Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Ninyi mna PhD ya uongo😂😂😂Sio sana kama nyinyi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninyi mna PhD ya uongo😂😂😂Sio sana kama nyinyi
😂😂Ninyi mna PhD ya uongo
Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ulibugi kwenda hospital aliyotaka yeye ungefika njiani ukabafilisha mawazo mkaelekea hospital nyingine hawaaminikagi hawaAlimpanga mpimaji alitoa majibu ya uongo
Achana nae aliolewa na baba mwenye mtotoPole kwa kulea mimba hewa. Mimi mwenzako nilikuwa matawi ya juu zaidi. Nilimhamishia yule mwanaharamu kwenye makazi yangu, nikalea mimba na mtoto akazaliwa, nikalea. Alas, kufikia kama miezi mitatu, nikagusia mambo ya kwenye kupima DNA. Nikajibiwa ''unataka kumpima mwanangu amekuwa nyama ya kununua dukani?''. Huyooo akatimka mwenyewe bila kutimuliwa na mpaka sasa sijui aliko.
NYONGEZA: Binti alikuwa amepitiwa na wanaume wawili i.e mimi na jamaa mwingine kwa kipindi cha karibu karibu eg within wiki moja, hivyo akashindwa kujua mwenye mimba ni nani, akaamua kunisakizia mimi. Ni manzi ninayemjua mpaka kwao ila baada ya tukio sijawahi kumuona tena na kwao aliondoka.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] noma sanaBangi ipigwe marufuku nchini
Au ndiye wewe ulikataa mimba baadae ukaja kukubali ukaniachia zahma!!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Njoo inbox mjuba
Samahani mkuu kwa usumbufuAu ndiye wewe ulikataa mimba baadae ukaja kukubali ukaniachia zahma!!??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]take it easy man,ni utani tu ila nitakufuata pm boss. Sisi ni ndugu ingawa tunajificha na majina ya ajabu[emoji28][emoji28][emoji28]Samahani mkuu kwa usumbufu
Uchunguzi utafanyika tuJamani kama kafata kwa mama??
mama yako mwenyewe anampga baba yako za uso, zungumza na baba yako vzur kuna mengi kaficha moyoniUsimuamini mwanamke yeyote zaidi ya mama Yako!
Wanawake ni waongo kuliko wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
baada ya kumpa kipondo kitakatifu.
Unaweza kuta huyo mjuba ndiyo kapewa mwanao Kama shukhurani ya kumuo huyo Binti!!Mi nilinusurika kubambikiwa nilikuwa na demu wangu mmoja hivi tulidumu miezi 8+,tuliachana katika mazingira ya ajabu ajabu tu yan hadi Leo sielewi..basi nikawa nambeleza lakini wapi,nikienda kwao anauchuna,Nikasema sio kesi,nikambwaga..nikaamua kubadilisha upepo wa Maisha nikaondoka ule mkoa nikaenda dar kupambana..hayo yote kuachana na Mimi kusafiri yalifanyika ndani ya mwezi mmoja..sasa Niko dar napigiwa simu na washkaji,waliokuwa wapangaji wenzangu,mashosti zake wananilaumu Kwa kumpa mimba rafiki yao eti nimemkimbia khaa nikabaki nashangaa tu,Kuna siku walikuja kwenye ile nyumba niliyokuwa nakaa,wazazi wake walimleta ili waniozeshe,mi napata tu info ila nikakausha..baada ya mwaka mmoja nikashangaa namba ngeni inapigwa,kupokea nasikia sauti ya mrembo anasema anakuja dar,Nikasema fresh..alipokuja tukaonana tabata baada ya kumuuliza akasema mtoto ni wa mjuba mwingine ndo aliyeolewa naye..duh kimoyomoyo Nikasema ningezubaa tu ningelea mtoto si wangu!!!
Kama hizo 30,000 mnaziona ndogo kwanini hampewi na baba zenu wazazi mnawatapeli wanaume?Ulipiga mjamzito? Huu ukatili mnautoa wapi? Hako ka elfu30 kako ndo kanakupa haki ya kupiga mjamzito? Ungemuacha kwa amani na mimba yake ungepungukiwa nini? Nyie ndo watu mnaoua kabisa kisa tuhela twenu twa mawazo.