Ulifanyaje ulipoachika?

Very eazy to overcome!!!!!Kua na mentality na postive ego ya kianaume kua wanawake wapo wengi atakuja mwingine!!!!Sawa bro
 
Kaka mwachi unadai mpaka shuka[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na yeye akikudai energy yake kwenye..............!!!Utasemaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji39]

Mbona ata mimi nimetumia enegy kubwa sana af kile kitu hatutakiwi kunyimana tungekuwa tunapeana kama kuku tu hanavyo peana
 
Sikuzote nasema bahati muda Mwingine uwapata wasio na haja nayo.Daaa,ni ningekutunza zaidi ya mtoto...hiyo pesa ya kupewa pasipo kuomba si angeuliza hata size ya kiatu uvaacho akusuprise laaziz.Ila ukome,mnajeuri sana wanaume😠
Santos06 tabu yote ya nini, hebu jiweke kwa bibie toyeye.. Ni mrembo haswaa, kwa comments zake naona anajali kabisa, moyo wake ni mgodi wa almasi japo wachimba chumvi wametia tia doa.

Tukae hapa mwanangu.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€œπŸ€œ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…