Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamama wanyaki hawatakagi mchezo ni bakora tu.Kama huwajui Hawa wamama wakinyakyusa kausha tu Maana balaa lao sio mchezo wako serious sana [emoji23]
Hahaha wazee wa zamani binti akipata mimba walikuwa wanafukuza mama na mtotoEnzi hizo nipo chuo ..nilienda home weekend na Baba hua ana kawaida ya kunipa pesa nikifika tu home hata iwe usiku ataniamsha...
Hapana sio laana ni mapito tu,njia zetu hazwezi kufananaHii sasa ni laana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji1787]Nilipata matokeo mabovu O-level ila Bi.mkubwa akawa anani-promote mbele ya familia ambayo ilifura kwa hasira kiasi kwamba ile Division Mbovu niliopata waamini ni Division 1 (one) iliyoopoza tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Duhhh poleSana tu mpaka sikumbuki ni mara ngapi.
Ila ninayo kumbuka nikiwa chekechea nikashindwa maswali ma tano baba akaniita akanipa maswali mengine ya hesabu baadhi nikashindwa...