Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Haikuwa kazi rahisi but hatimae ninajivunia mji wangu
4650e2303de74a06a1ddd348d326c442.jpg


Sent from my SM-N960U using JamiiForums mobile app
 
Wale wenzangu na mimi ambao magheto yetu yapo kama msikitini tunacomment wapi ? nakumbuka kuna siku panya aliingia ndani akawa anakimbia tu kama uwanja wa taifa hajui wapi pakujificha nilimpiga lungu mmoja naona huwezi rudi tena ila hongereni kwa magheto mazuri wakuu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
kipind nmeanza kukaa getto kuna siku dingi alikuja kunicheki (nilikuw naumwa) alikuta nalalia mkeka na shuka moja ya kimasai.

nilikaa nae kama masaa manne akaniaga anaenda sokoni wakati anarudi nikasikia mlio wa pkpk kutoka nje namuona anashusha godoro 5x6 alafu nene kichiz akanipa kisha akaaga anarudi nyumbani maana muda wa magari ulikuw umeenda.

haikuchukua ata week nililiuza nikaongezea kwenye biashara nikaendelea kulalia mkeka.

sasa kuna siku alikuja town akaomba aache mizigo yake kwangu aisee ..............

ila haya maisha

[emoji3][emoji3] dah life noma kweli
 
Oy week ijayo nanunua flat inch 20 na tv show case nimemuambia fundi aichonge kwa 100,nimemkatia 45000 kama advance,tv badjet yangu ni 200000 sijui kama nitafanikiwa..niombeeni wadau nisupate majanga hapa katikati
20inches?? Mzee jikaze utoke na 32 ama 24+
 
kipind nmeanza kukaa getto kuna siku dingi alikuja kunicheki (nilikuw naumwa) alikuta nalalia mkeka na shuka moja ya kimasai.

nilikaa nae kama masaa manne akaniaga anaenda sokoni wakati anarudi nikasikia mlio wa pkpk kutoka nje namuona anashusha godoro 5x6 alafu nene kichiz akanipa kisha akaaga anarudi nyumbani maana muda wa magari ulikuw umeenda.

haikuchukua ata week nililiuza nikaongezea kwenye biashara nikaendelea kulalia mkeka.

sasa kuna siku alikuja town akaomba aache mizigo yake kwangu aisee ..............

ila haya maisha
[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom