Hadrianus
JF-Expert Member
- Feb 19, 2020
- 2,112
- 5,229
[emoji120]
"Not everything is for everybody"
"Not everything is for everybody"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sass mpe mbinu za kula kimasihara alibariki geto.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu hizi huwa zinakuja tuuu.. Haina mbinuuuSass mpe mbinu za kula kimasihara alibariki geto.
Wakuu mambo vipi, Leo naomba tufanye kushare kila mtu jinsi alivyo chomoka Nyumbani kwao..Hii itatoa hamasa kwa wale waliokua nyumbani na kuogopa kuhama na kuanza kujitegemea.
Janga hili linawakumba wana vyuo wengi,unakuta mtu anamalza chuo akiwa labda ana 25 then anarud nyumbani ,mbaya zaid anasubir kazi..alaf kazi zenyew haijulkani utapata lini.
Hii inapelekea wana wengi kua na fear ya kuchomoka home...Kiukwel hali ya kukaa hom inakata sana..Mzee unakuta anachomoka anakuachia mikazi flani hivi howcome.
Ukija upande wa MMU ndio mambo yanakua sio mambo...mtoto anataka aje kukusalmia unaona soo kwasababu upo nyumbani..inakata sana hii
Tukija kwenye maisha ya kujituma tu..sometime unakosa hamasa ya kupambana kwasababu ugali wa bure,unalala bure,kila kitu bure..hii inakua ngumu kuwaza kwa mapana ili kuanza kukamilisha dream zako..
Pia inakata sana..pale wanao unakuta wapo na mageto yao..lakin wewe kwako ni tofauti.
Sasa naomba kila mmoja aseme alichomokaje home na kuanza kukomaa na maisha..Achilia changamoto zake kikubwa hapa ni kusepa kwa maza..
Mimi binafsi geto nilianza kukaa soon nilivyoingia chuo,,,nakumbuka nilipata room ya elf 50 nikaanza nayo kibish,nikanunua bed ya 150, 5 kwa 6,nikatafuta feni tu ya elf 35..si unajua joto la dar..nikaingia k.koo nikavuta subwoofer ya elf 75 tu...geto bila mziki sio geto ni choo,kujichek mfukoni boom likawa lishakata...basi nikaendelea kuishi geto hadi namalza chuo geto likawa limesheheni tu.
sasa baada ya kumalza chuo. Ndio nikarudi hom..ujinga niliofanya ni kurud hom na baadhi ya vitu niliviuza...Kasheshe ndio ipo saiz..wakuu hom akili inalala,,vibe yote hakuna ,hapa ndio najichanga nichomoke tena nirud geto nianze kupambana..hop ndan ya huu mwaka nitakua nishasepa hom kwa mara nyingine.
Sasa share kitu basi nawewe..
Nini lilikusukuma usepe home?
Kitu gani kilikupa mzuka wa kuanza kukaa geto?
Vipi ulianza kukaa geto ukiwa na kazi au kibishi tu?
Maisha yalkuaje since day one?
Je ulienjoy uamuzi wako wa kusepa home?
ulianza kununa vitu gani vya msingi na kuanza kuishi geto
Una lipi la kuwaambia wana walioko home hadi leo wakiogopa kukaa geto kisa hawana ajira bado?
Karibuni wakuu..
View attachment 878774
Hahahaha ulifanya makosa Sana mkuu [emoji848] kukimbia na pesa mliyomake ulimuachia yote aseeedaa umefanya uzembe kama wangu,nikiwa shule nilikua nakaa na manzi tukanunua kila kitu kwa malengo baada ya shule tuanze maisha.
akiba tukiwa na m.1 na laki 6, uoga kitu cha ajabu sana nikaona ntafanya nini nikala kona kurudi home nikamuachia manzi kila kitu. alinililia sana nirudi ila ule uoga haukuwa wa nchi hii
now nimepanga ila najilaumu sana kumkimbia yule manzi kwa uoga wa maisha mji wa watu
Hongera [emoji3]Mimi nilipoanza kuishi mwenyewe mkoa tofauti na nyumbani walinipa kitanda godoro na vitu vingine nikakataa, nilienda na begi langu tu kufika nikanunua godoro langu nikaanza kupiga nyama chini, nimenunua vitu vyangu Sasa ni mwendo mdundo tu, sikuwahi tegemea kuwa ipo siku nitaweza ishi mwenyewe nilishazoea nyumbani kila kitu free, at least nami nimepata Cha kusimulia wanangu loh, nimejifunza ku budget leaving on my own mwanzo ilikuwa ngumu, nilijitahidi hata kutokuwaambia nyumbani, nashukuru Mungu naishi mwenyewe kwa kujitegemea, nimenunua vitu vyangu nadunda zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa miezi kadhaa aisee I wanted to learn life hafu watu walikuwa wanashangaa kwanini nyumba yako hii chukua chumba uwe na vitu kiruu kumbe ni mipango tu nowdays geto langu limedamshi hatari loh.Hongera [emoji3]
Kwaiyo ukawa unaulza chini for how long
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
Huo uzi nishaupitia sana, mbinu zote nimebeba[emoji23][emoji23]Sass mpe mbinu za kula kimasihara alibariki geto.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] huyu jamaa rikiboy fala sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu hizi huwa zinakuja tuuu.. Haina mbinuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nikutembelee.Kwa miezi kadhaa aisee I wanted to learn life hafu watu walikuwa wanashangaa kwanini nyumba yako hii chukua chumba uwe na vitu kiruu kumbe ni mipango tu nowdays geto langu limedamshi hatari loh.
Kumbe naweza ishi vyovyote na nisife
Sent using Jamii Forums mobile app
amesha olewa ana maisha yake ila mpaka kesho ananiuliza kwa nini nilimkimbia. mawazo yake anawaza labda niliona hanifai hajui vile naumia mpaka leo kutokumuoa.Hahahaha ulifanya makosa Sana mkuu [emoji848] kukimbia na pesa mliyomake ulimuachia yote aseee
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee umetisha sana mama[emoji119]Kwa miezi kadhaa aisee I wanted to learn life hafu watu walikuwa wanashangaa kwanini nyumba yako hii chukua chumba uwe na vitu kiruu kumbe ni mipango tu nowdays geto langu limedamshi hatari loh.
Kumbe naweza ishi vyovyote na nisife
Sent using Jamii Forums mobile app
Kijana, mimi sio muhuni. Kumtembelea mtu kuna uhuni gani?Wahun kazin[emoji119][emoji3]
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
Kijana naona geto linakuharibu.Muhun sio lazma awe na tabia za ajabu...hata mtu smart kwangu mi namuita muhun tu....skuiz wahun ndio watu makin mkuu...relax
Sent from my SM-G9550 using Tapatalk