora ulivyoachana nao.... Mimi siwezi, napenda utulivu Muda wote, sipendi mtu ambae hapendi kupika au kufanya usafi...... Siku zote nakaa mwenyewe tu
KweliNimesoma comment zote kumbe wanaume wengi jf wapo getho lakini kwenye nyuzi zingine mnasemaga mnaishi kwenye majumba mna magar na mmeoa aisee hebu jaman punguzen hamjui mnavyotupa stress kuwa mmetoboa maishaa hatariii mtupe mbinu.
Kwa uzoefu wako huwa unahisi nn kinawakumba hawa viumbe.ACHA TU SITORUDIA TENA AISEE.... AFU HUYO DEMU ANANITFTA TURUDIANE NKAMWAMBIE VIPI UNATAKA KUSEPA NA HV NILIVYO NAVYO SASA HATA WASHKAJI ZANGU WANAMKATAA KWA SABABU WANAONA MPUMBAVU
Kwa uzoefu wako huwa unahisi nn kinawakumba hawa viumbe.
Daah mambo ya geto bana...watoto wa mwenye nyumba wanavojileta we acha tu...ni fulu kuwanyooshea msuli
Tamaaa tu za kijinga afu wanapenda kupanda watu kichwanjKwa uzoefu wako huwa unahisi nn kinawakumba hawa viumbe.
Mkuu kwel unaanza na moto..bed ya 400 kibingwa sana hiyokuna dili nmepata napgwa lak 8 kwa mwezi, na wiki ijayo nategemea kupgwa kama lak 8 na nusu ya kuanzia, nna mpango wa kununua kitanda laki 4 na godoro laki 2, alafu nitulie kwanza, baada ya miezi mitatu naenda mzima kabisa, ila fridge na oven ni mhimu + kabati la nguo, meza na kiti, mengine ntaongezea uko uko
Mkuu kwel unaanza na moto..bed ya 400 kibingwa sana hiyo
Mkuu kwel unaanza na moto..bed ya 400 kibingwa sana hiyo
Pole sana pambana anza kuweka kidogo kidogo utatoka