Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

Kama hizo 30,000 mnaziona ndogo kwanini hampewi na baba zenu wazazi mnawatapeli wanaume?

Wewe ni boya kwa kupiga mjamzito na kuona ni sifa. Ni boya kupiga mwanamke let alone mjamzito.

Yani unataka ulale na mwanamke afu matumizi apewe na Baba yake? Nyie vivulana vya siku hizi vizwazwa sana. Mnakimbia majukumu na kujisifia ujinga tu. Baba yake alimpa akiwa kwao
 
Wewe ni boya kwa kupiga mjamzito na kuona ni sifa. Ni boya kupiga mwanamke let alone mjamzito.

Yani unataka ulale na mwanamke afu matumizi apewe na Baba yake? Nyie vivulana vya siku hizi vizwazwa sana. Mnakimbia majukumu na kujisifia ujinga tu. Baba yake alimpa akiwa kwao

Wakati we hizo 30 unatoa tu za icecream na sio papuchi wala
 
Mbona zijakuelewa vema hapo mwishoni, mwanamke alijifungua ndipo ukagundua mtoto sio wako au ujauzito ulitoka ukiwa na miwzi5 mitatu, story yako mwishoni haijakaa vema.
 
Mbona zijakuelewa vema hapo mwishoni, mwanamke alijifungua ndipo ukagundua mtoto sio wako au ujauzito ulitoka ukiwa na miwzi5 mitatu, story yako mwishoni haijakaa vema.
Nimekuja mbio nikajua umeshabambikwa mtoto nianze kucheka
 
Mimi personally sijawahi ila nakumbuka kuna rafiki yangu alilea mtoto hadi kafika miaka 5 ndipo akapata wasiwasi kutokana na mwenendo wa mwanamke kuwa na kiburi na kufumania mawasiliano ya simu ikabidi azuge amchukue mtoto wakatembee akaenda nae hospital na kupima vinasaba ndipo ikaonekana sio mtoto wake kwa 98% hawana vinasaba vya kufanana.

Kijana alikuja na karatasi hadi kwa bibi mzaa mama wa mtoto yaani mkwe au mama wa mwanamke. Akaja muonyesha ajionee. Binti anapigiwa simu anaanza kuwaka kwann anampeleka mtoto hospital bila ridhaa yake.

Akaitwa kwenye kikao hakutokea anakwepa. Jamaa aliondoka ila dah nilifeel yale maumivu namna alikuwa anajikaza asilie huku macho yamefura kwa hasira na huzuni. Akikumbushia miaka yote hii amehangaika kukata bima, kulipa ada, kuja kumtembelea mtoto kila weekend, kumtoa out kumpeleka sehemu za watoto acheze na wenzake.

Mbaya zaidi tukiwa kwenye hiki kikao mtoto akaingia kutoka shule ameona gari ya baba yake akaja kasi na kumrukia baba yake kama kawaida yake jamaa akajitahidi tu kucheka ili mtoto asijisikie vibaya.

Dah ile moment iliniuma sana hadi leo nikikumbuka huwa kuna huzuni kali sana inanivaa. Mtoto nasikia anamuuliza bibi yake baba atakuja kunichukua twende kutembea kule kwa bibi (akimaanisha bibi mzaa baba yake). Na mtoto anajua kupiga simu kuna siku alichukua simu ya bibi yake akapiga sana namba ya baba yake hadi akapokea wakaongea. Jamaa hiyo kitu inamuuma sana aisee.

Watoto wakike huu ushetani wa uzinifu huwa unazaa sumu kali sana kwenye jamii na madhara yake ni makubwa, mnakuja kuweka laana kwenye koo zenu na watoto wenu.

