Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Mimi personally sijawahi ila nakumbuka kuna rafiki yangu alilea mtoto hadi kafika miaka 5 ndipo akapata wasiwasi kutokana na mwenendo wa mwanamke kuwa na kiburi na kufumania mawasiliano ya simu ikabidi azuge amchukue mtoto wakatembee akaenda nae hospital na kupima vinasaba ndipo ikaonekana sio mtoto wake kwa 98% hawana vinasaba vya kufanana.

Pole sana kwa yaliyokukuta umeongea kwa uchungu sana [emoji851]ila siku nyingine usisingizie ni jamaa yako
 
Kosa kwa mujibu wa sheria ipi kwa mfano?! Kosa ni kumla mtoto chini ya miaka 18, mtoto wako wa kumzaa au mtoto wa ndugu yako wa damu yaani blood relatives, au ndugu yako wa tumbo moja,au ambaye mnashare baba au mama.

Hawa ndio kosa kujihusisha nao kimapenzi sababu ni " incest" crime.
Kosa kwa mujibu wa sheria ipi kwa mfano?! Kosa ni kumla mtoto chini ya miaka 18, mtoto wako wa kumzaa au mtoto wa ndugu yako wa damu yaani blood relatives, au ndugu yako wa tumbo moja,au ambaye mnashare baba au mama.

Hawa ndio kosa kujihusisha nao kimapenzi sababu ni " incest" crime.
Nimekuelewa ila kimaadili na kistaarabu sio sawa. Ruksa kukosolewa
 
Iwekwe sheria tu kuwa mwanamke anapojifungua vipimo vya DNA vichukuliwe hospital na ikigindulika mtoto sio wa muhusika then mwanamke na familia yake walipishwe gharama za matunzo ya mtoto na mwanamke afunguliwe mashitaka mahakamani kifungo miezi sita au fine ya 5milion.

Halafu tuone kama DNA zitasoma tena ujauzito wa kubambikiwa. Ni makusudi tu wanafanya kwasababu hakuna mfumo wa kuwawajibisha. Ila mifumo ya uwajibishaji ikiwekwa mbona hautaona wanawake wakileta michezo na rafu za kitoto tena katika maisha ya wanaume serious.
Hii sheria itapingwa sana na wanawake,wanaharakati na NGO zao zinazo watetea.
 
Mimi personally sijawahi ila nakumbuka kuna rafiki yangu alilea mtoto hadi kafika miaka 5 ndipo akapata wasiwasi kutokana na mwenendo wa mwanamke kuwa na kiburi na kufumania mawasiliano ya simu ikabidi azuge amchukue mtoto wakatembee akaenda nae hospital na kupima vinasaba ndipo ikaonekana sio mtoto wake kwa 98% hawana vinasaba vya kufanana.

Kijana alikuja na karatasi hadi kwa bibi mzaa mama wa mtoto yaani mkwe au mama wa mwanamke. Akaja muonyesha ajionee. Binti anapigiwa simu anaanza kuwaka kwann anampeleka mtoto hospital bila ridhaa yake.

Akaitwa kwenye kikao hakutokea anakwepa. Jamaa aliondoka ila dah nilifeel yale maumivu namna alikuwa anajikaza asilie huku macho yamefura kwa hasira na huzuni. Akikumbushia miaka yote hii amehangaika kukata bima, kulipa ada, kuja kumtembelea mtoto kila weekend, kumtoa out kumpeleka sehemu za watoto acheze na wenzake.

Mbaya zaidi tukiwa kwenye hiki kikao mtoto akaingia kutoka shule ameona gari ya baba yake akaja kasi na kumrukia baba yake kama kawaida yake jamaa akajitahidi tu kucheka ili mtoto asijisikie vibaya.

Dah ile moment iliniuma sana hadi leo nikikumbuka huwa kuna huzuni kali sana inanivaa. Mtoto nasikia anamuuliza bibi yake baba atakuja kunichukua twende kutembea kule kwa bibi (akimaanisha bibi mzaa baba yake). Na mtoto anajua kupiga simu kuna siku alichukua simu ya bibi yake akapiga sana namba ya baba yake hadi akapokea wakaongea. Jamaa hiyo kitu inamuuma sana aisee.

