Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
aiseee...Maisha yako ni ndoto yangu...na nina age 4+ zaidi yako...hongera sana mkuu...
 
nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
Hongera sana Mkuu
 
nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu

Umeajiriwa au unafanya biashara?
 
nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
Unafanya biashara au umeajiriwa
 
nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
Unaweza ukatupatia jinsi unavyapata michongo ya hela?
 
Bi up mkuu..hatua kwa hatua. Mimi nilianza bila sabufa..nikajichanga nikanunua bufa la 120k kkoo..nikapambana kusaka tv..nikajichanga nikavuta..now akili inanitaka nisake king'amuzi ndo napigia plan..Baada ya hapo nataka nijichange tena nivute kabati la nguo na fridge...Kipato kidogo ila najibana kiaina..sitaki kununua vitu used...So big up mkuu..

Ila maisha hayako fair..kila mtu anatamani level ya mwenzie..kama nakuona vile unataman sana PC...halafu mimi mwenye PC natamani king'amuzi, fridge na kabati la nguo....hapo hapo kuna mwanetu ana kila kitu tunachotamani...hahahahahah

Daaa Mkuu hapa Utakuwa unakula Kimasihara sana duuu[emoji851][emoji109]
 
nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu

Qubabek watu kama wew ndio wanaoniumiza mim kichwa aiseee
[emoji1635] man
 
IMG_1993.jpg

Leo nachezea tu pc
 
Pesa inahitaji nidhamu sana!
Usiitumie kama hakuna ulazima!
Uwe na sababu ya kila senti inayotoka kwenye mfuko wako!
Kama wewe umeajiriwa hakikisha una hesabu kamili ya hela unayoitumia kwa siku
Kisha bundle za simu na mambo madogo madogo zitokee humo humo kwa mfano!
Mimi kwa siku nimesema ntatumia 5000
Asubuhi chai buku!
Mchana 2000 usiku 2000
Ila mara nyingi usiku huwa nanunua viazi 1000 (nakula siku2)
Nyanya za kachumbali na 500 na vizaga vya 500 hivi vitu natumia siku2
Ina maana mwisho wake ntabaki na 2000 ya usiku wa siku ya pili
Hizi ndio huwa natumia kununua bando, mayai, visoda soda au sabuni au dawa za meno nkiwa nauhitaji nazo!
Ila hesabu zangu ni 5000
 
Pesa inahitaji nidhamu sana!
Usiitumie kama hakuna ulazima!
Uwe na sababu ya kila sent inayotoka kwenye mfukowako!
Kama wew umeajiliwa hakikisha una hesabu kamili ya hela unayoitumia kwa siku
Kisha bundle za simu na mambo madogo madogo zitokee humo humo kwa mfano!
Mim kwa siku nimesema ntatumia 5000
Asubuhi chai buku!
Mchana 2000 usiku 2000
Ila mala nyingi usiku hua nanunua viazi 1000 (nakula siku2)
Nyanya za kachumbal na 500 na vizaga vya 500 hivi vitu nnatumia siku2
Inamaana kwsho yake ntabaki na 2000 ya usiku
Hizi ndio hua natumia kununua bando ,mayai,visoda soda au sabuni au dawa za meno nkiwa nauhitaji nazo!
Nimeielewa budget yako mkuu...imekaa mkao sana
 
Back
Top Bottom