That 1
2 kuna day tulikua somewhere kidogo na jamaa zangu tunapooza mwili na [emoji3047] sehemu moja hivi
Yule muhudumu alikua katembelewa na mdogo wake mdada mweupe hivi
Kwa wanaonifahamu me nna utani utani sana....hivyo nlikua nkimtania yule dada kua nmempenda...na kumsifia kwingiii sana...na jamaa zangu pemben wanakazia wanamuita shem shem kama kweli yan...
Mda uliposogea tukainuka tukasepa kila mtu kwao...
Mida ya saa2 nkaona sms namba ngeni..kumuuliza wew nani ananambiya yuke dada mweupe wa mchana
Kwakua kwangu ilikua utani nkawa nshasahau
Baadae nakuj kukumbuka..nkamjibu tukaendelea na salamu na kadhalika
Kaniuliza upo wap nkamjibu getto...akajibu nakuja
Na nalal hapo hapo
[emoji15][emoji15][emoji15]
Haaah hili embe dodo lakujiokotea tena vipi
Si nkajua utani
Kaniuliza nakaa wap nkamwambia ni maeneo fulani
Akajib pow..nkaendelea kucheza zangu game nkijua n masikhara labda
Nmefika nipo hapa nkajibu wap tena...akataja pale nlipomwambia nkasema hi mbon balaa
Nkafungua mlango kidogo kutoa jicho nakuta kasimam kwenye ukuta wa anabonya bonya simu
Nkazama ndani nkafunga nkaendelea na game
Wiki moja mbele napata habari mkuu wa kituo cha police(ndio alikua anamlea) anamtafuta mwenye mimba
Dem kataja wadau kama 4 hivi
Wengine waliwatafuta aliokua anachart nao[emoji16]
Kwakua ngoma haikua inajulikana ni ya nani ikabid wasubil ajifungue
Mojo kumbe ya yule jamaa yangu bodaboda
Maana dogo alitoka na rangi moja kiwi nyeupe[emoji16][emoji16]