Dah kwel acha iwe tu mkuuGhetto baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikarudi kwa kipa ila sasa mambo ya home sijui wadogo zako wako shule kaka zako washaoa na dada washaolewa.
kutumwa royco mchuzi mix, simba 2, steel wire dah! Nkaona haya yote ya nin kidume na kidev changu kimejaa mzuzu kwanza mshua anakata jicho unafuga ndevu nyngi kweny nyumba yake.
Bas nkaona ngoja nirudishe tena majeshi nkarud pasi ndefu za kutosha na kupiga vibarua nkaotea 250,000 chap kulipia kodi hustle zikaanza tena Jah akabless, machalii zangu tukapeana harakati za hapa na pale ndogo ndogo mpaka sasa mungu ni mkubwa kidume napambana 2021 inshallah nataka nivute jiko ndan[emoji41]
[emoji16][emoji16][emoji16]dah nlkaa geto cku naamia kwanza n mlman wapangaj wanaona jamaa lmekuja na beg mgongon na ndoo mbil tu geto nkapewa funguo nkazama ndan apo nna elf 30 tu mfukon hata godoro cna jko cna yan cna kila ktu maisha haya kuna cku nkikumbukaga izo moment ua nacheka mwenyew mana nguo za kwenye beg ndio zlkua godoro
Hili geto kwel la mselaGhetto la msela .View attachment 1505994
Asante kamanda!Kila lakher mkuu
Hii picha ya kutengenezaGhetto la msela .View attachment 1505994
ahahaah! Huko hakunifai wanapoloweka nguo, sijui kazi nitaweza kweliHahah itabid ukaoe tanga mkuu
saiv nmeongeza fridge na mezaHongera
unauza kitanda?Wakuu mambo vp,
raha ya gheto kukamilike hata kama ujajaza inavyotakiwa lakini ukiwa na kitanda sio mbaya.
5*6 hiki hapa inatakiwa 230000 tuView attachment 1525141
Ndio kiongozi, bei 230000unauza kitanda?
Ndio kiongozi, bei 230000
Hapo ni bei ya kitanda ktupu godoro haliusiki kakaMi nataka Kitanda peke yake sh ngap?
Mkuu hiki kinahimili mikito ya kibabe?5*6 = 170,000
4*6= 120,000View attachment 1527212View attachment 1527213
Location: Dar, Mabibo
Contact: +255654001917