Watoto wakike huu ushetani wa uzinifu huwa unazaa sumu kali sana kwenye jamii na madhara yake ni makubwa, mnakuja kuweka laana kwenye koo zenu na watoto wenu.

Shenzi sana. Dah [emoji25]
Kweli kabisa!! Nakazia!!
 
Haya mambo ya watoto wetu Mungu tu atusaidie ..kisa changu

Kuna demu alikua ananikubali sana yaaan kifupi alikua mchepuko wangu ambao tulikua tunaelewana sana nikampa ujauzito lakini akaona kuzaa na mtu mwenye mke haifai akautoa ujauzito ...Mm nilimaind sana tukapotezeana kwa mda .. kuna siku alikua kkoo na dada yake walikua ktk manunuzi furani akapita ofsini kwangu kunisalimia akaniambia pia anaolewa mwisho wa mwezi..mm nikampongeza pale wakaondoka.

Nimekaa kama mwaka na nusu hivi kuna siku nashangaa no ngeni inaingia kupokea ni yy ananiambia nashida sana nikamuuliza shida gani hiyo akaniomba sana tu nionane nae ndo ataniambia ila nikamwambia ww km ni maswala ya kijinga mm sipendi maana mm naheshimu sana mke wa mtu.Mm nikajiongeza maana nilikua na no ya dada yake nikampigia kumuuliza km kuna tatizo kwa mdogo wake akaniambia kaachika kwa mmewe huyo atakua anataka faraja ....mm nikaona si mbaya nitaenda kuonana nae.

Tukawa tunachat akasisitiza sana anataka aje nimpe penzi zito kidogo labda roho yake itatulia maana mmewake amemtenda sana Mm alipo kuja kwa kweli nilimchakata kweli maana alikua anashinda kwa dada yake jioni nampitia tunaenda lodge ...kwa kweli nilimtoa jasho vya kutosha akaaga anaenda kwa kwa wazazi wake akapumzike nikampa mpaka nauli akasepa cha kushangaza baada ya kuondoka akapotea hewani mm nikaona huyu labda hataki stress kumuuliza dada yake akaniambia wamerudiana na mmewe nikapotezea.

Nimekaa km miaka km minne sijawahi onana nae huyu mchepuko.Kuna siku hivi karibuni nikashangaa kaja ofsini kwangu...ajabu alikua kaongozana na dogo mmoja kumuona nilishtuka sana yaan ni mm mtupu aisee namuuliza dem anacheka tu anasema ww ulitia mbegu tu ila mwenzako analea ...Kumuliza tatizo lilikua nn mpaka akaamua kufanya hivi ..akasema jamaa hana nguvu za kuzalisha ndo maana akaandaa mazingira km kaachika maana anajua asingefanya hivo nisingekubali kulala nae..

Hili swala jamani limeniuma sana maana mtoto ni kidume cha maana na huruma iliniingia tu nikaona km nimeokoa ndoa yake maana aliniambia alipitia wakati mgumu sana kwa sababu ya manyanyaso kua hazai lakini akawa anashangaa mbona nilisha wahi toa mimba moja akaona aje na kweli akaipata ...Jamani hawa watoto wala haina haja ya kupima dna tulee tu..maana wanawake wana rafu sana.
 
Hatimae akawa single maza by choice [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mpaka leo ni single mother lakini ni mzuri balaa sijui kwanini haolewi.

Na hisi alizalishwa na mtu mzima sana
 
Mimi personally sijawahi ila nakumbuka kuna rafiki yangu alilea mtoto hadi kafika miaka 5 ndipo akapata wasiwasi kutokana na mwenendo wa mwanamke kuwa na kiburi na kufumania mawasiliano ya simu ikabidi azuge amchukue mtoto wakatembee akaenda nae hospital na kupima vinasaba ndipo ikaonekana sio mtoto wake kwa 98% hawana vinasaba vya huwa unazaa sumu kali sana kwenye jamii na madhara yake ni makubwa, mnakuja kuweka laana kwenye koo zenu na watoto wenu.

