Ulianzaje kukaa gheto?

Hahahaha ulifanya makosa Sana mkuu [emoji848] kukimbia na pesa mliyomake ulimuachia yote aseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nilipoanza kuishi mwenyewe mkoa tofauti na nyumbani walinipa kitanda godoro na vitu vingine nikakataa, nilienda na begi langu tu kufika nikanunua godoro langu nikaanza kupiga nyama chini, nimenunua vitu vyangu Sasa ni mwendo mdundo tu, sikuwahi tegemea kuwa ipo siku nitaweza ishi mwenyewe nilishazoea nyumbani kila kitu free, at least nami nimepata Cha kusimulia wanangu loh, nimejifunza ku budget leaving on my own mwanzo ilikuwa ngumu, nilijitahidi hata kutokuwaambia nyumbani, nashukuru Mungu naishi mwenyewe kwa kujitegemea, nimenunua vitu vyangu nadunda zangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera [emoji3]

Kwaiyo ukawa unaulza chini for how long

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
 
Hongera [emoji3]

Kwaiyo ukawa unaulza chini for how long

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
Kwa miezi kadhaa aisee I wanted to learn life hafu watu walikuwa wanashangaa kwanini nyumba yako hii chukua chumba uwe na vitu kiruu kumbe ni mipango tu nowdays geto langu limedamshi hatari loh.
Kumbe naweza ishi vyovyote na nisife

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee umetisha sana mama[emoji119]

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
 
Muhun sio lazma awe na tabia za ajabu...hata mtu smart kwangu mi namuita muhun tu....skuiz wahun ndio watu makin mkuu...relax

Sent from my SM-G9550 using Tapatalk
Kijana naona geto linakuharibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…