Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Kwaiyo sasa ww ili upgawe kidgo inabd geto liweje yan[emoji3]
Na kwanini nipagawe kisa geto la mwanaume? Simply hizo ni tamaa tena za kishamba au pengine I'm too old ndio maana naona ni mambo yasiyowezekana kufanywa na mtu mzima unless you're dating students
 
Mkuu getto la cocastic lina kila kitu..liko standard according to yeye..ndomana hapa mimi nataka nimtembelee nijifunze mengi kutoka kwake...
Hapo kuna mawili ......either kaachiwa na ndugu yake .......au aliuziwa na wale last year.....yan unauziwa vyote vilivyomo geto
 
Na kwanini nipagawe kisa geto la mwanaume? Simply hizo ni tamaa tena za kishamba au pengine I'm too old ndio maana naona ni mambo yasiyowezekana kufanywa na mtu mzima unless you're dating students
Actually sio kupagawa kiivyo...tutumie lugha nzur...kuvutiwa au kupenda room.. unavutiwa na room ikiwa vipi yani..hop hii inasound poa
 
Kulikuta geto la mwanachuo ...ambalo lipo standard ni kaz sana [emoji23][emoji23] mwenyew ingawa nimeanza chuo ...mwaka huu but ....cjafikia hyo level
Kwani wanachuo wanafanana uwezo? Au unadhan wote wanaishi kwa kutegemea boom? We nae khaaah tembea uone.
 
Na kwanini nipagawe kisa geto la mwanaume? Simply hizo ni tamaa tena za kishamba au pengine I'm too old ndio maana naona ni mambo yasiyowezekana kufanywa na mtu mzima unless you're dating students
Hapa sasa umenena.
 
Actually sio kupagawa kiivyo...tutumie lugha nzur...kuvutiwa au kupenda room.. unavutiwa na room ya ikiwa vipi yani..hop hii inasound poa
Exactly now tunaweza kwenda sawa. Hapa watu wanapost ili wengine wawe inspired. MF. Yule braza kapost TV show case kwa ambaye hana atakuwa inspired aanze kujichanga na yeye avute.

Sina mambo makubwa sana, navutiwa na usafi, mpangilio wa vitu unaoeleweka, ndani kusiwe na harufu nzito nzito zisizoeleweka nk
 
Exactly now tunaweza kwenda sawa. Hapa watu wanapost ili wengine wawe inspired. MF. Yule braza kapost TV show case kwa ambaye hana atakuwa inspired aanze kujichanga na yeye avute.

Sina mambo makubwa sana, navutiwa na usafi, mpangilio wa vitu unaoeleweka, ndani kusiwe na harufu nzito nzito zisizoeleweka nk
Big time!!! We...hutak harufu nzito nzito kbisaa[emoji119]
 
Exactly now tunaweza kwenda sawa. Hapa watu wanapost ili wengine wawe inspired. MF. Yule braza kapost TV show case kwa ambaye hana atakuwa inspired aanze kujichanga na yeye avute.

Sina mambo makubwa sana, navutiwa na usafi, mpangilio wa vitu unaoeleweka, ndani kusiwe na harufu nzito nzito zisizoeleweka nk
Kama unatumia fb kuna groups za magheto yamepambika haswa utafurahi kusafisha macho.
 
Back
Top Bottom