Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
mtoto ana mwanya sie hatuna kwetu, hii inakuwaje??? [emoji28][emoji28][emoji28]
Jamani kama kafata kwa mama??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mtoto ana mwanya sie hatuna kwetu, hii inakuwaje??? [emoji28][emoji28][emoji28]
Ungemuendea mpimaji na policeAlimpanga mpimaji alitoa majibu ya uongo
Swal zurSasa mkuu umelea mimba mpaka mwanamke kakifungua ukaishi nae, sasa hukuwajua ndugu zake na wazazi wake maana ni ngumu kuzaa na mwanamke halafu husijue ndugu zake
Sasa ndo ukakutana nae anahangaika na maisha na ww Mungu kakubariki yaaan unaweza tamani hata awe housegirl wako washenzi sana hawa.Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ni sawa kwa mujibu wa nani sasa? Hio ngoma ishaisha...😀😀 siku zisipo wiana doubts zinaongezeka...2weeks difference ni sawa. Usije ukamkataa mwanao sababu ya Ultrasound
Ni kwa mujibu wa accuracy ya Uss na Sayansi ya mimbaNi sawa kwa mujibu wa nani sasa? Hio ngoma ishaisha...😀😀 siku zisipo wiana doubts zinaongezeka...
Mzee kua makini sana utaja lea mtoto sio wako kabisa...Ni kwa mujibu wa accuracy ya Uss na Sayansi ya mimba
Ni sawa kwa mujibu wa nani sasa? Hio ngoma ishaisha...[emoji3][emoji3] siku zisipo wiana doubts zinaongezeka...
😅😅😅Mzee kua makini sana utaja lea mtoto sio wako kabisa...
Sawa nimekuelewa...Ni kawaida tu
Makadirio ya nesi yanaweza kuwa wiki mbili mbele na ya ultrasounds yakarudi nyuma
Ila maamuzi ni ya mtu mwenyewe
Kila wiki alikuwa anaenda kwa mwenye mimba, ogopa sana wanawake weweBinafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.
Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.
Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.
Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
Njoo inbox mjubaHuwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kumla mtoto (wewe sio baba yake mzazi) wa mwanamke unayeishi nae mwenye umri zaidi ya 18 kama 28 hivi , ni kosa au sio kosa? Maoni yako tafadhaliManaume majinga sana!! mtoto wa kiume ndo ana madhara lkn wa kike weye beba tu!! utamkula na/zalisha huko mbele ya safari mamake atajua sasa! akimbie au akae!! ningekuwa mie lazima nikatafute nikakule!
vitoto vya kike havikawii kukomaa!! nakala weeee!! mapaka kieleweke kanazaa vizuri tu! asinifanyie ivo na kuniroga haniwezi! namfunga pingu ndiii!! ushenzi juu ya ushenzi tyuuu hkn namna!
Mtoto lazima alipe!! labda km huyo me umezeeka!
Muogope sana kiumbe mwanamke, wamesomea uongo wakafuzu na mwalimu wao alianza kuwafundisha edenNawajua. Waliwahi kuja mpaka nyumbani. Infacy tunaishi karibu tu. Ila baada ya hapo mwanamke alitimkia mjini. Nilisikia fununu kuwa alienda kwa huyo mwenye mimba, na huko hakukaa sana akamwachia mtoto, na kuondoka. Sasa hivi sijui aliko na ndugu zake wanaficha.
Mnajua kudanganya hadi sio poaUnaweza kuwa mjanja sana ila mapenz Kuna namna kilamtu kaonja maumivu unapigwa had unajiuliza hiv ni mm huyu nadanganywa kiasi hiki 😂😂😂
Kimaadili ni kosa kwani haitofautiani sana na kumla mama mkwe.Kumla mtoto (wewe sio baba yake mzazi) wa mwanamke unayeishi nae mwenye umri zaidi ya 18 kama 28 hivi , ni kosa au sio kosa? Maoni yako tafadhali
Mama mkwe kivipi tenaKimaadili ni kosa kwani haitofautiani sana na kumla mama mkwe.
Usimtukane Irene, utukane ubwege wako k3ng3 weweHuwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
😂😂😂Sio sana kama nyinyiMnajua kudanganya hadi sio poa