Shenzi sana. Dah [emoji25]
 
Nimekuja mbio nikajua umeshabambikwa mtoto nianze kucheka
Weeeee me kwanza ili nibambikiwe sijui itokee vipi. Kwanza kanuni ya kwanza sina mahusiano na mtu nisiyemuamini mwenendo wake. Na hadi nijiridhishe sana ndipo tutajikuta kitandani pamoja. Nje ya hapo mitego ya wizi wizi huwa sinasi.
 
Iwekwe sheria tu kuwa mwanamke anapojifungua vipimo vya DNA vichukuliwe hospital na ikigindulika mtoto sio wa muhusika then mwanamke na familia yake walipishwe gharama za matunzo ya mtoto na mwanamke afunguliwe mashitaka mahakamani kifungo miezi sita au fine ya 5milion.

Halafu tuone kama DNA zitasoma tena ujauzito wa kubambikiwa. Ni makusudi tu wanafanya kwasababu hakuna mfumo wa kuwawajibisha. Ila mifumo ya uwajibishaji ikiwekwa mbona hautaona wanawake wakileta michezo na rafu za kitoto tena katika maisha ya wanaume serious.
 
Unaweza kuwa mjanja sana ila mapenz Kuna namna kilamtu kaonja maumivu unapigwa had unajiuliza hiv ni mm huyu nadanganywa kiasi hiki [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2297][emoji2297][emoji2357][emoji2357],unajiuliza mimi kabisa comrade ! Linanikuta jambo..
 
Manaume majinga sana!! mtoto wa kiume ndo ana madhara lkn wa kike weye beba tu!! utamkula na/zalisha huko mbele ya safari mamake atajua sasa! akimbie au akae!! ningekuwa mie lazima nikatafute nikakule!

vitoto vya kike havikawii kukomaa!! nakala weeee!! mapaka kieleweke kanazaa vizuri tu! asinifanyie ivo na kuniroga haniwezi! namfunga pingu ndiii!! ushenzi juu ya ushenzi tyuuu hkn namna!

Mtoto lazima alipe!! labda km huyo me umezeeka!
Kuna hizi kesi za baba kulala na mwanae wa kumzaa ( sio baba kubaka mwanae wa kumzaa). Hivi hizi kesi huwa mnafuatilia zinaishia wapi?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maana wazee wa baraza huko wakishasikia maelezo ya mwanaume kesi huwa inafungwa hapo hapo. Maana wanajaribu kupiga hesabu huyu mwanamke alikuwa anajiona mjanja kumbambikia jamaa damu ambayo si yake.

Sasa kibao kimemgeukia mtoto amegeuka mke mwenza na yeye anageuzwa kuwa mkwe. Hayo maumivu yake ni mara mbili ya yule aliyegundua kabambikiwa ujauzito usio wake.

Watoto nao huwa wanajua damu zao, wakishaishi baada ya muda wanajua kabisa huyu sio baba yangu hata usipowaambia maana damu zinakuwa hasiwaki wanapokuwa karibu.

So wanawake mnachokitengeneza kitawagharimu baadae na aibu zinarudi kwenu. Lindeni utu wenu kwa kuwa wawazi. Wanaume hawachezewi akili.
 
Wakati niko chuo miaka hiyo nilikuwa na Mpenzi wa Uswazi.
Kiukweli alikuwa mzuri na alikuwa ananipa mapenzi motomoto.

Ilifika mahali akawa ananiletea pesa chuoni au chakula cha nyumbani kizuri.

Basi siku zikasonga na nilipanga nitamuoa nilimuona ana tabia njema na mchapa kazi.

Kwa kuwa nilikuwa bize na masomo ilipita kama miezi mitatu hatuonani ila tukiwasiliana mara kwa mara kwenye simu. Nilijua yuko na mishe za pesa kwani tulishaongea na kupanga mikakati ya kazi fulani mimi na yeye.

Basi ikawa anaanza kuja kunitembelea aisee alikuwa anang'aa pamba kali mtoto kiuno kinazidi kuchanika ndembe ndembe.

