Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Hahahahahah mie lazma nipime DNA siwezi kulea kibwege...Hawa wanawake wahuni sana sikuhizi.
Umesema kweli. Hata mimi ndiyo maana nilisisitiza. Unajua kisa changu kilikuwa ni ile mikasa ya wewe unapitia hapo leo na mwenzako anapitia hapo wiki hiyo hiyo au wiki ijayo. Mimba ikitunga manzi anakuwa hajui mwenyewe ni nani hivyo anachagua kumsakizia yule mwenye afadhali kiuchumi na huruma.

Hata nilipompokea nilikuwa na mashaka ila nikasema subiri ajifungue ndiyo nitapima. BTW Niliokuja kuzaa baadae sikuwa na wasiwasi hata kidogo kwani kila aliyewaona mama alipotoka hospital alisema wamefanana na mimi copy.
 
Mimi nilitulia...nikatuma elfu 15,mpaka niliposkia ameenda hospitali..nikajipeleka kisirisiri..nikamkuta mwanaume mwenzangu amenitangulia..nukajua ndiye Muhusika..maana mtoto alitoka wa kipemba wakati Mimi mwenyewe gunia la mkaa..

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi kweri kweri in magu voice.
 
Usid
Umesema kweli. Hata mimi ndiyo maana nilisisitiza. Unajua kisa changu kilikuwa ni ile mikasa ya wewe unapitia hapo leo na mwenzako anapitia hapo wiki hiyo hiyo au wiki ijayo. Mimba ikitunga manzi anakuwa hajui mwenyewe ni nani hivyo anachagua kumsakizia yule mwenye afadhali kiuchumi na huruma. Hata nilipompokea nilikuwa na mashaka ila nikasema subiri ajifungue ndiyo nitapima. BTW Niliokuja kuzaa baadae sikuwa na wasiwasi hata kidogo kwani kila aliyewaona mama alipotoka hospital alisema wamefanana na mimi copy.
Usidanganyike na maneno ya akina Mama ya umefanana naye.
 
Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.

Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.

Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.

Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
[emoji38][emoji38][emoji1487] "mimba inatishia kutoka" nimecheka
 
Umesema kweli. Hata mimi ndiyo maana nilisisitiza. Unajua kisa changu kilikuwa ni ile mikasa ya wewe unapitia hapo leo na mwenzako anapitia hapo wiki hiyo hiyo au wiki ijayo. Mimba ikitunga manzi anakuwa hajui mwenyewe ni nani hivyo anachagua kumsakizia yule mwenye afadhali kiuchumi na huruma. Hata nilipompokea nilikuwa na mashaka ila nikasema subiri ajifungue ndiyo nitapima. BTW Niliokuja kuzaa baadae sikuwa na wasiwasi hata kidogo kwani kila aliyewaona mama alipotoka hospital alisema wamefanana na mimi copy.
Hata mie naona kila mtu anatoa maoni kuwa mama hajapata kitu kwa mtoto ila wananiona mimi tu zaidi hata rangi ni yangu.
 
Wakati niko chuo miaka hiyo nilikuwa na Mpenzi wa Uswazi.
Kiukweli alikuwa mzuri na alikuwa ananipa mapenzi motomoto.

Ilifika mahali akawa ananiletea pesa chuoni au chakula cha nyumbani kizuri.

Basi siku zikasonga na nilipanga nitamuoa nilimuona ana tabia njema na mchapa kazi.

Kwa kuwa nilikuwa bize na masomo ilipita kama miezi mitatu hatuonani ila tukiwasiliana mara kwa mara kwenye simu. Nilijua yuko na mishe za pesa kwani tulishaongea na kupanga mikakati ya kazi fulani mimi na yeye.

Basi ikawa anaanza kuja kunitembelea aisee alikuwa anang'aa pamba kali mtoto kiuno kinazidi kuchanika ndembe ndembe.

Nilimuuliza mwenzangu vipi michongo imekubali mbona maisha yako umebadilika akasena mambo si Haba Mr Rasterman na leo nimekuja nikuletee zawadi. Basi nikamkula siku hiyo.

Ikapita kama miezi miwili akaja nikanuona ana mimba Kubwa usawa wa miezi minne hivi.

Siku hiyo kavaa nguo za kubana ili nisione. Akaja room wakati nataka kupiga machangamsho nikaona tumbo la mimba kubwa. Ub....o ukanywea pale pale tukalala.

Nilimuuliza mbona una mimba akaniambia eti ni yangu nikamwambia sio kweli hiyo mimba ni kubwa na mimi tumeonana 2months ago.

Aliondoka hatukuonana tena hadi after 7yrs.

Yule aliyempa mimba hakumuoa ila hadi leo analipa ni mzuri tu yaani.

Ila ndio sitaki makombo mie.
Duh hii kiboko mno, na hio timming ndio inanipaga wasiwasi maana kuna uwezekano mwanamke akabebeshwa mimba na muhuni after 1 week ya kugundua akakuletea wewe upige. Ukiingia kingi tu ujue kakubebesha zigo.
 
Duh hii kiboko mno, na hio timming ndio inanipaga wasiwasi maana kuna uwezekano mwanamke akabebeshwa mimba na muhuni after 1 week ya kugundua akakuletea wewe upige. Ukiingia kingi tu ujue kakubebesha zigo.
Mimba nyingi huwa ni feki lakini bila kujali uhalisi ama ufeki wake wahudumiaji huwa zaidi ya mmoja kwenye kila gharama
 
Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.

Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.

Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.

Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.

Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu[emoji1787][emoji1541][emoji1541][emoji1541]


Mkojo wa mjamzito: Biashara nyingine ya siri isiyojulikana na wengi
 
Hatua inayochukuliwa ni moja tu, anashika njia.
 
Back
Top Bottom