Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Unataka nikutajie jina? Wacha ubishi kuna watu tunawafahamu Wana maambukizi ya HIV na wameoana na wasiokuwa na maambukizi baada ya kufanya yao na mtu wa maabara.
Jaman hii dunia.....sikio tu kwa watu,ila usishuhudie...
 
Manaume majinga sana!! mtoto wa kiume ndo ana madhara lkn wa kike weye beba tu!! utamkula na/zalisha huko mbele ya safari mamake atajua sasa! akimbie au akae!! ningekuwa mie lazima nikatafute nikakule!

vitoto vya kike havikawii kukomaa!! nakala weeee!! mapaka kieleweke kanazaa vizuri tu! asinifanyie ivo na kuniroga haniwezi! namfunga pingu ndiii!! ushenzi juu ya ushenzi tyuuu hkn namna!

Mtoto lazima alipe!! labda km huyo me umezeeka!
 
Manaume majinga sana!! mtoto wa kiume ndo ana madhara lkn wa kike weye beba tu!! utamkula na/zalisha huko mbele ya safari mamake atajua sasa! akimbie au akae!! ningekuwa mie lazima nikatafute nikakule!

vitoto vya kike havikawii kukomaa!! nakala weeee!! mapaka kieleweke kanazaa vizuri tu! asinifanyie ivo na kuniroga haniwezi! namfunga pingu ndiii!! ushenzi juu ya ushenzi tyuuu hkn namna!

Mtoto lazima alipe!! labda km huyo me umezeeka!

Bangi ipigwe marufuku nchini
 
Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂😂
 
Ni 5 %hyo kubwa hvyo

Dereva anazaa na mke wa tajiri
Mke wa dereva anazaa na mume wa tajiri.

Tunaumizana wenyewe kwa wenyewe
Bangi ipigwe marufuku nchini
Angalia sasa!...…. kwani damu yako ile??? NYie ndo mnajinyongaga nyie kakule tu si ulipigwa?? hata kakiolewa fuata piga hapa jamaa akuleelee mutoto!...zisitaki mbichi hizi labda kasiwe kazuri
 
Mimi kuanzia mazingira ya mimba niliyakataa mpka mtoto anazaliwa.

Nilipo komaa kutaka kujua ukweli mama mtoto akanichana kua nikweli Mimi si baba was huyo mtoto. Kuanzia hapo akawa official X
 
Mimi kuanzia mazingira ya mimba niliyakataa mpka mtoto anazaliwa.

Nilipo komaa kutaka kujua ukweli mama mtoto akanichana kua nikweli Mimi si baba was huyo mtoto. Kuanzia hapo akawa official X
Je ulikataa ukijua sio ya kwako kweli au ulikataa kwasababu ya kukwepa majukumu?
 
Mimi nilitulia...nikatuma elfu 15,mpaka niliposkia ameenda hospitali..nikajipeleka kisirisiri..nikamkuta mwanaume mwenzangu amenitangulia..nukajua ndiye Muhusika..maana mtoto alitoka wa kipemba wakati Mimi mwenyewe gunia la mkaa..
 
Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu kama ulikuwa unahisi mimba ilikuwa siyo yako ungeikataa kiujanja yani unakuwa msumbufu kwenye kutoa huduma
 
Pole kwa kulea mimba hewa. Mimi mwenzako nilikuwa matawi ya juu zaidi. Nilimhamishia yule mwanaharamu kwenye makazi yangu, nikalea mimba na mtoto akazaliwa, nikalea. Alas, kufikia kama miezi mitatu, nikagusia mambo ya kwenye kupima DNA. Nikajibiwa ''unataka kumpima mwanangu amekuwa nyama ya kununua dukani?''. Huyooo akatimka mwenyewe bila kutimuliwa na mpaka sasa sijui aliko.
Sasa mkuu umelea mimba mpaka mwanamke kakifungua ukaishi nae, sasa hukuwajua ndugu zake na wazazi wake maana ni ngumu kuzaa na mwanamke halafu husijue ndugu zake
 
Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.

Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.

Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.

Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
Muache kutongoza magume gume yanajua kila kitu hadi mimba zinazotishia kutoka.😅😅
 
Back
Top Bottom