Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado unapiga???Ilikua bangi mbichi nikaweka juu ya sinia nikaikausha kwenye moto kama nakaanga karanga ilivyokauka nikachukua rizla nikanyonga vizuri nikairipua ile nimepiga moshi tatu nikaskia kichwani kama kuna mtu anapiga azana.
Nikaanza kukimbia niende nyumbani kuangalia nyuma naona nguzo za umeme zinanikimbiza
Kwa nini uliacha?Kush taam ukiwa unasikiliza mziki mwenyew mageto af ka AC au kafeni kanapuliza af pemben una vi bites unatafuna au unachek movie dah kush taam nyie sema sa hiv situmii nilikua nikivuta nakua nina dharau hata simu naweka flight mode au hata mtu akipiga sipokei namtafuta asubuh stimu zikiisha,,nilikua napenda kuvuta usiku mda wa kulala
usharudi kaziniNilipoharibu kazi iliyokuwa nalipwa hela nyingi.....nilivurugwa kuliko kawaida kilevi nisichotumia ilibaki unga tu
Inadanganya bana, kuna sehemu kuna bata walianza kulia aaah...haaa, ile style yao ya kulia mi nikajua watu wanagogana, kidogo tu niwaambie haah ndio mida yenu eeh.Bangi inanifanya ni meditate