Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Jan-uary

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
984
Reaction score
1,058
Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.

Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.

Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/ clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.

Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
 
Sawa
20220808_165546.jpg
 
Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.

Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.

Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.

Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.

Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.

Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.

Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
Pole kwa kulea mimba hewa. Mimi mwenzako nilikuwa matawi ya juu zaidi. Nilimhamishia yule mwanaharamu kwenye makazi yangu, nikalea mimba na mtoto akazaliwa, nikalea. Alas, kufikia kama miezi mitatu, nikagusia mambo ya kwenye kupima DNA. Nikajibiwa ''unataka kumpima mwanangu amekuwa nyama ya kununua dukani?''. Huyooo akatimka mwenyewe bila kutimuliwa na mpaka sasa sijui aliko.
NYONGEZA: Binti alikuwa amepitiwa na wanaume wawili i.e mimi na jamaa mwingine kwa kipindi cha karibu karibu eg within wiki moja, hivyo akashindwa kujua mwenye mimba ni nani, akaamua kunisakizia mimi. Ni manzi ninayemjua mpaka kwao ila baada ya tukio sijawahi kumuona tena na kwao aliondoka.
 
Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji1787]
 
Back
Top Bottom