Ngwananzengo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,911
- 1,315
Duuhhh Kazi kweli kweli.
Binafsi nimebaini Sisi weusi (waafrika) hatutaweza kuendelea kwa haraka na kuufukuza umasikini. Kila anaepanga anasema alipanga ili ipate akili ya maisha. Haya mmepata akili ya maisha mbona umasikini ungali umetamalaki?
Zamani katika baadhi ya jamii (mfano wasukuma) ulikuwa unaoa ukiwa nyumbani kisha unakaa nyumbani. Baada ya muda kupita unaruhusiwa kwenda kujitegemea. Hii nimeioana kwa wahindi na waarabu pia.
Familia inahitaji kushikamana na kuwa na upendo ili kutusua lakini kwa ngozi nyeusi maisha ni mapambano. Unapambana na Baba au mama utafika wapi zaidi ya kuangukia Pua. Tuzienzi mila zetu kwa kufanya utambuzi wa kubaini zilikuwa na tija ipi katika ustawi na maendeleo kwa ukoo na jamii
Binafsi nimebaini Sisi weusi (waafrika) hatutaweza kuendelea kwa haraka na kuufukuza umasikini. Kila anaepanga anasema alipanga ili ipate akili ya maisha. Haya mmepata akili ya maisha mbona umasikini ungali umetamalaki?
Zamani katika baadhi ya jamii (mfano wasukuma) ulikuwa unaoa ukiwa nyumbani kisha unakaa nyumbani. Baada ya muda kupita unaruhusiwa kwenda kujitegemea. Hii nimeioana kwa wahindi na waarabu pia.
Familia inahitaji kushikamana na kuwa na upendo ili kutusua lakini kwa ngozi nyeusi maisha ni mapambano. Unapambana na Baba au mama utafika wapi zaidi ya kuangukia Pua. Tuzienzi mila zetu kwa kufanya utambuzi wa kubaini zilikuwa na tija ipi katika ustawi na maendeleo kwa ukoo na jamii