Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naombea asinitafute pengine nikapata faraja Kwa mtoto wa jf Evelyn SaltIkifika hadi kwesho mida kama hii hajakutafuta hebu niwhatsapp tuone tunafanyaje......
Ninazo za munishi namskiza pastor munishi maleboNina collection yangu ya nyimbo za Abiudi Misholi. Nikilimwa kibuti ndio naziskiliza, zinanijaza stress mara 100 za mabo kibao hadi nasahau stress za mwanzo.
Unabando nikurushie?😅
Kabisa yaanKwenye miti siku zote hakuna wajenzi.
Kuna mfano wa yesu alipoenda nadhani alipozaliwa alikuwa amepanda farasi ,alipofika kwao akapokelewa kwa shangwe sana huku akitandikiwa khanga chini. Sasa Punda akaona na yeye siku aende huko peke yake alipigwa na bonge la suprise,hakuna aliyemshobokea hata chembe.
Wanawake wakiwa kwenye ndoa ikiwa inaenda vizuri ,watajitokeza mamarioo/masela mavi kumpeti peti na kumrubuni kwa akili ya marioo/masela mavi wanaona wakimrubuni na kumpata watapa fedha kutoka kwake na yeye mwanamke pasipo kutumia akili anaona anapendwa sana na mario/msela ,sasa kijichanganya akamuachia mashine basi hapo anakuwa ashavuruga ndoa na akishavuruga masela/mario wanamkimbia maana wanaona atakuwa mzigo.
Kabisa dear,wanajua kusema tu I love youHuyo hakupendi Santons na muache aende tu utapata chaguo lako lililo sahihi
Kupata mwanaume ambaye humuombi pesa anayejua wajibu wake kama wewe unampa tu sababu unajua ana mahitaji yake ni wachache sana
🤣🤣🤣🤣Sikuzote nasema bahati muda Mwingine uwapata wasio na haja nayo.Daaa,ni ningekutunza zaidi ya mtoto...hiyo pesa ya kupewa pasipo kuomba si angeuliza hata size ya kiatu uvaacho akusuprise laaziz.Ila ukome,mnajeuri sana wanaume😠
Basi ushajilipa mkuu, mbaya ni kuwa hujasuuza rungu na umetoswaNasuuza sana tu
Pisi sio romantic,Hana shukrani🚮
Kabisa,wanaume huridhika na vitu vidogovidogo mno🤣🤣🤣🤣
Angekuwa anadanganyia danganyia na vizawad uchwara huenda angekula zaid ya hyo lakii.
Hahahahahah tafta ka vvti uinjoy maisha achana na li D4 hiloKama kale la Toyota kanakokula mafuta sana😂
😂😂😂😂😝🙌Amna hua tunaona mnatuenjoy Sasa Nan aridhike na saa ya afutatu