We piga mmea achana na maneno ya wanafikiNi kweli kwamba marijuana inabagua watu. Kuna mwingine inaweza kumfanya kichaa? Maana natamani sana kuja kutumia ila hofu yangu ni kuwa pengine ikanikataa nikawa kichaa au kufanya mambo ya ajabu mtaani. Ninawaza sana. Ila kweli toka moyoni naipenda sana marijuana.
Natokea mitaa flani katikati ya jiji, kipindi nakuwa kampani yangu wote walikuwa wanakula weeds.We piga mmea achana na maneno ya wanafiki
Yeah ni kweli inabagua lkn sio kubagua hadi kua kichaa kabisa. Ukiona mtu imembagua hadi kudata kabisa ujue kuna kitu wamemchanganyia hapo ndani.Ni kweli kwamba marijuana inabagua watu. Kuna mwingine inaweza kumfanya kichaa? Maana natamani sana kuja kutumia ila hofu yangu ni kuwa pengine ikanikataa nikawa kichaa au kufanya mambo ya ajabu mtaani. Ninawaza sana. Ila kweli toka moyoni naipenda sana marijuana.
So mkuu unanishaurije hapo?Natokea mitaa flani katikati ya jiji, kipindi nakuwa kampani yangu wote walikuwa wanakula weeds.
Sehemu kubwa ya rafiki zangu hawa hawakuweza kuendelea na shule wengine wamekuwa vichaa kabisa. In fact bangi imewatenda vibaya sana rafiki zangu hawa wa utotoni!
Nikija kuanza kutumia ntamchukua rafik yangu wa karibu in case mambo yamebadilika anisaidie.Yeah ni kweli inabagua lkn sio kubagua hadi kua kichaa kabisa. Ukiona mtu imembagua hadi kudata kabisa ujue kuna kitu wamemchanganyia hapo ndani.
Hapana kwa wakati huo mambo hayawezi kubadilika ety hadi ukacharuka hapo hapo hapana.
Nikija kuanza kutumia ntamchukua rafik yangu wa karibu in case mambo yamebadilika anisaidie.
Hapana kwa wakati huo mambo hayawezi kubadilika ety hadi ukacharuka hapo hapo hapana.
Siku ya kwanza kuvuta unaweza ukaanza kuona ni kama mwili wako umemwagiwa maji, au ukaanza ona mtu wa kiume ana kalio kubwa, au ukaona vitu vingine vya ajabu ukitumia hadi mara tatu unaona vitu vya ajabu ajabu tu basi ww kiasili tu haikutaki.
Mim siku ya kwanza nilivotumia nilipata njaa. Hadi leo hii hata nikitumia nahisi njaa sana.
Kingine cha kukushauri usinunue ambayo tayali wameiroll nunua ukasafishe uroll mwenyewe utajifunza hata online.
๐๐๐Nmekimbia na michango ya harusi. Sitaki mchezo ntaolewa mwakani ๐คฃ๐คฃNakuja piemu unielekeze bibi harusi mtarajiwa[emoji23]
Ulikua unakusanya michango ukiwa uko high na bange nini๐๐๐mpaka mwaka uishe naomba uwe ushaorewaaaa๐๐๐Nmekimbia na michango ya harusi. Sitaki mchezo ntaolewa mwakani ๐คฃ๐คฃ
Hapana sikua high kabisa. Ningekua high hyo michango nisingepewa.Ulikua unakusanya michango ukiwa uko high na bange nini๐๐๐mpaka mwaka uishe naomba uwe ushaorewaaaa
Mm naskiaga njaa hata manzi nikimla show inakuwaga kibabe...Hapana kwa wakati huo mambo hayawezi kubadilika ety hadi ukacharuka hapo hapo hapana.
Siku ya kwanza kuvuta unaweza ukaanza kuona ni kama mwili wako umemwagiwa maji, au ukaanza ona mtu wa kiume ana kalio kubwa, au ukaona vitu vingine vya ajabu ukitumia hadi mara tatu unaona vitu vya ajabu ajabu tu basi ww kiasili tu haikutaki.
Mim siku ya kwanza nilivotumia nilipata njaa. Hadi leo hii hata nikitumia nahisi njaa sana.
