Ulianzaje kuvuta bangi?

Ulianzaje kuvuta bangi?

Afu ganja inapenda ule vizur 😋..maaana inatia njaa hatar ..Kuna siku kabla cjatokaga home nilivutishwa bhn nkarudi home nyt wote wamelala c nkafta msosi kwenye friji ili nikapashe nile 😋nkasema nionje kidogo ili nijue napasha kingi au kidogo ...aisee nilijikuta nakula msosi wote kwenye fridge...asubui naskia bimkubwa anamtafuta hayawani aliekula chakula chote. Na kuacha chombo kwenye fridge
 
Mi nilifanya kutest kama utafiti sijawahi vuta maishani, mi niliikula (edible) af nikatoka nikaenda gonga supu ya kuku ili niisharabu kikamilifu.

Bhana wee nilipigwa high ya kama masaaa nane hivi. Imagine.

Nilikuwa nasoma kitabu nishasahau kama nimekula bhange nikashangaa nafurahi tu😇. Bhana wee nilikula matunda yote nilokuwa nayo ndani nikanywa maji eti kuiflush mwilini lakini wapi.

Ila mmea ulinifanya kujiuliza swali moja kwamba hivi kuna maana gani tunakula, tunaenda tunakunya af tunakula tena af tunakunya tena?! Ni ujinga tu. Lakini oia tunaenda kufanya kazi tunaamka tunaenda tena tunarudi tunalala tunaamka tena cycle za kijinga tu.

Af kuna ile unapoteza kumbukumbu ya kitu unakifanya hapohapo imagine. Unachukua glasi unakunywa maji halafu unasahau kama umekunywa funda zilizopita unashangaa glass imeisha unaanza kujiuliza; ivi ni kweli nimekunywa maji au nilisahau kumimina nikanyanyua glass tupu!??🤔

The best thing ni kwamba muda ulipungua kasi mnoo, slow time dilation! Yaan kile kiswitch cha heater kujizima nilikiskia in slo mo; yaan 'ktaaaa' nikafraahi kichizi.

Mambo ni mengi tu. Ila those 6-8 hours were rhe experience of a lifetime asee, sijawahi kurudia hadi leo😅😅. Na situmii kilevi chochote.
 
😀😀😀😀

😀😀😀..nimecheka Sana ,mkuu achana na hii kitu kama una waswas ivyo..I remember Mara ya kwanza kula kitu niko darasa la saba dah nilipataga hasira nyingi Sana nkawa mkali ..nlimfokea sister Sana skuiyo,alaf nilikula ugali mwingi haijapata tokea
😂😂😂😂kuwamalizia unga bilasababu za msingi
 
Aah me nilijuzia sana mwanzo nilikua na speed kubwa sana sigara pia fresh lkn nliacha kuvuta sigara kabisa Wala sitamani. Na sa hv bangi navuta mara 1 kila baad ya miez mitatu.

Nikizidisha hapo hua natapika sana nasikia vby nikitumia nakaa sawa
Hivi ni kweli au unatufurahisha tu😂
 
Mi nilifanya kutest kama utafiti sijawahi vuta maishani, mi niliikula (edible) af nikatoka nikaenda gonga supu ya kuku ili niisharabu kikamilifu.

Bhana wee nilipigwa high ya kama masaaa nane hivi. Imagine.

Nilikuwa nasoma kitabu nishasahau kama nimekula bhange nikashangaa nafurahi tu😇. Bhana wee nilikula matunda yote nilokuwa nayo ndani nikanywa maji eti kuiflush mwilini lakini wapi.

Ila mmea ulinifanya kujiuliza swali moja kwamba hivi kuna maana gani tunakula, tunaenda tunakunya af tunakula tena af tunakunya tena?! Ni ujinga tu. Lakini oia tunaenda kufanya kazi tunaamka tunaenda tena tunarudi tunalala tunaamka tena cycle za kijinga tu.

Af kuna ile unapoteza kumbukumbu ya kitu unakifanya hapohapo imagine. Unachukua glasi unakunywa maji halafu unasahau kama umekunywa funda zilizopita unashangaa glass imeisha unaanza kujiuliza; ivi ni kweli nimekunywa maji au nilisahau kumimina nikanyanyua glass tupu!??🤔

The best thing ni kwamba muda ulipungua kasi mnoo, slow time dilation! Yaan kile kiswitch cha heater kujizima nilikiskia in slo mo; yaan 'ktaaaa' nikafraahi kichizi.

