kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Nikitaka mziki wa maana niandae kama sh ngap hivi.
Heavy bass kuanzia 500000 mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikitaka mziki wa maana niandae kama sh ngap hivi.
Kutoka geto, ugali mkubwa wa dona , mayai mixer maharage, na maji makubwa ya Afya mida mida naingia gym .. Aisee ukiniona nina body lilo jengeka, kwa ajili ya hii misosi ya geto, acheni kula kwa mama ntilie kama unataka kuwa na afya njema.. View attachment 2160604
Njoo pacha nikupe possible ya UE ijayo....Serious yaan, soonest nakaribia hapo, [emoji7][emoji7]
Ngoja ujambe na uko alone upat3 mafuaKutoka geto, ugali mkubwa wa dona , mayai mixer maharage, na maji makubwa ya Afya mida mida naingia gym .. Aisee ukiniona nina body lilo jengeka, kwa ajili ya hii misosi ya geto, acheni kula kwa mama ntilie kama unataka kuwa na afya njema.. View attachment 2160604
Ngoja nijipange nitakutafutaHeavy bass kuanzia 500000 mkuu
Aisee umenikumbusha mbali sanaDaaah kitambo sana,Nakumbuka ilikuwa 2013 nilipomaliza tu O-level pale Jitegemee Sec (Mgulani) sikulaza damu nikasepa home nikiwa na 85k tu mfukoni, ambapo 75k ilikuwa ya kodi kwa 3 month na 10k ya umeme then mwanaume nina Godoro tu nililopewa na Bi mkubwa(RIP) sina hata Balbu achilia mbali feni wala bufa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]baada ya hapo sikuwahi kurudisha mpira kwa Kipa japo Changamoto zilikuwa nyingi hasa ukizingatia bado nilikuwa Najiendeleza na Shule lakini pia Sikuwa na Mishe ya Uhakika[emoji120][emoji120][emoji120]Allahamdurillah leo ni karibia 10yrs nimekuwa Baba,Mume mbele ya Watu wengine and Still Bado mapambano yanaendelea.
Kama una ndoto ya kuondoka Home na Kujitegemea ina wezekana ikiwa unayo nia ya Dhati,mimi niliumizwa na ile situation ya asubuhi tunaamka nyumba moja na Sisters tunagombea foleni kwenda kuoga pia Home hapakuwa fresh asee,Yaani Bi Maza ndiyo afanye Kila kitu dahh ilikuwa inanipa shida sana nikatamani kuwa huru,hatimaye nikafanya nikiwa na miaka 18 pekee,japo nilipingwa na Familia nikionekana mdogo lakini msimamo ukanisave[emoji120][emoji120][emoji120] wengine wanahamia vyombo wamebeba kwenye Magari,mm nakumbuka nilibeba kwenye Baiskeli tu ya mwana kigodoro changu na ndoo ndogo mbili ndani kukiwa na sufuria mbili na mwiko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na kajiko ka Mchina (kanatumia mafuta ya taa)Watu walinishangaa sana siku ile.
Ngoja nijipange nitakutafuta
Aisee [emoji23] kweli ulijitoa kuhanga ndani ya 18 years, hongera sana kwa kua na familia mkuuDaaah kitambo sana,Nakumbuka ilikuwa 2013 nilipomaliza tu O-level pale Jitegemee Sec (Mgulani) sikulaza damu nikasepa home nikiwa na 85k tu mfukoni, ambapo 75k ilikuwa ya kodi kwa 3 month na 10k ya umeme then mwanaume nina Godoro tu nililopewa na Bi mkubwa(RIP) sina hata Balbu achilia mbali feni wala bufa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]baada ya hapo sikuwahi kurudisha mpira kwa Kipa japo Changamoto zilikuwa nyingi hasa ukizingatia bado nilikuwa Najiendeleza na Shule lakini pia Sikuwa na Mishe ya Uhakika[emoji120][emoji120][emoji120]Allahamdurillah leo ni karibia 10yrs nimekuwa Baba,Mume mbele ya Watu wengine and Still Bado mapambano yanaendelea.
Kama una ndoto ya kuondoka Home na Kujitegemea ina wezekana ikiwa unayo nia ya Dhati,mimi niliumizwa na ile situation ya asubuhi tunaamka nyumba moja na Sisters tunagombea foleni kwenda kuoga pia Home hapakuwa fresh asee,Yaani Bi Maza ndiyo afanye Kila kitu dahh ilikuwa inanipa shida sana nikatamani kuwa huru,hatimaye nikafanya nikiwa na miaka 18 pekee,japo nilipingwa na Familia nikionekana mdogo lakini msimamo ukanisave[emoji120][emoji120][emoji120] wengine wanahamia vyombo wamebeba kwenye Magari,mm nakumbuka nilibeba kwenye Baiskeli tu ya mwana kigodoro changu na ndoo ndogo mbili ndani kukiwa na sufuria mbili na mwiko [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na kajiko ka Mchina (kanatumia mafuta ya taa)Watu walinishangaa sana siku ile.
hii science nani aliwafundisha? mbona haijakuwa hivyo?Ngoja ujambe na uko alone upat3 mafua
Ile ingine ushapiga bei?View attachment 2158086
Heavy bass[emoji18]
Ile ingine ushapiga bei?
Kumbe...unajua kile kichwa bado kipo sijui nakifanyajeMdaaa...kuna jamaa alifika bei nkampa
Now ipo hi....kama unapenda bass nzito basi karibu mbugan[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbugani nije kisa mziki? Umenikosa [emoji16][emoji16]Mdaaa...kuna jamaa alifika bei nkampa
Now ipo hi....kama unapenda bass nzito basi karibu mbugan[emoji23][emoji23][emoji23]
Na mie nataka mziki mnene, nuambie niandae nn ili. Unitengenezee.Mziki nasuka mwenyewe mkuuView attachment 2160283
Subwoofer haiwez push hi speaker mzee yan Hata kidogo
Kiufupi hujui hata kupika,Kutoka geto, ugali mkubwa wa dona , mayai mixer maharage, na maji makubwa ya Afya mida mida naingia gym .. Aisee ukiniona nina body lilo jengeka, kwa ajili ya hii misosi ya geto, acheni kula kwa mama ntilie kama unataka kuwa na afya njema.. View attachment 2160604
Nakuja pacha angu, [emoji23][emoji23][emoji23]Njoo pacha nikupe possible ya UE ijayo....
Na mie nataka mziki mnene, nuambie niandae nn ili. Unitengenezee.
Na malipo yako bei gani? Serious
Kumbe...unajua kile kichwa bado kipo sijui nakifanyaje
Mbugani nije kisa mziki? Umenikosa [emoji16][emoji16]