Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Enzi hizo nipo chuo ..nilienda home weekend na Baba hua ana kawaida ya kunipa pesa nikifika tu home hata iwe usiku ataniamsha..Basi bana siku moja kaniachia zake pesa kaenda job Kuna kipindi hua kazini kwao wanaenda katikati ya bahari huko Basi atakaa hata week..Sasa namimi si nilijua mshua harudi Hadi week ipite bana..nikavuta sikwenda hostel jpili coz j3 nilikua na miadi na shemeji yenu😊.
J3 bimkubwa kaenda zake kibaruani mida imefika nikaonane na shemeji yenu mara moja Kuna pesa aliniletea na alinihamu kuniona..ni kituo kinachofuata baada ya home nikafunga zangu milango Mimi huyooo..ile nafika tu eneo la tukio naingia tu geti la ile bar nakutana na Baba macho kwa macho..😂😂imagine anajua nishasepa hostel🤣🤣.
Nikasema sirudi nyuma nikamsogelea salamu..akaniuliza vipi hapa ndipo hostel!!?..nilibaki naunyaunya na mbaya zaidi mwamba nae alikaa kwenye Kona ambayo nikipiga jicho naonana nae..lilivyozoba linanipa ishara nipo hapa njoo😣..aisee..najaribu kumkazia macho lakini wapi..si akanyanyuka ilibidi niwasiliane na kwa kichwa atoke pale aende nje..Baba anajifanya anaangalia simu yake Kama haoni..akaniruhusu nisepe.
Jioni Sasa huyu hapa karudi..maswali yakaanza nabaki tu kutumbua macho..Mama anasema nimemuacha nyumbani huyu alitoka muda gani..unamsingizia mtoto..baada ya kuona mabishano mengi kidogo niropoke ..Mama akamuwahi Baba .."nimekumbuka nilimtuma aende akachukue pesa kwa mteja wangu..wewe nawe kwanini hukuniambia Kama ulienda"..hapo Mama kanikazia jicho..hapo ndipo nilipata ahueni na kulala nikaenda hata kula sikula.. nikikumbuka ile siku 😂😂😂😂
J3 bimkubwa kaenda zake kibaruani mida imefika nikaonane na shemeji yenu mara moja Kuna pesa aliniletea na alinihamu kuniona..ni kituo kinachofuata baada ya home nikafunga zangu milango Mimi huyooo..ile nafika tu eneo la tukio naingia tu geti la ile bar nakutana na Baba macho kwa macho..😂😂imagine anajua nishasepa hostel🤣🤣.
Nikasema sirudi nyuma nikamsogelea salamu..akaniuliza vipi hapa ndipo hostel!!?..nilibaki naunyaunya na mbaya zaidi mwamba nae alikaa kwenye Kona ambayo nikipiga jicho naonana nae..lilivyozoba linanipa ishara nipo hapa njoo😣..aisee..najaribu kumkazia macho lakini wapi..si akanyanyuka ilibidi niwasiliane na kwa kichwa atoke pale aende nje..Baba anajifanya anaangalia simu yake Kama haoni..akaniruhusu nisepe.
Jioni Sasa huyu hapa karudi..maswali yakaanza nabaki tu kutumbua macho..Mama anasema nimemuacha nyumbani huyu alitoka muda gani..unamsingizia mtoto..baada ya kuona mabishano mengi kidogo niropoke ..Mama akamuwahi Baba .."nimekumbuka nilimtuma aende akachukue pesa kwa mteja wangu..wewe nawe kwanini hukuniambia Kama ulienda"..hapo Mama kanikazia jicho..hapo ndipo nilipata ahueni na kulala nikaenda hata kula sikula.. nikikumbuka ile siku 😂😂😂😂