Mambo ni mengi tu. Ila those 6-8 hours were rhe experience of a lifetime asee, sijawahi kurudia hadi leo😅😅. Na situmii kilevi chochote.
Mtakuja kuwehuka sikumoja😂😂😂
 
Nikiwa kidato cha tatu Chemistry imenikolea teacher wa Physics kanitangazia vita. Home mshua wangu kafariki na brother angu kipigwa risasi kweny lile tukio kibiti karo ya shule imekua yakuchanga.
Aiseh acheni
Pole best,,,uliweza kuacha ? Au Ni mpk now
 
Niliwahi kuwa na Dem anaevuta enzi hizo,,,,

Ilikuwa hivi, nilikuwa chuo, yeye ni alikuwa nurse dispensary ya wahindi tumeenda dagaa dagaa(sinza) enzi hizo tumekula mdudu choma na kamnyweso kwa sana ,,,, !!

Tumekula maisha mpaka night kali, mm nilikuwa nimepanga room na mshakaji wangu, so Dem akasema kwa mda huo tusihangaike kwenda lodge, wacha tuende kwake,,,, !

Wote tuko vyedi, tumefika kabla ya mizagamuano nashangaa anafungua droo ya dressing table yake akatoa bangi(tayari zimesokotwa) akawasha akaanza kuvuta ,,,,,

Dah, nilishangaa Sana, sikuwahi kumuona anavuta before (labd kwa sabb sikuwa na mazoea ya kwenda kwake) , aligundua ule mshangao nikapotezea ili arelax,,,,,

Kilichofuata ? Tulikesha [emoji1][emoji1][emoji1], nakumbuka nilikuwa na kipindi saa 2 sikuweza kuhudhuria,,,, akivuta alikuwa anachizika kwa nyeg***Ni game non stop Kama hukula vzr ukashiba unaumbuka aisee,,,,

Kwa muonekano huwez mgundua,,,,Yuko humble Sana, kitambo tushaachana now tunaishi mikoa tofauti.
 
Binafsi nilipata high siku ya kwanza tu, it was an amazing experience…

Sio kitambo sana, nilikuwa katika changamoto kidogo za kimaisha, so kichwa kilipata moto kidogo, mpaka hapo situmii kilevi chochote, sivuti chochote, sina ushabiki wowote, sichangamani popote.

nikaona nivute ili kichwa kitulie kidogo na ukizingatia kwa wakati ule pombe ingenigharimu zaidi

nilinunua kete tatu, nikiwa ghetto nika vuta mpaka zilipoisha (sikuzinyonga vizuri sana) nilipomaliza sikuhisi chochote so nikawa busy kwenye kompyuta
Kwq wakati huo kuna wimbo (genre ya Opera) ulikuwa ukiplay on the background

Ghafla, zikaja stimu sijawahi sikia, ninaweza iita ile hali ecstasy kwa namna fulani, ilikuwa ni hali ya msisimuko mzuri uliokuwa ukienda sambamba na ule wimbo nikajikuta naacha kila kitu na kutulia tuliii.

Hali ile ilipotokea ilikuja na usingizi mzito sana.
Nikagundua kumbe mchanganyiko wa bangi na music vinanoga sana.

Ila hali hiyo haikujirudia tena marq zingine, au niseme sio kama siku ile ya kwanza, hivyo nikaacha kuvuta.

I cant wait kujaribu combination hii ([emoji377] + [emoji192])
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
 
Mie nilianza rasmi kuvuta bange miaka ya 2001.

Iko hivi:
Baada ya kufeli darasa la saba mwaka 1998 (sababu sikuwa na akili darasani) kipindi hicho mzee akamind sana ikabidi nisepe zangu mikoani kusaka mishe.

Nimepiga zangu mishe mishe za town miaka kadhaa ndo nikakutana na jamaa mmoja alijulikana kwa jina la Dura. Alikuwaga mpigaji flani wa hizi mishe mishe za mjini ikiwemo wizi wa mafuta ya transformers na vyuma chakavu.