Kingine cha kukushauri usinunue ambayo tayali wameiroll nunua ukasafishe uroll mwenyewe utajifunza hata online.
Aah me nilijuzia sana mwanzo nilikua na speed kubwa sana sigara pia fresh lkn nliacha kuvuta sigara kabisa Wala sitamani. Na sa hv bangi navuta mara 1 kila baad ya miez mitatu.Mm naskiaga njaa hata manzi nikimla show inakuwaga kibabe...
Japo saizi najuta nimevuka nipo danger zone ili nipate stimu lazma nipige sublingual ugoro...bangi dry ...na vidone vya hansone choice au k vant
๐๐๐Ngachokaaaa jamanHapana sikua high kabisa. Ningekua high hyo michango nisingepewa.
Nmekusanya hadi wale waloahidi wametoa mwisho wa siku nmepata mtaji wa kufungua duka la bunduki.
Yani nakwambiaje huyo bwana harusi akikatisha mtaani kwangu napiga grenade barabarani๐๐๐Ngachokaaaa jaman
Nimekugawa kabisa
Hata uchawi ulianza hivihiviNimeshairipoti hii thread, itafutwa punde
๐๐๐..nimecheka Sana ,mkuu achana na hii kitu kama una waswas ivyo..I remember Mara ya kwanza kula kitu niko darasa la saba dah nilipataga hasira nyingi Sana nkawa mkali ..nlimfokea sister Sana skuiyo,alaf nilikula ugali mwingi haijapata tokeaNikija kuanza kutumia ntamchukua rafik yangu wa karibu in case mambo yamebadilika anisaidie.
Mi mpka naona simanzi kuelezea ila najikosoa kuwa sikuweza kuimiliki Bangi katika akili yangu [emoji22] Najuta nmepata upweke usiokwisha kwa miaka Sasa. Sina umri mkubwa sana ila kidogo umri umeenda.Mie nilianza rasmi kuvuta bange miaka ya 2001.
Iko hivi:
Baada ya kufeli darasa la saba mwaka 1998 (sababu sikuwa na akili darasani) kipindi hicho mzee akamind sana ikabidi nisepe zangu mikoani kusaka mishe.
Nimepiga zangu mishe mishe za town miaka kadhaa ndo nikakutana na jamaa mmoja alijulikana kwa jina la Dura. Alikuwaga mpigaji flani wa hizi mishe mishe za mjini ikiwemo wizi wa mafuta ya transformers na vyuma chakavu.
Huyo jamaa ndo alinishawishi nikajiunga na group lao tukaanza rasmi wizi wa mafuta ya transformers ambayo kwa kipindi hicho yalikuwa yanalipa sana na tulipata hela sana kipindi hicho, japo kazi ilikuwaga ngumu na ya hatari sana kiasi kwamba nilijikuta naanza kuvuta bangi na hao masela wangu.
Bange ilituongezea ujasiri na umakini kwenye mission zetu zote na kiasi flani tulifanikiwa kupata hela na kuanza kumiliki mageto ya maana (japo tulikuwa tumepanga).
Ila ndo hivyo hakuna marefu yasiyo na ncha, miaka kadhaa mbele likatokea tukio baya tukiwa kwenye transformer flani; kuna makosa yakatokea ikaripuka wenzetu watatu walikufa hapo hapo na tuliopona tulijeruhiwa vibaya sana kiasi kwamba ilichukua muda kuwa sawa na ndo ikawa mwisho wangu wa hizo mishe.
Ingawaje sasa nishakuwa mtu mzima ,ninamiliki biashara kubwa ya majeneza ndani na nje ya mkoa lakini huwa navuta bange mara moja moja japo kwa siri sana, maana mwonekano wangu haufanani kabisa (ni bonge la mtu kiasi kwamba wasiofahamu biashara yangu huwa wanajua ni boss flani kwenye kampuni) [emoji1787].
Je, wewe ulianzaje kuvuta huu mmea?
Nimeshairipoti hii thread, itafutwa punde
Mashoga si nyie nyie wavuta bangeUmeshindwa kureport uzi wa mashonga unaripoti huu kwel mashoga wana nguvu sana