Mie niliwahi kuvutaaa mara 1 hivi, wakat nipo 4m 3, ilikua likizo, nilikua na shost angu, sasa mchumba wake alikua mvuta bangee, siku hyo tupoo wotee mie, shost na mchumba ake,
Ndo akatuambia tuvutee kidg, aiiiiiiiih tulivutaaa ina kaharufu fulaan ka kushawishi, acha tuvutee, baadae tukanywa na ZED,
Usingizi ulikuja wa ajabuuu hata sikuelewaaa, ilikua saa 7 mchana nimekuja kustuka saa 5 usikuu, shost kalala fofofo, mchumba ake hayupo,
Namuamshaa shost kalala hatak kuamka, mie nkatoka zangu, kurud home, huku nna wenge kichwan, kufika homee niliburuzwaaa fimbooo, sema waligundua nimelewaa, hawakujua na bange nilivuta.
Tangu siku ilee sijawahi tenaa, japo mshua ni mlimaji mkuu wa bangee na mie naijuaa tangu kuipanda had kuivunaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]