Huyo jamaa ndo alinishawishi nikajiunga na group lao tukaanza rasmi wizi wa mafuta ya transformers ambayo kwa kipindi hicho yalikuwa yanalipa sana na tulipata hela sana kipindi hicho, japo kazi ilikuwaga ngumu na ya hatari sana kiasi kwamba nilijikuta naanza kuvuta bangi na hao masela wangu.

Bange ilituongezea ujasiri na umakini kwenye mission zetu zote na kiasi flani tulifanikiwa kupata hela na kuanza kumiliki mageto ya maana (japo tulikuwa tumepanga).

Ila ndo hivyo hakuna marefu yasiyo na ncha, miaka kadhaa mbele likatokea tukio baya tukiwa kwenye transformer flani; kuna makosa yakatokea ikaripuka wenzetu watatu walikufa hapo hapo na tuliopona tulijeruhiwa vibaya sana kiasi kwamba ilichukua muda kuwa sawa na ndo ikawa mwisho wangu wa hizo mishe.

Ingawaje sasa nishakuwa mtu mzima ,ninamiliki biashara kubwa ya majeneza ndani na nje ya mkoa lakini huwa navuta bange mara moja moja japo kwa siri sana, maana mwonekano wangu haufanani kabisa (ni bonge la mtu kiasi kwamba wasiofahamu biashara yangu huwa wanajua ni boss flani kwenye kampuni) [emoji1787].

Je, wewe ulianzaje kuvuta huu mmea?
Bangi ni majani ya mgomba yaliota uko kwenye mfenes yanayopita uko juu angani


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Zamani sana Tukiwa Shule...
Ilitupa stimu za kusoma sana ..
Now I can't smokie Ciggariettez any more..
 
Mtakuja kuwehuka sikumoja😂😂😂
Ndo 'nilishawehuka' hiyo siku moja.

Unajuwa samtaim ni kweli kwamba unaweza usienjoi sana ndoa kwa sababu tu huujui wala hujawahi kuuishi usingle.

Au usienjoi kufanya kazi kwa sababu hukuwahi kuwa jobless.

Kuna watu hawauenjoi vilivyo utajiri kwa sababu hawakuwahi kuwa maskini.

Nikwambie kitu dada, utaenjoi mnooooo kuwa na akili (sane) kwa sababu tu ikiwa kidogo umewah onja kuwehuka (insane). Ndo kazi ya vilevi😊
 
Wakuu mm mbona huwa navuta lakin sijawah pata stimu yoyote yaan shida nn kwan?
 
Nahisi na mimi ni muda wakuonja hiki kijiti kinipe morali
 
Binafsi nilipata high siku ya kwanza tu, it was an amazing experience…

Sio kitambo sana, nilikuwa katika changamoto kidogo za kimaisha, so kichwa kilipata moto kidogo, mpaka hapo situmii kilevi chochote, sivuti chochote, sina ushabiki wowote, sichangamani popote.

nikaona nivute ili kichwa kitulie kidogo na ukizingatia kwa wakati ule pombe ingenigharimu zaidi

nilinunua kete tatu, nikiwa ghetto nika vuta mpaka zilipoisha (sikuzinyonga vizuri sana) nilipomaliza sikuhisi chochote so nikawa busy kwenye kompyuta
Kwq wakati huo kuna wimbo (genre ya Opera) ulikuwa ukiplay on the background

Ghafla, zikaja stimu sijawahi sikia, ninaweza iita ile hali ecstasy kwa namna fulani, ilikuwa ni hali ya msisimuko mzuri uliokuwa ukienda sambamba na ule wimbo nikajikuta naacha kila kitu na kutulia tuliii.

Hali ile ilipotokea ilikuja na usingizi mzito sana.
Nikagundua kumbe mchanganyiko wa bangi na music vinanoga sana.

Ila hali hiyo haikujirudia tena marq zingine, au niseme sio kama siku ile ya kwanza, hivyo nikaacha kuvuta.

I cant wait kujaribu combination hii ([emoji377] + [emoji192])
[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Kush taam ukiwa unasikiliza mziki mwenyew mageto af ka AC au kafeni kanapuliza af pemben una vi bites unatafuna au unachek movie dah kush taam nyie sema sa hiv situmii nilikua nikivuta nakua nina dharau hata simu naweka flight mode au hata mtu akipiga sipokei namtafuta asubuh stimu zikiisha,,nilikua napenda kuvuta usiku mda wa kulala
 
Back
Top Bottom