Hongera mkuu..naona saiz fullNilianza hivi na niko hapahapa walahiView attachment 1216117
[emoji1373][emoji1373][emoji1373] kiutani utanimm akili ya geto nimeipata baada ya fundi mmoja alikuwa ametengeneza bed kali alafu mteja wake haeleweki lile bed akaniuzia kwa 200k pale ndio nikapata mzuka aisee nikapambana nikanunua godoro nikaweka darini na kitanda nikanunua sofa nikaweka store hapo bado niko home mzee nikanunua showcase nikaweka store.
mzee ugali wa bure mtamu asikuambie mtu mziki nilikuwa nao pamoja na desktop siku nikasaka kodi nikapata mazee nikawaaga kwa mbwembwe zote geto nikahamia wakuu nikahamia ile siku ya kwanza sikulala joto la kufa mtu kwa hasira nikarudi home nikasema huku siji hadi nipate feni.
haha kama wiki hivi nikarudi na feni aisee maisha ya geto ni swafi hadi leo niko zangu geto mzee ananambia chumba chako vipi hukitaki namwambiaga hakina hajaaaa..
Miaka kadhaa sasa nipo geto full amani geto limesheheni hadi nikitembelewa naulizwa vipi utaoa lini. [emoji23]
izo apo, ila ndo nmeingia nmelala sku 2,View attachment 1213920
Nilianza hivi na niko hapahapa walahiView attachment 1216117
pamojaHongera kijana, hata mzazi wako akifika atafurahi kuona maendeleo yako.
Hahahaaa wewe kiboko!Geto sehemu ambapo wadada wanatafunwa kama nyama...
Nna mpango wa kuchomoka home mwakani[emoji848]
Dah ila naogopa kishenzi
Ni sifa mojawapo ya ghetto halitakiwi kukosa hii kitu mze[emoji28][emoji28]Naona Jibapa hapo [emoji16][emoji16]
Hahaa wewe utakua mchaga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera kwa gheto hakuna kuoa mapema kabisakaribuni jameni tucheki manchester hapa, ndio nimeanza maisha ya gettoView attachment 1216145
hahahaha sitaki stressHongera kwa gheto hakuna kuoa mapema kabisa
sio lazima kila kitu anunue kwa siku moja vingine atanunua kulingana na uhitajiAisee hata kapeti la elfu 6 tu limekushinda?? Unawezaje kulala chumba kama hicho?
safi sana mkuu gheto limetulia sanakaribuni jameni tucheki manchester hapa, ndio nimeanza maisha ya gettoView attachment 1216145
pamojasafi sana mkuu gheto limetulia sana
ni mwaka mmoja kamili baada yakuahidi naanza maisha ya ghetto.Namshukuru mungu niko ghetto tayari.HUU NDIYO UZI UMENIFANYA NIFIKIRIE SANA MAISHA YANGU.NINA MPANGO WA MWEZI WA SABA KUANZA KUISHI GETO
MADOGO NILIOWAACHA PREFORM 1 WAKO CHUO
Hongera sana bro...tunasubr kinagaubaga hikoni mwaka mmoja kamili baada yakuahidi naanza maisha ya ghetto.Namshukuru mungu niko ghetto tayari.
nitarudi na story fupi na mapichapicha ili kuendelea kuhamasishana.
"mbwa wako mkali"
"asante na wewe pia"
Yaani hata mm hiyo tu ndo nimeona kbsKwa hiyo "woiii" naunga mkono hoja[emoji23][emoji23][emoji23]