Shenzi sana. Dah [emoji25]
Hii stori ina gusa hisia sana. Kama movie vile.mtoto anakuwa hana kosa lolote lakini unajikuta na yeye unamchukia.

Hawa wanawake wana dharau sana.

Kuchepuka sawa lakini ndio Mpaka uzae kabisa? Huku ukijua kabisa sio Mtoto wa ndoa na ipo siku itajulikana.

Hizi kesi zimeleta balaa nyingi kwenye familia.

Ndio maana unakuta baadhi ya wanaume wakipata pesa zao wanaishia kumwagilia moyo tu .
 
Haya mambo ya watoto wetu Mungu tu atusaidie ..kisa changu

Kuna demu alikua ananikubali sana yaaan kifupi alikua mchepuko wangu ambao tulikua tunaelewana sana nikampa ujauzito lakini akaona kuzaa na mtu mwenye mke haifai akautoa ujauzito ...Mm nilimaind sana tukapotezeana kwa mda .. kuna siku alikua kkoo na dada yake walikua ktk manunuzi furani akapita ofsini kwangu kunisalimia akaniambia pia anaolewa mwisho wa mwezi..mm nikampongeza pale wakaondoka.

Nimekaa kama mwaka na nusu hivi kuna siku nashangaa no ngeni inaingia kupokea ni yy ananiambia nashida sana nikamuuliza shida gani hiyo akaniomba sana tu nionane nae ndo ataniambia ila nikamwambia ww km ni maswala ya kijinga mm sipendi maana mm naheshimu sana mke wa mtu.Mm nikajiongeza maana nilikua na no ya dada yake nikampigia kumuuliza km kuna tatizo kwa mdogo wake akaniambia kaachika kwa mmewe huyo atakua anataka faraja ....mm nikaona si mbaya nitaenda kuonana nae.

Tukawa tunachat akasisitiza sana anataka aje nimpe penzi zito kidogo labda roho yake itatulia maana mmewake amemtenda sana Mm alipo kuja kwa kweli nilimchakata kweli maana alikua anashinda kwa dada yake jioni nampitia tunaenda lodge ...kwa kweli nilimtoa jasho vya kutosha akaaga anaenda kwa kwa wazazi wake akapumzike nikampa mpaka nauli akasepa cha kushangaza baada ya kuondoka akapotea hewani mm nikaona huyu labda hataki stress kumuuliza dada yake akaniambia wamerudiana na mmewe nikapotezea.

Nimekaa km miaka km minne sijawahi onana nae huyu mchepuko.Kuna siku hivi karibuni nikashangaa kaja ofsini kwangu...ajabu alikua kaongozana na dogo mmoja kumuona nilishtuka sana yaan ni mm mtupu aisee namuuliza dem anacheka tu anasema ww ulitia mbegu tu ila mwenzako analea ...Kumuliza tatizo lilikua nn mpaka akaamua kufanya hivi ..akasema jamaa hana nguvu za kuzalisha ndo maana akaandaa mazingira km kaachika maana anajua asingefanya hivo nisingekubali kulala nae..

Hili swala jamani limeniuma sana maana mtoto ni kidume cha maana na huruma iliniingia tu nikaona km nimeokoa ndoa yake maana aliniambia alipitia wakati mgumu sana kwa sababu ya manyanyaso kua hazai lakini akawa anashangaa mbona nilisha wahi toa mimba moja akaona aje na kweli akaipata ...Jamani hawa watoto wala haina haja ya kupima dna tulee tu..maana wanawake wana rafu sana.
Duuh noma sana. Kwa hiyo wewe umeridhika mwanao analelewa na ukoo mwingine?
 
Iwekwe sheria tu kuwa mwanamke anapojifungua vipimo vya DNA vichukuliwe hospital na ikigindulika mtoto sio wa muhusika then mwanamke na familia yake walipishwe gharama za matunzo ya mtoto na mwanamke afunguliwe mashitaka mahakamani kifungo miezi sita au fine ya 5milion.

