Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Mzee kwanza pole kwa hizo stress,,,kitu unachotakiwa kwanza tuliza kichwa chako..kisha amin unaweza fanya jambo bado..

Swala la kazi hapo hasa za kuajiriwa weka pending kwanza.... watu weng wamelemaa wakiamini kazi itakuja tu...

We ni mwanaume aka mwamba,baharia etc...sasa sie wamba tuko hivi..Macho yote huwa tunaweka mtaani na kuangalia tunaweza piga mbishe gani...Ww ukiona kuna hela sehem flan basi jichanganye naww ukapige hela..kikubwa kazi iwe halali...

Pili usiache kujifunza kitu kipya chochote kinachoweza kukupa hela..mzee jifunze mambo ni mengi sana yana hela..tumia google na youtube vizur utajifunza mambo meng utapata hela...

Mfano ngoja nikupe list ya vitu kadhaa nilivyojifunza kupitia mitandao na ndo vinavyonipa hela mimi...

1.Kuflash simu,hapa naongelea maswala ya kutoa frp, flashing, repair network,ku unlock network lock hizi na kesi kibao tu...mzee unakuta nimekaa tu naletewa simu

2.maswala ya computer maintenance,sjui kupiga window,mara drivers ku update,mara kuweka program ,mara kuweka ram,mara kufunga hdd na kesi nying tu nafanya...

3.Manunuzi ya mtandaon, AliExpres na eBay huko...nilijfunza kununua vitu huko kwa bei rahis naaagiza nakuja bongo napush faida kubwa sana...lakin pia naagizia watu bidhaa huko,navizia msimu wa offa nanunua order kwa bei chee napata cha juu na bado nalipwa hela ya kuagiza bidhaa...mfano leo nimepta offa simu mteja alilipia 380 majuzi,mim nikasubr anniversary sales ya leo AliExpres nikapata hiyo simu kwa laki 3 kamili...80 ikawa faida..sijaila hiyo faida..namm nikaweka order ya vitu vidogo vidogo mpaka 80 yote ikaisha..hivyo vitu vikija naviuza kiulaini napata backup ya mkwanja

Yani nna issue kibao nmejifunza..hizo ni samples tu..zingine ni kubwa mpka kuandika uchawi..[emoji1787]

So mwana tuliza akili anza kupamban jifunze mambo mapya,jichanganye kwenye pesa we ingia..saidia hata fundi poa tu..
comment yako imesaidia wengi. asante
 
Mzee kwanza pole kwa hizo stress,,,kitu unachotakiwa kwanza tuliza kichwa chako..kisha amin unaweza fanya jambo bado..

Swala la kazi hapo hasa za kuajiriwa weka pending kwanza.... watu weng wamelemaa wakiamini kazi itakuja tu...

We ni mwanaume aka mwamba,baharia etc...sasa sie wamba tuko hivi..Macho yote huwa tunaweka mtaani na kuangalia tunaweza piga mbishe gani...Ww ukiona kuna hela sehem flan basi jichanganye naww ukapige hela..kikubwa kazi iwe halali...

Pili usiache kujifunza kitu kipya chochote kinachoweza kukupa hela..mzee jifunze mambo ni mengi sana yana hela..tumia google na youtube vizur utajifunza mambo meng utapata hela...

Mfano ngoja nikupe list ya vitu kadhaa nilivyojifunza kupitia mitandao na ndo vinavyonipa hela mimi...

1.Kuflash simu,hapa naongelea maswala ya kutoa frp, flashing, repair network,ku unlock network lock hizi na kesi kibao tu...mzee unakuta nimekaa tu naletewa simu

2.maswala ya computer maintenance,sjui kupiga window,mara drivers ku update,mara kuweka program ,mara kuweka ram,mara kufunga hdd na kesi nying tu nafanya...

3.Manunuzi ya mtandaon, AliExpres na eBay huko...nilijfunza kununua vitu huko kwa bei rahis naaagiza nakuja bongo napush faida kubwa sana...lakin pia naagizia watu bidhaa huko,navizia msimu wa offa nanunua order kwa bei chee napata cha juu na bado nalipwa hela ya kuagiza bidhaa...mfano leo nimepta offa simu mteja alilipia 380 majuzi,mim nikasubr anniversary sales ya leo AliExpres nikapata hiyo simu kwa laki 3 kamili...80 ikawa faida..sijaila hiyo faida..namm nikaweka order ya vitu vidogo vidogo mpaka 80 yote ikaisha..hivyo vitu vikija naviuza kiulaini napata backup ya mkwanja

Yani nna issue kibao nmejifunza..hizo ni samples tu..zingine ni kubwa mpka kuandika uchawi..[emoji1787]

So mwana tuliza akili anza kupamban jifunze mambo mapya,jichanganye kwenye pesa we ingia..saidia hata fundi poa tu..
Hua namshangaa kijana ana smartphone amejaza App's za kijinga arafu hana Jamii Forum mimi simu yangu hata iwe na space ya kuweka app moja nitaweka JF
 
Kufupisha story ni kwamba gari ile niliifanya uber kipindi hicho ndo uber imeanza hope nilizisha mapambano kwani nlikuwa nahakikisha nalaza laki kila siku ya mungu na wife wakati yupo na ujauzito mkubwa akaajiri mtu wa kusambaza vitu vyake kwa wateja huku na mimi nikisambaza vyangu kwa gari huku wakati mwengne nikimsambazia na yeye,mwisho wa siku nilifungua duka ambalo wife baada a kujifungua akawa ndo msimamizi na pia deni la mzee la 20k kila siku nililitimiza na mwisho wa siku gari ikawa yetu,nakumbuka siku ya harusi babamkwe akatupa kiwanja kwa ksema altupa mtihani wa kujinunulia wenyewe means ile hela tulokuwa tunampa kila siku aliitu za na kutununulia zawadi ya kiwanja huk nasi tukiwa na vingine vitatu hiyo ndo story yangu ya geto ambayo imenipa mke na nyumba ambayo naimalizia now,watoto wangu mapacha,pamoja na gari 3,maduka na biashara nyingine na kunifanya nisahau kuajiriwa japo nna degree yangu ya first class
Piga kelele kwa jerrybanks akeeee weweeee.
Unashahili pongezi
 
Mh! hii ya leo balaa,,, kila MTU nilipomaliza chuo,, ooh! First year, watu tumetoka mbali... Kitendo cha kumaliza la saba ndo tiketi ya kuhama nyumbani. Nakumbuka kauli ya mzee huu ndo mlo wako wa mwisho cha ajabu sikumuelewa kilichonikuta asbuh nilijikuta natimuliwa ndani kama mbwa koko aliyekosea njia.nikijichek nimevaa kaptula na kaushi nikajichanganya kitaa.. okota skrepa sana!! nikajichanganya car wash zoote nikawa najulikan mwish wa siku nikaingia geleji. Ila geto letu ndo lilikua balaa watu 14 chin maboksi utajua pakula alafu kunuka kam beberu ilikua kawaida
[emoji3][emoji3][emoji3]dah
 
Sisi ambao hatujawahi kukaa gheto sijui tuna comment wapi?

Kwa upande wangu sijawahi kuishi gheto kabisa, nilipomaliza chuo nilirudi home nikakaa kwa miaka mi tatu then nikaoa ndio nikaondoka kwa wazazi, nikaanza kuishi na familia yangu binafsi.
Acha uhaya
Onyesha room YAKO kwako
 
Back
Top Bottom