kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Mtumba au dukani
Dukani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtumba au dukani
Hahaha hata mimi huku getto kwangu nadhan hamna mpangilio mzuri wa vitu na ukiona ivo ujue yupo single wanaume wengi so wapangaji wa zuri wa vitu majumbanNaona shuhuda nyingi humu Ni 98s+
Anyways muwe mnapaka hata rangi hayo magheto yenu wajameni na kuzingatia mpangilio nzuri wa vyombo . Wish you lucky..[emoji1476]
Wakuu nina mpango wa kusepa home,GODORO,KITANDA na kindoo nadhani vinanitosha kusepa home.....sijui JIKO na SABUFA hivo vitasubiri kwanza asee japo nilikuwa navitamani niwe navyo kabla ya kusepa
Sawa mkuu...ngoja nifanye michakato niondoke.....kinachonikwamishaa kidogo ni kodi ina inapungua kiasi fulani[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] ondoka wewe acha ujinga
Inatakiwa uwe na sabufa au redio ya kawaida ukapunguze kelele za shemeji upangajiniWakuu nina mpango wa kusepa home,GODORO,KITANDA na kindoo nadhani vinanitosha kusepa home.....sijui JIKO na SABUFA hivo vitasubiri kwanza asee japo nilikuwa navitamani niwe navyo kabla ya kusepa
Kweli kabisa mkuu, Geto bila Mziki ni kama uko kifungoniInatakiwa uwe na sabufa au redio ya kawaida ukapunguze kelele za shemeji upangajini
Mie ghetto kwangu kupo vizuri, kila kitu kinakaa mahali pake na kwa usahihi, naheshimu sana sehemu ambayo maisha yangu yanafanyika hapo.Naona shuhuda nyingi humu Ni 98s+
Anyways muwe mnapaka hata rangi hayo magheto yenu wajameni na kuzingatia mpangilio nzuri wa vyombo . Wish you lucky..[emoji1476]
Bora nisiwe na JIKO nitakula Gengeni,,,,SABUFA lazima magetoniInatakiwa uwe na sabufa au redio ya kawaida ukapunguze kelele za shemeji upangajini
nimwkutaman[emoji39][emoji39]Siwezi mwaga mchele kwenye kuku wengi
Kila la kheri..usitafune sketi tu hukoBora nisiwe na JIKO nitakula Gengeni,,,,SABUFA lazima magetoni
Sasa unasubr nn[emoji1787][emoji1787]Wakuu nina mpango wa kusepa home,GODORO,KITANDA na kindoo nadhani vinanitosha kusepa home.....sijui JIKO na SABUFA hivo vitasubiri kwanza asee japo nilikuwa navitamani niwe navyo kabla ya kusepa
Akichelewa sie tutaenda kumtoa kwa nguvu hapo kwao[emoji16][emoji16]
bado sijapata Hela ya SABUFA na KODI nakoswa 20k tu...ndo vimenikwamisha kidogoSasa unasubr nn[emoji1787][emoji1787]