Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Ubwa kabisa huyoo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Binafsi nilishtukaga mapema, demu ni pisi alikuwa analazmisha kutaka nimle, nikaanza kushtuka hii kuwa sio kawaida yake. Halmashauri ya kichwa changu ikaniambia usile kavu, baada ya kula mbususu imepta miezi kadhaa wana wa kitaa wananipanga flan ana mimba, nikawaza huyu huyu demu alitaka anibambikizie kwa sababu anazozijua mwenyewe.
 
Dah hi ilimkuta jamaa yangu kabisa[emoji34]

Jamaa aliishi nae vzr kabisa...akijua mimba ni yake kumbe yule mdada alishakua na mimba ya miezi miwili!

Kuna day nlimuagiziaga huyu yangu tv Zanzibar
Yule jamaa wa zenj hua anakawaida ya kukupigia picha mzigo ukiwa kule anaufunga
Hivyo nkawa na zile picha kwangu

Siku napekua pekua nkaangalia zile picha nkahisi kitu kisicho kawaida
Tv ilikuj mwezi wa 12kutoka Zanzibar tar kam 3 hivi
Siku nayopekua zile picha ilikua mwezi wa nane wa mwaka unaofuata ( na ilikua ni wiki 2 nyuma yule shemeji kajifungua)
Hivyo ilikua imeshtimiza mwaka

Yule dada alianza kukaa nae mwezi wa 2 mwaka unaofuata
Hivyo tuseme mwezi wa 2hadi wa 8 ni miezi 7


Nkaona dah hi mbon km haiji kichwani
Ila kwakua n maisha ya watu nkapuuza
By the way mshikaji wangukumbe nae alishtukia tangu anajifungua
Na ulichezwa mchezo mmoja hatari sana kati ya wauguzi na yule dada ili ionekane kama mtoto kazaliwa kabla ya wakati
(Hi ni kwa maelezo yake )
Jamaa hakua okey kazin kiujumla na kwa bahat mbaya jamaa ni mkimya sana...kumbe inamtafuna ndani kwa ndani...alipoona panauma akafumua soo
Akaita ndugu zake kuja kuchek mtoto
Ndugu zake woote wakakataa kua hi sio damu yetu!
Eh vumbi likawaka...kumbana shemeji ndio akasema tu ukweli kua mimba ni ya jamaa mwingine



Mambo kadhaa yalitokea hadi hiyo tv yenyewe ikavunjwa paaah!!!

Ngoj niishie hapa
 
That 1
2 kuna day tulikua somewhere kidogo na jamaa zangu tunapooza mwili na [emoji3047] sehemu moja hivi

Yule muhudumu alikua katembelewa na mdogo wake mdada mweupe hivi

Kwa wanaonifahamu me nna utani utani sana....hivyo nlikua nkimtania yule dada kua nmempenda...na kumsifia kwingiii sana...na jamaa zangu pemben wanakazia wanamuita shem shem kama kweli yan...

Mda uliposogea tukainuka tukasepa kila mtu kwao...


Mida ya saa2 nkaona sms namba ngeni..kumuuliza wew nani ananambiya yuke dada mweupe wa mchana
Kwakua kwangu ilikua utani nkawa nshasahau

Baadae nakuj kukumbuka..nkamjibu tukaendelea na salamu na kadhalika

Kaniuliza upo wap nkamjibu getto...akajibu nakuja
Na nalal hapo hapo
[emoji15][emoji15][emoji15]
Haaah hili embe dodo lakujiokotea tena vipi

Si nkajua utani
Kaniuliza nakaa wap nkamwambia ni maeneo fulani
Akajib pow..nkaendelea kucheza zangu game nkijua n masikhara labda

Nmefika nipo hapa nkajibu wap tena...akataja pale nlipomwambia nkasema hi mbon balaa

Nkafungua mlango kidogo kutoa jicho nakuta kasimam kwenye ukuta wa anabonya bonya simu

Nkazama ndani nkafunga nkaendelea na game



Wiki moja mbele napata habari mkuu wa kituo cha police(ndio alikua anamlea) anamtafuta mwenye mimba