Nilimuuliza mwenzangu vipi michongo imekubali mbona maisha yako umebadilika akasena mambo si Haba Mr Rasterman na leo nimekuja nikuletee zawadi. Basi nikamkula siku hiyo.

Ikapita kama miezi miwili akaja nikanuona ana mimba Kubwa usawa wa miezi minne hivi.

Siku hiyo kavaa nguo za kubana ili nisione. Akaja room wakati nataka kupiga machangamsho nikaona tumbo la mimba kubwa. Ub....o ukanywea pale pale tukalala.

Nilimuuliza mbona una mimba akaniambia eti ni yangu nikamwambia sio kweli hiyo mimba ni kubwa na mimi tumeonana 2months ago.

Aliondoka hatukuonana tena hadi after 7yrs.

Yule aliyempa mimba hakumuoa ila hadi leo analipa ni mzuri tu yaani.

Ila ndio sitaki makombo mie.
Hatimae akawa single maza by choice [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unapigwa kama ngoma, hamna mjanja wa mapenzi kila mtu ana mjanja wake [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Shughuli inaanza unakopenda wewe 100% mwenzio anapenda 40%...Nje kuna mtu ndio anampenda by 100% ila ananyooshwa freshi tu.
Si aondoke sasa.
 
Kumla mtoto (wewe sio baba yake mzazi) wa mwanamke unayeishi nae mwenye umri zaidi ya 18 kama 28 hivi , ni kosa au sio kosa? Maoni yako tafadhali
Kosa kwa mujibu wa sheria ipi kwa mfano?! Kosa ni kumla mtoto chini ya miaka 18, mtoto wako wa kumzaa au mtoto wa ndugu yako wa damu yaani blood relatives, au ndugu yako wa tumbo moja,au ambaye mnashare baba au mama.

Hawa ndio kosa kujihusisha nao kimapenzi sababu ni " incest" crime.
 
That 1
2 kuna day tulikua somewhere kidogo na jamaa zangu tunapooza mwili na [emoji3047] sehemu moja hivi

Yule muhudumu alikua katembelewa na mdogo wake mdada mweupe hivi

Kwa wanaonifahamu me nna utani utani sana....hivyo nlikua nkimtania yule dada kua nmempenda...na kumsifia kwingiii sana...na jamaa zangu pemben wanakazia wanamuita shem shem kama kweli yan...

Mda uliposogea tukainuka tukasepa kila mtu kwao...


Mida ya saa2 nkaona sms namba ngeni..kumuuliza wew nani ananambiya yuke dada mweupe wa mchana
Kwakua kwangu ilikua utani nkawa nshasahau

Baadae nakuj kukumbuka..nkamjibu tukaendelea na salamu na kadhalika

Kaniuliza upo wap nkamjibu getto...akajibu nakuja
Na nalal hapo hapo
[emoji15][emoji15][emoji15]
Haaah hili embe dodo lakujiokotea tena vipi

Si nkajua utani
Kaniuliza nakaa wap nkamwambia ni maeneo fulani
Akajib pow..nkaendelea kucheza zangu game nkijua n masikhara labda

Nmefika nipo hapa nkajibu wap tena...akataja pale nlipomwambia nkasema hi mbon balaa

Nkafungua mlango kidogo kutoa jicho nakuta kasimam kwenye ukuta wa anabonya bonya simu

Nkazama ndani nkafunga nkaendelea na game



Wiki moja mbele napata habari mkuu wa kituo cha police(ndio alikua anamlea) anamtafuta mwenye mimba

Dem kataja wadau kama 4 hivi
Wengine waliwatafuta aliokua anachart nao[emoji16]


Kwakua ngoma haikua inajulikana ni ya nani ikabid wasubil ajifungue

Mojo kumbe ya yule jamaa yangu bodaboda
Maana dogo alitoka na rangi moja kiwi nyeupe[emoji16][emoji16]

Kiwi nyeusi [emoji276][emoji28]
 
Back
Top Bottom