Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
- Thread starter
- #41
HaaaAina yako ya uandishi ni halali udhurumiwe…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HaaaAina yako ya uandishi ni halali udhurumiwe…
Ndio maana nasema tusisingizea kila wanaotekwa ni CCM wanahusikaMtu aliniletea ukenge, nikamfanyia uMAMBA, nikamteka, nikamuhifadhi mtaani kwangu akaomba sana msamaha, ndani ya wiki atakuwa kalipa, kweli baada ya siku 2 akalipa, wakati deni langu lilikaa miaka miwili na kitu.
Ha ha ha, kumbe nyinyi ndo mnateka watu halafu mnasingizia geshi letu tukufu.Mtu aliniletea ukenge, nikamfanyia uMAMBA, nikamteka, nikamuhifadhi mtaani kwangu akaomba sana msamaha, ndani ya wiki atakuwa kalipa, kweli baada ya siku 2 akalipa, wakati deni langu lilikaa miaka miwili na kitu.
Alitekwa na mtu anayejulikana 😂🤣Ha ha ha, kumbe nyinyi ndo mnateka watu halafu mnasingizia geshi letu tukufu.
Kama ulimteka uchochoroni basi alitekwa na wasiojulikana.Alitekwa na mtu anayejulikana 😂🤣