Ghetto baada ya kumaliza chuo na kukosa ajira nikarudi kwa kipa ila sasa mambo ya home sijui wadogo zako wako shule kaka zako washaoa na dada washaolewa.
kutumwa royco mchuzi mix, simba 2, steel wire dah! Nkaona haya yote ya nin kidume na kidev changu kimejaa mzuzu kwanza mshua anakata jicho unafuga ndevu nyngi kweny nyumba yake.
Bas nkaona ngoja nirudishe tena majeshi nkarud pasi ndefu za kutosha na kupiga vibarua nkaotea 250,000 chap kulipia kodi hustle zikaanza tena Jah akabless, machalii zangu tukapeana harakati za hapa na pale ndogo ndogo mpaka sasa mungu ni mkubwa kidume napambana 2021 inshallah nataka nivute jiko ndan[emoji41]