Ulianzaje kukaa gheto?

Duuhhh Kazi kweli kweli.

Binafsi nimebaini Sisi weusi (waafrika) hatutaweza kuendelea kwa haraka na kuufukuza umasikini. Kila anaepanga anasema alipanga ili ipate akili ya maisha. Haya mmepata akili ya maisha mbona umasikini ungali umetamalaki?

Zamani katika baadhi ya jamii (mfano wasukuma) ulikuwa unaoa ukiwa nyumbani kisha unakaa nyumbani. Baada ya muda kupita unaruhusiwa kwenda kujitegemea. Hii nimeioana kwa wahindi na waarabu pia.

Familia inahitaji kushikamana na kuwa na upendo ili kutusua lakini kwa ngozi nyeusi maisha ni mapambano. Unapambana na Baba au mama utafika wapi zaidi ya kuangukia Pua. Tuzienzi mila zetu kwa kufanya utambuzi wa kubaini zilikuwa na tija ipi katika ustawi na maendeleo kwa ukoo na jamii
 
Sasa Mkuu Yani upo karne yA 21 tena muongo miwili imekwisha unaenda Watatu unaongelea mambo ya Mila tena za zamani
Huko zamani Babu anamiliki mashamba Kama Kata yA ILALA hivi unapata shamba eneo LA kujenga
Sasa saa hizi unakuta Baba na yeye Amepanga sasa chumba na sebule unataka tuoe humo humo ndio mambo ya Bibi alale na mke wako Na mjukuu chumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kawaida mkuu...ni kwakuw unaenda kuanza safari mpya...!!mimi nlkaaga mwezi mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lijamaa linjemba tu boya flan hivi
 
Tafuta mtu ukae naye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nnayopitia hapa nnapoishi mwaka Huu hauishi I'll be out.

Thomas Sankara once said "he who Feeds you Controls You"

We unaona Unakua ila mlezi bado anakuona kama A Ten Year Old. It hurts. Hasa kufokewa mbele za watu.

Anyway it's time to find out who I really am. Ugali wa Bure kwa mtoto wa kiume una karaha Sana.

Nashkuru Sana mleta uzi na wachangiaji wote. Mmenifunza Mno. Nadhani muda umefika Sasa for the bird to get out of the cage.

Beyonce - Formation
 
Ugali wa Bure kwa mtoto wa kiume una karaha Sana. (point to note)



"Not everything is for everybody"
 
Hongera sana kaka Jerry Mungu awasimamie kwa kila hatua umekua role model wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilihamia geto mwezi wa 2 mwanzoni nimelipa kodi na kununua baadhi ya mazaga ila kimbembe huu ugonjwa sasa kazi imesimama nina hela ya mawazo na kodi ni mwezi ujao nawaza nifanyeje hapa ila naamini ntatoboa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ugonjwa umeharbu mambo mengi sana

Yess bishoo hasWaaaa
 
Words
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee kimbia mkuu hilo ni Pepo halitak utoke[emoji3]

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…