Ulianzaje kukaa gheto?

Ulianzaje kukaa gheto?

Asante kwa ushauri kaka ila me nina watu wawil tu naowapa wanifulie alaf suala la kupikiwa me ata dem wangu akija ghetto siruhusu anipikie maana uwa simwamini mtu tangu aniforce nipeleke barua kwao.
🤣🤣🤣🤣 Kha jamani mbona tunawindwa sana na wanawake....ndoa imekua shida alafu kuna kamrembo huku jf mawardat eti hakataki kuwa mke wa pili.
 
Mungu ni mwema mwaka wapili chuoni nikanunua kimjengo changu kikiwa kimeisha ujenz woote na nikaishi na wapangaj wangu wawili . Sjawah kupanga na nyumba yangu nyumbani kwetu waliifaham baada ya kumaliza chuo
Sawa
Screenshot_20230324-183423.jpg
 
Back
Top Bottom