Dem kataja wadau kama 4 hivi
Wengine waliwatafuta aliokua anachart nao[emoji16]


Kwakua ngoma haikua inajulikana ni ya nani ikabid wasubil ajifungue

Mojo kumbe ya yule jamaa yangu bodaboda
Maana dogo alitoka na rangi moja kiwi nyeupe[emoji16][emoji16]
 
Pole kwa kulea mimba hewa. Mimi mwenzako nilikuwa matawi ya juu zaidi. Nilimhamishia yule mwanaharamu kwenye makazi yangu, nikalea mimba na mtoto akazaliwa, nikalea. Alas, kufikia kama miezi mitatu, nikagusia mambo ya kwenye kupima DNA. Nikajibiwa ''unataka kumpima mwanangu amekuwa nyama ya kununua dukani?''. Huyooo akatimka mwenyewe bila kutimuliwa na mpaka sasa sijui aliko.
NYONGEZA: Binti alikuwa amepitiwa na wanaume wawili i.e mimi na jamaa mwingine kwa kipindi cha karibu karibu eg within wiki moja, hivyo akashindwa kujua mwenye mimba ni nani, akaamua kunisakizia mimi. Ni manzi ninayemjua mpaka kwao ila baada ya tukio sijawahi kumuona tena na kwao aliondoka.
Achana nae aliolewa na baba mwenye mtoto
 
Ulibugi kwenda hospital aliyotaka yeye ungefika njiani ukabafilisha mawazo mkaelekea hospital nyingine hawaaminikagi hawa
Mara ya pili nilimshtukiza tu nikampeleka sehemu nyingine ndipo siri ikawa sio Siri tena.
 
baada ya kumpa kipondo kitakatifu.

Ulipiga mjamzito? Huu ukatili mnautoa wapi? Hako ka elfu30 kako ndo kanakupa haki ya kupiga mjamzito? Ungemuacha kwa amani na mimba yake ungepungukiwa nini? Nyie ndo watu mnaoua kabisa kisa tuhela twenu twa mawazo.
 
Mi nilinusurika kubambikiwa nilikuwa na demu wangu mmoja hivi tulidumu miezi 8+,tuliachana katika mazingira ya ajabu ajabu tu yan hadi Leo sielewi..basi nikawa nambeleza lakini wapi,nikienda kwao anauchuna,Nikasema sio kesi,nikambwaga..nikaamua kubadilisha upepo wa Maisha nikaondoka ule mkoa nikaenda dar kupambana..hayo yote kuachana na Mimi kusafiri yalifanyika ndani ya mwezi mmoja..sasa Niko dar napigiwa simu na washkaji,waliokuwa wapangaji wenzangu,mashosti zake wananilaumu Kwa kumpa mimba rafiki yao eti nimemkimbia khaa nikabaki nashangaa tu,Kuna siku walikuja kwenye ile nyumba niliyokuwa nakaa,wazazi wake walimleta ili waniozeshe,mi napata tu info ila nikakausha..baada ya mwaka mmoja nikashangaa namba ngeni inapigwa,kupokea nasikia sauti ya mrembo anasema anakuja dar,Nikasema fresh..alipokuja tukaonana tabata baada ya kumuuliza akasema mtoto ni wa mjuba mwingine ndo aliyeolewa naye..duh kimoyomoyo Nikasema ningezubaa tu ningelea mtoto si wangu!!!
Unaweza kuta huyo mjuba ndiyo kapewa mwanao Kama shukhurani ya kumuo huyo Binti!!
 
Ulipiga mjamzito? Huu ukatili mnautoa wapi? Hako ka elfu30 kako ndo kanakupa haki ya kupiga mjamzito? Ungemuacha kwa amani na mimba yake ungepungukiwa nini? Nyie ndo watu mnaoua kabisa kisa tuhela twenu twa mawazo.
Kama hizo 30,000 mnaziona ndogo kwanini hampewi na baba zenu wazazi mnawatapeli wanaume?
 
Back
Top Bottom