Ulifanyaje ulipoachika?

Mada nyingi za hivi siyo za wana ndoa
 
Mimi nimekua na mahusiano na single mother mmoja kuanzia mwezi October mwaka jana, mwezi tarehe 25 December akanambia ana mimba yangu, January mwanzon akanambia tuachane, nikamuuliza kuhusu mimba akasema sio yangu. Kwa kifupi wanawake sio kabisa.
 
Ulikua great marioo in town
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…