Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Kwa nnayopitia hapa nnapoishi mwaka Huu hauishi I'll be out.

Thomas Sankara once said "he who Feeds you Controls You"

We unaona Unakua ila mlezi bado anakuona kama A Ten Year Old. It hurts. Hasa kufokewa mbele za watu.

Anyway it's time to find out who I really am. Ugali wa Bure kwa mtoto wa kiume una karaha Sana.

Nashkuru Sana mleta uzi na wachangiaji wote. Mmenifunza Mno. Nadhani muda umefika Sasa for the bird to get out of the cage.

Beyonce - Formation
Pole kiongoziii...[emoji3]

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
 
Mimi nilihamia geto mwezi wa 2 mwanzoni nimelipa kodi na kununua baadhi ya mazaga ila kimbembe huu ugonjwa sasa kazi imesimama nina hela ya mawazo na kodi ni mwezi ujao nawaza nifanyeje hapa ila naamini ntatoboa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili linapita tu mkuu..usirudishe kwa kipa kaka

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
 
Getho tamu sana,yaan baby anakuja ijumaa jioni anaondoka jpili jioni na gharama nazotumia n chache tu,nikinunua nusu ya nyama na tambi au mchele kilo moja na nusu we eat the whole weekend.... Home sirudi zaid ya kusalimia tu...
Taabu n kwa washkaj wanaoomba nao walete mademu zao getho kwangu ,yaan mashuka nifue mm half mchafue nyie jmn hii siikubali....tafuta getho naww.....
Kama una getho mwanangu onesha funguo
Nimecheka sana ....
Kwahiyo mkuu hautaki kufua shuka??

Nakumbuka na mimi Mara ya kwanza kupanga geto sina cha demu wala nini....
Sasa bwana siku ya siku kuna mshikaji wangu alikuwa na demu wake sasa kumlia hostel naona hakuona poa... akaniomba nimuachie geto akaja na demu wake... jioni narudi nakuta wamechana shuka niliyokuwa nimeitandika...
Aseee nilikasirika sana...
Ila kwa vile ni mwana tukaishia kucheka tu...
[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nmetoka kwenye pepa na mwenzngu nmempakia kwenye boda boda tunarudi zetu home babamkwe ananipigia simu jerry uko wapi nkamwambia,heb njoo swhemu flani wakati nashuka pale na mwanake anakitumbo namshusha huku namtania mzee alitoka chozi la furaha alivyokuwa anatuangalia,nikaonyeshwa gari aina ya ist,that time ndo ubber imeingia tz,akanambia hii ndo gari nliyowapa but kwa sharti la kuniletea kila siku elfu 20 then baada ya mwaka litakuwa lenu,basi nkachukua piki piki nikaifunga sehemu na kuiweka lock then nkachukue ndinga na wife mpka tumapokaa then baadae nkaifata piki piki mpka kule then nkaileta home.
Appreciate u

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufupisha story ni kwamba gari ile niliifanya uber kipindi hicho ndo uber imeanza hope nilizisha mapambano kwani nlikuwa nahakikisha nalaza laki kila siku ya mungu na wife wakati yupo na ujauzito mkubwa akaajiri mtu wa kusambaza vitu vyake kwa wateja huku na mimi nikisambaza vyangu kwa gari huku wakati mwengne nikimsambazia na yeye,mwisho wa siku nilifungua duka ambalo wife baada a kujifungua akawa ndo msimamizi na pia deni la mzee la 20k kila siku nililitimiza na mwisho wa siku gari ikawa yetu,nakumbuka siku ya harusi babamkwe akatupa kiwanja kwa ksema altupa mtihani wa kujinunulia wenyewe means ile hela tulokuwa tunampa kila siku aliitu za na kutununulia zawadi ya kiwanja huk nasi tukiwa na vingine vitatu hiyo ndo story yangu ya geto ambayo imenipa mke na nyumba ambayo naimalizia now,watoto wangu mapacha,pamoja na gari 3,maduka na biashara nyingine na kunifanya nisahau kuajiriwa japo nna degree yangu ya first class
Nimekuelewa sana kamanda hongera sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu Uzi umenipa hamasa...
Kipato changu kwa mwezi ni 100k,,, nimeshajipinda nikanunua Godoro la 5*6,,,niko nasaka hela ya Jiko la Gesi...nikimaliza nasaka Kisabwoofer...nikimaliza NASAKA HELA KODI....

Mniombee maana kipato changu kidogo sana....Panapo majaliwa nikikamilisha...nitawapa Mrejesho
 
Huu Uzi umenipa hamasa...
Kipato changu kwa mwezi ni 100k,,, nimeshajipinda nikanunua Godoro la 5*6,,,niko nasaka hela ya Jiko la Gesi...nikimaliza nasaka Kisabwoofer...nikimaliza NASAKA HELA KODI....

Mniombee maana kipato changu kidogo sana....Panapo majaliwa nikikamilisha...nitawapa Mrejesho
Kila lakheri mkuu , pambana

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
 
Kupitia huu uzi, nilihamasika sana.

Tayari nimelipia miezi 6 room toka mwezi wa 4 mwaka huu, nimenunua kitanda, godoro, mazaga mengine yatafuata baadae.

Inshu kuhama home aisee ni kazi sana



"Not everything is for everybody"
 
Back
Top Bottom