Black Bolt
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 257
- 417
Usimdanganye wengi humu wamepanga baada ya kupata kazi...atafute kazi.Amua tu hata leo unaweza,yani ukisema ngoja nijipange ndio nitoke home ni vigumu sana kutoka.
Ile hofu ya "Sijui nitaishije?, "Nitakula nini? ,n.k ndio huwatesa watu.