Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Maish ya home pia naona good coz mtu una kaz yako n kurud home jion unakula kwa mama fresh sifikirii kuhama nyumbn myb nikiwa teyr kuwa n familia yangu. Tatz linakuja kila manzi unaemtongoz anakuulz unaisha kwko au home. [emoji1]
[emoji23] ko unamkomaa kwa bimdashi.....
Getto ipo raha bro, hasa ukiwa na harakat zako za kimaisha... Ni full uhuru an.
 
Tupieni na picha[emoji851]
,
JamiiForums-1442761708.jpg
 
Hivi, Humu hakuna mwenye anayeuza flat yake inch 32 [emoji16] bei ya ghetto lakini, maana
Oyaaa mwanangu Kama uko fresh jipange tu usinunue kwa mtu ingia shop, m nilinunuaga kwa laki 3 na elfu 70.
 
Back
Top Bottom