Kwa nini mnakataaa nyie wakati dini inaruhusu? Mbona mnakuwa wakaidi nyie wanawake? Mnatutafhtia dhambi tuu waume zenuNikuambie kitu???
Mke wa pili noooooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini mnakataaa nyie wakati dini inaruhusu? Mbona mnakuwa wakaidi nyie wanawake? Mnatutafhtia dhambi tuu waume zenuNikuambie kitu???
Mke wa pili noooooo.
🤣🤣🤣🤣 Kha jamani mbona tunawindwa sana na wanawake....ndoa imekua shida alafu kuna kamrembo huku jf mawardat eti hakataki kuwa mke wa pili.Asante kwa ushauri kaka ila me nina watu wawil tu naowapa wanifulie alaf suala la kupikiwa me ata dem wangu akija ghetto siruhusu anipikie maana uwa simwamini mtu tangu aniforce nipeleke barua kwao.
Inakera haswaWanataka company tu kwako mfue wote,,,,,,,kuishi nyumbe yenye yaidi ya watu wawili ni keroo
🚶♂️ oyaaa tumefunga ujueMungu ni mwema mwaka wapili chuoni nikanunua kimjengo changu kikiwa kimeisha ujenz woote na nikaishi na wapangaj wangu wawili . Sjawah kupanga na nyumba yangu nyumbani kwetu waliifaham baada ya kumaliza chuo
SawaMungu ni mwema mwaka wapili chuoni nikanunua kimjengo changu kikiwa kimeisha ujenz woote na nikaishi na wapangaj wangu wawili . Sjawah kupanga na nyumba yangu nyumbani kwetu waliifaham baada ya kumaliza chuo
😄😁😄Hpa sijui atawaeleza nini wakulunhlgwa tukamwelewa hakawaii kusema alikua anamtafutia classmate mwenzie
Hahahha hatari sana.[emoji1][emoji16][emoji1]Hpa sijui atawaeleza nini wakulunhlgwa tukamwelewa hakawaii kusema alikua anamtafutia classmate mwenzie
Kero kubwa sana hasa kama mkiwa hamjaelimika kifikra na kiakiliWanataka company tu kwako mfue wote,,,,,,,kuishi nyumbe yenye yaidi ya watu wawili ni keroo
[emoji23][emoji23][emoji23]unataka kusema nini 28days sio mbali[emoji2211] oyaaa tumefunga ujue
Teknolojia teknolojia teknolojia[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya
Hujambo jiraniUko wapi 😂 Ndege Tai
Japo Bomba linalopitisha Gesi linagusa chini haliweza pata moto likaleta shida?Wakuu nimenunua Jiko la gesi used sasa wakati linaletwa Om Kimguu kimoja kikatoka vikabaki vitatu, sasa ikawa inakosa balance nimetoa vyote limebaki plane haliwezi leta shida? View attachment 2564383View attachment 2564384
Ukamletea risiti kabisa
Ww ungekua mwanza...Baada ya kila sabato ningekua nakuja kukutembelea