Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
......yah mkuu. Yale mambo yetu ya movie .....+mixing kaliDah umetisha mzee.....unataka kufunga virtual dj nn[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......yah mkuu. Yale mambo yetu ya movie .....+mixing kaliDah umetisha mzee.....unataka kufunga virtual dj nn[emoji1787]
aiseee...Maisha yako ni ndoto yangu...na nina age 4+ zaidi yako...hongera sana mkuu...nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
Kitu live mzee,aiseee...Maisha yako ni ndoto yangu...na nina age 4+ zaidi yako...hongera sana mkuu...
Hongera sana Mkuunmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
Unafanya biashara au umeajiriwanmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
Nunua cha antenna ni HD elfu 75 kama sikoseiLengo langu ni kununua king'amuzi cha Azam tv as soon as nikipata hela...kwa mnaofahamu ningependa mnijuze, sasa hivi king'amuzi kimekaa kwa bei gani...
NB: Huu uzi ndio ulinifanya nizidishew hamasa ya kujitegemea na kujiunga JF..BIG UP kwa mwandishi
Unaweza ukatupatia jinsi unavyapata michongo ya hela?nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
BiasharaUnaweza ukatupatia jinsi unavyapota michongo ya hela?
BiasharaUnafany biashara au umeajiliwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Watu walichagua Biashara wengine wakaona deree ni za maanaUnaweza ukatupatia jinsi unavyapota michongo ya hela?
Bi up mkuu..hatua kwa hatua. Mimi nilianza bila sabufa..nikajichanga nikanunua bufa la 120k kkoo..nikapambana kusaka tv..nikajichanga nikavuta..now akili inanitaka nisake king'amuzi ndo napigia plan..Baada ya hapo nataka nijichange tena nivute kabati la nguo na fridge...Kipato kidogo ila najibana kiaina..sitaki kununua vitu used...So big up mkuu..
Ila maisha hayako fair..kila mtu anatamani level ya mwenzie..kama nakuona vile unataman sana PC...halafu mimi mwenye PC natamani king'amuzi, fridge na kabati la nguo....hapo hapo kuna mwanetu ana kila kitu tunachotamani...hahahahahah
nmeanza kukaa geto nna takrbani mwaka na robo, sikuondoka na mia ya mzazi, nna fridge, kitanda, dstv, TV, na kila chombo, kodi nalipa 150K, nshanunua na Gari, nmenunua kiwanja, na nategemea mwezi wa 5 nianze ujenzi ila mniombee maana mpaka sahv nna balance ya 4M, na kiwanja nmennua 10M+ ilna sna mkopo sehem yyte, na bdo niko under 23, tuombeane wakuu
Dj katika ubora wako [emoji119]View attachment 1708517
Leo nachezea tu pc
Nimeielewa budget yako mkuu...imekaa mkao sanaPesa inahitaji nidhamu sana!
Usiitumie kama hakuna ulazima!
Uwe na sababu ya kila sent inayotoka kwenye mfukowako!
Kama wew umeajiliwa hakikisha una hesabu kamili ya hela unayoitumia kwa siku
Kisha bundle za simu na mambo madogo madogo zitokee humo humo kwa mfano!
Mim kwa siku nimesema ntatumia 5000
Asubuhi chai buku!
Mchana 2000 usiku 2000
Ila mala nyingi usiku hua nanunua viazi 1000 (nakula siku2)
Nyanya za kachumbal na 500 na vizaga vya 500 hivi vitu nnatumia siku2
Inamaana kwsho yake ntabaki na 2000 ya usiku
Hizi ndio hua natumia kununua bando ,mayai,visoda soda au sabuni au dawa za meno nkiwa nauhitaji nazo!
Dj katika ubora wako [emoji119]