Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
AhahahahahhahaHahah mwaisa wamama wakinyaki hawataki utani unaweza kula chai akakuongezea chai[emoji38][emoji38]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahahahahhahaHahah mwaisa wamama wakinyaki hawataki utani unaweza kula chai akakuongezea chai[emoji38][emoji38]
[emoji16] Mkuu ni kama Hali flani hv unapata ZERO na familia yote inajua kuwa ni ZERO ila Bi.mkubwa pekee anajua umepata Zero ila anaamini ni One isiyochangamka[emoji1787]. Ile promo aliokuwa ananipa huwezi amini hata mm ilibaki kidogo nikatie rufaa matokeo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Hapo kwa ** ubao usome 1-1**
Na alikuwa anamanisha, hakujishughulisha hata kidogoUkome sasa.... 🤣🤣🤣🤣🤣 ""Acheni aende tuu""
Ungemuoa huyo... Aliyekufanya mtoto wa kiume kupata mhahoHeheh ngoja na mimi niweke kisa changu, miaka kadhaa iliyopita nikiwa form 3, kuna mtoto mmoja wa kisabato alitokea kunielewa,kiukweli ile Pisi ilinielewa sijawahi kuona..yeye alikuwa form 4 ila shule tofauti...
Ulikua mtundu sana wewe... Duuuh 😳Na alikuwa anamanisha, hakujishughulisha hata kidogo
Bi mkubwa alitisha mkuu 🤝🤝🤝🤣🤣🤣🤣[emoji16] Mkuu ni kama Hali flani hv unapata ZERO na familia yote inajua kuwa ni ZERO ila Bi.mkubwa pekee anajua umepata Zero ila anaamini ni One isiyochangamka[emoji1787]. Ile promo aliokuwa ananipa huwezi amini hata mm ilibaki kidogo nikatie rufaa matokeo.
Bi mkubwa ndio alikutetea au...?Hahaaa nilikula ada chuo kikuu second year
🤣🤣🤣🤣🤣 Bora kesi uwe unaimalizia huko huko before ijafika kwa bi mkubwa auBi mkubwa wangu hajawahi, ilikua nikizingua nae anaunga tela kunibutua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeh nilizingua kwa mshua kuwa nimeibiwa hela mzee akawa mkali ila bimkubwa akamtuliza.Bi mkubwa ndio alikutetea au...?
Bi mkubwa alikua anajua mpango mzima au...?Eeh nilizingua kwa mshua kuwa nimeibiwa hela mzee akawa mkali ila bimkubwa akamtuliza.
Alikua anajua nimeibiwa kweli.Bi mkubwa alikua anajua mpango mzima au...?
Ila angejua kuwa umefanyia mambo yako ya ajabu ungepata kipigo cha collaboration 🤣🤣🤣🤣Alikua anajua nimeibiwa kweli.
Alisema hafanyi vyote 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 so sadKuna binti nilikuwa namfukuzia wakati nipo primary darasa la sita, sasa akawa anachomoa. Siku moja naenda mtoni ilikuwa jumatano nikamwona peke yake anafua...
Sabuni ilikubeba.... Wewe😂😂😂Wakati naingia jikoni nikamkuta yule binti, mama yake na dada yake kumbe walishatangulia kutoa mashitaka.
Baada ya kuonekana nina kesi ya kujibu kwa tuhuma mbili...
Ulikua mtundu sana wewe... Duuuh 😳
🤣🤣🤣😂😂😂😂 Dah nimecheka kwa sauti aiseeeeSiyo kiasi hicho, usela tena wa kidato Cha pili. Sema wahenga wanasema baada ya dhiki faraja.
Kila nikimuangalia binti yangu ambaye sasa amenizidi urefu, Basi nabaki nacheka, nikikumbuka nilivyolala selo😀😀😀😀😀