Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Nakukumbuka mkuu

Hatime you made it...dah big up sana

Kumbe tukihamasishana tunatoka kwel [emoji16]
Inawezekana mkuu...now najickia amani saana kila nkitoka na kurudi kwangu....nacheki movies bila bugudha...nakula nitakacho...!!japo sijafika lkn hatua nimepiga

Kkubwa ni uzima tu...Tutafika ndugu yangu

Halafu kuna Ex alinikataaga anataka kurudi...!!i mic yu nying saana...!!ukianza kujitegemea heshima lazma upate
IMG_20190803_152258.jpeg
 
wazee, geto naenda uu mwaka haukati kabisaa, na nina uhakika wa chapaa.

ila wazew ii ya kupika na kufua, na hasa hasa kudeki itanitia kwenye matatizo na sitaki kuoa saivi, na mke wangu nataka nizzd ata miaka mitano.

saiv nina 22, naemzd miaka mitano ana 17 saivi, uku kupika wazee, kutanipeleja pabaya kabisa, na lazma nijitegemee tu, ila awa mademu ua nawaogopa sana.

Akiona una uwezo wa kum handle anweza kukubambikizia mimba, au kukung'ang'nia kabisa, ngoja nione ii movie ya kupka na kufua itaishia wp
Shekhe usikae nae tu ila kufua afua ila usiishi nae jau kabisa na usijarbu hawa viumbe HAWANA MAANA JAPO NI MAMA ZETU
 
Wazee narudi skuli mara moja mzumbe moro hivi wenyewe wanajua vyumba ni kiasi gani moro wanambie
 
hahahahahah wakienda kuoga vikorombwezo kwenye maji ukiangalia vipochi vyao vina madawa hatar alafu ndo useme wamerogwa wanajiroga wenyewe hawatak kujishughulisha
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] umenikumbusha nilikua na marafiki wanga kinoma..usiku ukifika muda wa kulala wenyewe ndio wanafukiza Sasa..yalikua ni mateso jamani.
 
Ni juzi tu hapo Afrikana kwa ndugu yangu jaman na Leo nipo kwa basi narudi zangu magheton kwanguuu aisee ni ajabu sana labda kwa sababu ni mwanamme wa dar anaogopa kujitegemea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] demiss wewe
 
Inawezekana mkuu...now najickia amani saana kila nkitoka na kurudi kwangu....nacheki movies bila bugudha...nakula nitakacho...!!japo sijafika lkn hatua nimepiga

Kkubwa ni uzima tu...Tutafika ndugu yangu

Halafu kuna Ex alinikataaga anataka kurudi...!!i mic yu nying saana...!!ukianza kujitegemea heshima lazma upateView attachment 1178299
Rating 5/10

Mdogo mdogo utafika.
 
Mh! hii ya leo balaa,,, kila MTU nilipomaliza chuo,, ooh! First year, watu tumetoka mbali... Kitendo cha kumaliza la saba ndo tiketi ya kuhama nyumbani. Nakumbuka kauli ya mzee huu ndo mlo wako wa mwisho cha ajabu sikumuelewa kilichonikuta asbuh nilijikuta natimuliwa ndani kama mbwa koko aliyekosea njia.nikijichek nimevaa kaptula na kaushi nikajichanganya kitaa.. okota skrepa sana!! nikajichanganya car wash zoote nikawa najulikan mwish wa siku nikaingia geleji. Ila geto letu ndo lilikua balaa watu 14 chin maboksi utajua pakula alafu kunuka kam beberu ilikua kawaida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] izi maisha wachache sana tumeishi.
 
Nimesoma comment zote kumbe wanaume wengi jf wapo getho lakini kwenye nyuzi zingine mnasemaga mnaishi kwenye majumba mna magar na mmeoa aisee hebu jaman punguzen hamjui mnavyotupa stress kuwa mmetoboa maishaa hatariii mtupe mbinu.
 
Nimesoma comment zote kumbe wanaume wengi jf wapo getho lakini kwenye nyuzi zingine mnasemaga mnaishi kwenye majumba mna magar na mmeoa aisee hebu jaman punguzen hamjui mnavyotupa stress kuwa mmetoboa maishaa hatariii mtupe mbinu.
Mtu hata kama anakaa nyumba ya vyumba viwili vya kulala na sebule kama bado hajaoa naona kama geto tu
 
Back
Top Bottom