Halafu tuone kama DNA zitasoma tena ujauzito wa kubambikiwa. Ni makusudi tu wanafanya kwasababu hakuna mfumo wa kuwawajibisha. Ila mifumo ya uwajibishaji ikiwekwa mbona hautaona wanawake wakileta michezo na rafu za kitoto tena katika maisha ya wanaume serious.
🤣🤣🤣
 
Duuh noma sana. Kwa hiyo wewe umeridhika mwanao analelewa na ukoo mwingine?
Kuna mambo inatakiwa uyaache tu yapite maana huyo mtoto ndo furaha ya familia hiyo leo ukalete mgogoro ...Kuna vitu vingi tunatoa km sadaka mm nimekubali tu iwe sadaka.
 
Mimi personally sijawahi ila nakumbuka kuna rafiki yangu alilea mtoto hadi kafika miaka 5 ndipo akapata wasiwasi kutokana na mwenendo wa mwanamke kuwa na kiburi na kufumania mawasiliano ya simu ikabidi azuge amchukue mtoto wakatembee akaenda nae hospital na kupima vinasaba ndipo ikaonekana sio mtoto wake kwa 98% hawana vinasaba vya kufanana.

Kijana alikuja na karatasi hadi kwa bibi mzaa mama wa mtoto yaani mkwe au mama wa mwanamke. Akaja muonyesha ajionee. Binti anapigiwa simu anaanza kuwaka kwann anampeleka mtoto hospital bila ridhaa yake.

Akaitwa kwenye kikao hakutokea anakwepa. Jamaa aliondoka ila dah nilifeel yale maumivu namna alikuwa anajikaza asilie huku macho yamefura kwa hasira na huzuni. Akikumbushia miaka yote hii amehangaika kukata bima, kulipa ada, kuja kumtembelea mtoto kila weekend, kumtoa out kumpeleka sehemu za watoto acheze na wenzake.

Mbaya zaidi tukiwa kwenye hiki kikao mtoto akaingia kutoka shule ameona gari ya baba yake akaja kasi na kumrukia baba yake kama kawaida yake jamaa akajitahidi tu kucheka ili mtoto asijisikie vibaya.

Dah ile moment iliniuma sana hadi leo nikikumbuka huwa kuna huzuni kali sana inanivaa. Mtoto nasikia anamuuliza bibi yake baba atakuja kunichukua twende kutembea kule kwa bibi (akimaanisha bibi mzaa baba yake). Na mtoto anajua kupiga simu kuna siku alichukua simu ya bibi yake akapiga sana namba ya baba yake hadi akapokea wakaongea. Jamaa hiyo kitu inamuuma sana aisee.

Watoto wakike huu ushetani wa uzinifu huwa unazaa sumu kali sana kwenye jamii na madhara yake ni makubwa, mnakuja kuweka laana kwenye koo zenu na watoto wenu.

Shenzi sana. Dah [emoji25]
Mkuu masikini hasingiziwi mtoto ukiona mwanamke kakusingizia mtoto hujue upo vizuri kiuchumi
 
Mi juzi Kati Kuna demu nilipiga naye show, akarudi kwao baada ya siku 5 akaniambia siku zake hazioni( M.P)....nimeuchuna tu mpaka Muda huu sijamwambia chochote.


Naomba Hili langu nalo lisije likawa Kama la mtoa mada maana nahisi demu ananipiga tu fix nakumbuka tulikorofishana kdgo k'o labda anasingizia mimba ili nirudi kwenye 18 zake🤔 we
 
Halafu siku hizi wimbi la Wanawake Kupoteza siku zao zimekuwa nyingi sana, Sijui nani anawaibia maana kila ukitoka ku sex naye ikipita wiki 2/3 utapewa taarifa ya kutokuona siku zake!

Mimi huwa napotezea simjibu chochote ndani ya Mwezi unaofuata naona zinakujaga kuonekana na wengine wanakwambia alishika Mimba ikatoka
 
Back
Top Bottom