Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Acha alafu wanachagua kazi ni balaaa wanazan kodi unaokota yan wanavurugu kwanza wanakunyima Uhuru mm kwa kweli kukaa getho na maslay inahitaj uvumilivu
Kwanza una moyo!?? Kukaa room moja zaidi ya watu wawili? Hahahahahaah tena maslay kwini hawapendi kupika!!! Hongera bora ulivyoachana nao.... Mimi siwezi, napenda utulivu Muda wote, sipendi mtu ambae hapendi kupika au kufanya usafi...... Siku zote nakaa mwenyewe tu
 
Mm nilipanga getho mapema sana kwa sababu wazazi wangu ni watu wa kusafir sana nikaona Hizi kero za kubak home Mara wajomba ma mabinamu wamejazana alafu vurug kwenye kazi wacha nikajipangie zangu sasa marafiki wa kike wengi wanazeekea makwao wakiona hivyo wanakuja kujazana ghetto ili wapate Uhuru wa kudanga vizur
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] demiss demiss
 
Utazoea tu ila utakula viporo mpaka basi jitahidi kubalance wakat wa kupika
ila kufua na kupika, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3], yaan hasa hasa kupika, sijui na ua sjui chakula ambacho hakijaiva
 
Kuna hao wawili walimaliza mwaka kukaa kwangu nilkuwa sitaman hata kurudi home maana ni kichefuchefu hawajui hata kufanya usafi wanakojoa kwenye ndoa ya kuogea wanapasha maji ya kuoga kwenye gas jaman miezi mi4 mtungi umeisha na mm nikaacha kujaza Tukawa hatuna hata kitu ndan na mm nakula juu kwa juu narud usiku mnene
Hahahahahahahah siwataki hata nusu saaa.....
 
Daaa mm now npo gheto ila mzee mpaka leo hapend niwe gheto yaan nmetoka kibishi sana yaaan kwa tabu sana...kiukwel ukiwa nyumban akili yako haitanuk coz unakuwa KKB(kula kulala bure) so unakuwa huwaz jins gan ya kutoboa ila ukiwa gheto akili inatanuka sana utawaza jinsi gan utapata hela ya kula,utawaza jinsi gan utalipa bills,kodi na kadhalika yaan kichwa kinapata moto sana
Kama huna akili huna tu haijalishi upo geto au mbinguni kwa baba.

Ukiwa uko home kutoboa ni rahisi zaidi kuliko ukiwa ghetto maana expenses za lazima hazitakusumbua kama unaakili inayochapa kazi sawa sawa mpaka unatoka home na nyumba ulishajenga ya kwako.
 
Kuna hao wawili walimaliza mwaka kukaa kwangu nilkuwa sitaman hata kurudi home maana ni kichefuchefu hawajui hata kufanya usafi wanakojoa kwenye ndoa ya kuogea wanapasha maji ya kuoga kwenye gas jaman miezi mi4 mtungi umeisha na mm nikaacha kujaza Tukawa hatuna hata kitu ndan na mm nakula juu kwa juu narud usiku mnene
Kukojoa kwenye ndoo,😂😂 uvivu kutoka kwenda chooni au wanaogopa unakuta ni usiku mnene?
 
.
Location pls.
IMG_20190811_093555.jpeg
 
Kuna hao wawili walimaliza mwaka kukaa kwangu nilkuwa sitaman hata kurudi home maana ni kichefuchefu hawajui hata kufanya usafi wanakojoa kwenye ndoa ya kuogea wanapasha maji ya kuoga kwenye gas jaman miezi mi4 mtungi umeisha na mm nikaacha kujaza Tukawa hatuna hata kitu ndan na mm nakula juu kwa juu narud usiku mnene
Whaaaaat!??? Kukojoa kwenye ndoo???

Jamani mimi Nilivyo na mdomo wangehama mapema mnoooo maana kukaa na donge moyoni siwezi, kukojoa kwenye ndoo?

Chooni mbali mpaka upande daladala? Woooiiiii mama unastahiki tuzo ya uvumilivu. Sitaki mashost mimi hata kidogo na wananijua.

Hata nikiwepo chuoni hawaji ninapokaa wanafunzi wenzangu sitaki kero ndani kwangu
 
Nashukuru Serikali Ya Maguu walinihamisha mjini kunipeleka Hombolo wanashindwa kuja etii ooh siyo mjini .

Nilipofika huku nikajitwalia zangu nikapanga nyumba nzimaa wanaoweza kuja hawakai sana maana huku hakuna starehe kama town ana kaa siku mbili anaondoka .
Whaaaaat!??? Kukojoa kwenye ndoo???

Jamani mimi Nilivyo na mdomo wangehama mapema mnoooo maana kukaa na donge moyoni siwezi, kukojoa kwenye ndoo??? Chooni mbali mpaka upande daladala?? Woooiiiii mama unastahiki tuzo ya uvumilivu..... Sitaki mashost mimi hata kidogo na wananijua... Hata nikiwepo chuoni hawaji ninapokaa wanafunzi wenzangu sitaki kero ndani kwangu
 
Hahahahahaha Kuna mmoja alikuja kwangu kwa mara ya kwanza kabisa wakati yupo njiani akaagiza nimpikie ndizi nyama, nikawazaa jinsi gani alivyo mweupe kichwani nikaona isiwe kesi nikampikia kafika kala.

Akaanza ooh leo napiga simu home kwamba nalala hapa kwako, kumbe alikuwa anataka kwenda kwa bwanake, nikamwambia hilo haliwezekani, usingizie upo kwangu kumbe upo unakojua mwenyewe big no, nenda kwenu ukaipange safari yako kwa mtindo mwingine


Ananionaga nuksi
Hawawez wakiona una ghetto kila siku unakuwa na wageni
 
Back
Top Bottom