Ahsante sanaKaribu mtaani kwetu [emoji3]
Hongera sana mkuu.Nmeanza kukaa geto nna takribani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahivi nna balance ya 4M na kiwanja nmenunua 10M+ ilna sina mkopo sehem yoyote, na bado niko under 23, tuombeane wakuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usionage aibu
Uwage unanitext[emoji3][emoji23]
Wait bas kuona.Najali bado mpaka niione, miss you too!
Wee lako liko wapi?Nimemiss kuona magheto ya watu jamani[emoji7]
Mimi Sina nisiseme uongo😂Wee lako liko wapi?
Ka shoe rack kako katamu 😗
ThanksKa shoe rack kako katamu [emoji10]
Usingizi umegoma? Umeamua utuburudishe macho... Hiyo show case ingependeza kule juu pawe na ki vase cha uaLIVE. LAUGH. FOCUSView attachment 1710337
Big time!!Maisha ya geto rahaaa sanaaaaView attachment 1710324
Mwanangu hapa hawatoki [emoji119]LIVE. LAUGH. FOCUSView attachment 1710337
Eeh OP tafadhali, kwanini tusitoke? Ni hiyo bed lamp, TV show case au DT 😁😁Mwanangu hapa hawatoki [emoji119]