Mleta mada mwenyewe kaanza kwa kujitoa kwanzaJf unaweza kudhani mada fulana haina wahusika...[emoji28] soma comments sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mleta mada mwenyewe kaanza kwa kujitoa kwanzaJf unaweza kudhani mada fulana haina wahusika...[emoji28] soma comments sasa.
Hahahaa jamaa umenifurahishaPole kwa kulea mimba hewa. Mimi mwenzako nilikuwa matawi ya juu zaidi. Nilimhamishia yule mwanaharamu kwenye makazi yangu, nikalea mimba na mtoto akazaliwa, nikalea. Alas, kufikia kama miezi mitatu, nikagusia mambo ya kwenye kupima DNA. Nikajibiwa ''unataka kumpima mwanangu amekuwa nyama ya kununua dukani?''. Huyooo akatimka mwenyewe bila kutimuliwa na mpaka sasa sijui aliko.
😅😅😅😅😅😅pole sana.Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Baada ya kuzaliwa au mimbaSiku zote uwa baada ya miez miwil au mitatu ya mtoto kuzaliwa ndio ukweli wajulikana niishie hapo tu...
Huyu dem amesoma udom??Huwa sisahau aibu niliyoipata Mimi Kwa ndugu zangu na marafiki zangu .
Nilibambikiziwa mimba nikalea mimba hadi kujifungua,miezi miwili baada ya kujifungua nikashangaa mbona siombwi hela kama mwanzo ilihali Sasa hivi mtoto na mama wanahitaji pesa nyingi!!?!siku kuja kumuuliza anasema mwenye mimba alikataa mwanzo Sasa kakubali kwahiyo Sina changu.
Irene popote ulipo sijakusahau mshenzi wewe ulinisababishia aibu na fedheha,nilikonda,nikakosa ufanisi kazini, nilipewa warning letter baadae wakakataa kurenew mkataba wangu,nilikosa kazi.
Niliskia uko marangu mtoni unateseka mbwa weweee.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu watu wanaenda na mkojo wa mja mzito akifika anapewa kikopo anaenda kumimina. Mpimaji yeye anajua mkojo ni wa aliyewekaMpimaji gani akubali ujinga huo... Au story ni chai.. Au kweli kuwa na mimba ikatoka..
😅😅😅ukute ndio mke wako wa sasaHuyu dem amesoma udom??
Inawezekana ikawa more than thatInasemekana 10% ya kina Baba wanalea watoto sio wao!
😅😅😅Ni 5 %hyo kubwa hvyo
Dereva anazaa na mke wa tajiri
Mke wa dereva anazaa na mume wa tajiri.
Tunaumizana wenyewe kwa wenyewe
Mkuu tuseme kwa mfano angekuwa na yeye wa gunia la mkaa mpaka hapo ungekuwa ushapigwaMimi nilitulia...nikatuma elfu 15,mpaka niliposkia ameenda hospitali..nikajipeleka kisirisiri..nikamkuta mwanaume mwenzangu amenitangulia..nukajua ndiye Muhusika..maana mtoto alitoka wa kipemba wakati Mimi mwenyewe gunia la mkaa..
Inaonekana jamaa alishatilia mashakaJe ulikataa ukijua sio ya kwako kweli au ulikataa kwasababu ya kukwepa majukumu?
Kumbe ujuba nao unasaidia sana. Ungekubali tu ingekula kwako.Nilihudumia Ujauzito hadi akajifungua , baada ya kunilazimisha kwake nimuoe yeye kama mke wa pili (mke mdogo) kugonga mwamba, akaniambia mtoto si wa kwangu, nikamjibu poa
Sent using Jamii Forums mobile app
😅😅😅inaonekana ilikuwa unampenda sana. Ila yeye hakuwa anakupenda.Yaan yule mshenzi alisababisha mivurugano kwenye kichwa changu ilifikia hatua hadi kila nikisalimiwa na mtu natamani nimsimulie yanayonisibu.
Mapensiiiii mabayaaaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Wakati niko chuo miaka hiyo nilikuwa na Mpenzi wa Uswazi.Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba.
Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza kumhudumia kama mke wangu. Mara kinatakiwa hiki, mara kile, nikaja kushtuka baada ya miezi mitatu na nusu ukawa ndiyo mwisho wa mahusiano yetu baada ya kumpa kipondo kitakatifu.
Kinachoniuma mpaka kesho ni zile gharama za hospital/clinic, maana alikuwa akiniambia mimba inatishia kutoka kwahiyo anatakiwa kuhudhuria clinic kila wiki.
Wewe je, ulibambikwa nini na ulichukua hatua gani baada ya kugundua umefanywa bwege?
😂😂😂Mapenz mabaya sanaYaan yule mshenzi alisababisha mivurugano kwenye kichwa changu ilifikia hatua hadi kila nikisalimiwa na mtu natamani nimsimulie yanayonisibu.
Mapensiiiii mabayaaaaaaaa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sasa mkuu matokeo yakija lazima kutakuwa na utofauti wa miezi au wiki mfano umeenda kupima na mpenzi na huyo mpenzi wako kapeleka mkojo siyo wake kachukua wa mjamzito sasa majibu ya kutoka lazima utashtuka siku mliyokutana na jibu mtakalo pewa.Mkuu watu wanaenda na mkojo wa mja mzito akifika anapewa kikopo anaenda kumimina. Mpimaji yeye anajua mkojo ni wa aliyeweka
Nawajua. Waliwahi kuja mpaka nyumbani. Infacy tunaishi karibu tu. Ila baada ya hapo mwanamke alitimkia mjini. Nilisikia fununu kuwa alienda kwa huyo mwenye mimba, na huko hakukaa sana akamwachia mtoto, na kuondoka. Sasa hivi sijui aliko na ndugu zake wanaficha.Sasa mkuu umelea mimba mpaka mwanamke kakifungua ukaishi nae, sasa hukuwajua ndugu zake na wazazi wake maana ni ngumu kuzaa na mwanamke halafu husijue ndugu zake
NdiooooooKumbe ujuba nao unasaidia sana. Ungekubali tu ingekula kwako.
Aisee hawa wanawake kumbe wametubebesha sana.
Unajua Mungu akusaidie uzae mtoto mnayefanana. Nje ya hapo unabaki na mashaka kweli kweli
Hahahahahah mie lazma nipime DNA siwezi kulea kibwege...Hawa wanawake wahuni sana sikuhizi.Pole kwa kulea mimba hewa. Mimi mwenzako nilikuwa matawi ya juu zaidi. Nilimhamishia yule mwanaharamu kwenye makazi yangu, nikalea mimba na mtoto akazaliwa, nikalea. Alas, kufikia kama miezi mitatu, nikagusia mambo ya kwenye kupima DNA. Nikajibiwa ''unataka kumpima mwanangu amekuwa nyama ya kununua dukani?''. Huyooo akatimka mwenyewe bila kutimuliwa na mpaka sasa sijui aliko.