Ulifikiria nini kujibatiza username unayoitumia JamiiForums

Ulifikiria nini kujibatiza username unayoitumia JamiiForums

amu ni herufi za mwisho za jina langu
lile jingine kwa sababu wakat nasoma nilikuwa mambo mengi kama unga wa ngano so watu wa karibu wakanipa hilo jina mwanzo niliwamind bt limekua mpaka sasa wengine wamesahau jina langu and am prod to be....
 
S- inawakilisha jina langu I- la baba M-la babu
 
Simple ni kwamba,ni jina la mti ambao unazaa tunda linaloitwa Shuza,mti huu habari yake si mchezo! Lakini mimi ni the second!
 
Back in 2003, Mr. Bruse alishindwa kutamka jina langu la ukoo akaishia kuita Mr. Miela n my friend wakalifurahia zaidi
 
kutokana na hali hali ya maisha yangu na watz walio wengi(slumdweller one who living in slum)hii kwang ni kama self motivation,inanipa hasira ya kupambana zaid so as to move frm slum to good place(residental),i hate those living fake life.ndo nkajiita hiv
 
>Slumdweller.....>What will change your life is time to save money or to spend,time to work or rest,time for self motivation or laziness and more other related issues.If you will learn to manage time for securing opportunities,maximize profit and avoid risk then,fruits of your handjob is constant.
 
of coz,GANDAGUMU everythin is possible bila kusahau ibada n usin time wisely n money also!!!
 
Wakuu,kwanza nikiri wazi kwamba JF siyo tu mtandao wa kupashana habari na kuongeza uwezo wa kujenga hoja kinzani lakini pia,ni moja kati ya sehemu inayonipa raha hata ninapokuwa na stress kutokana na shughuli za kila siku. Leo napenda tuchangie mada hii iliyonifanya nicheke baada ya kutathmini baadhi ya majina ambayo watu wanayatumia hapa JF mfano Mbogo,Popobawa,Gandagumu,Mtimkavu,Mcameroon,kitimoto n.k Binafsi nilipojibatiza jina la Gandagumu ilikuwa ni kuendeleza kumbukumbu ya itikadi ya U-hardcore niliyokuwa nayo sekondari miaka mingi iliyopita.Niliamini katika kujikaza na kupambana kuyafanya yale ambayo wengi wanashindwa kuanzia lifestyles,mtazamo,maamuzi,mahusiano na weledi...! |Je,wewe ulifikiria nini ulipojibatiza jina unalolitumia hapa JF?

ma name is ma nick..
 
Nina mdogo wangu ambaye ninampenda sana ndo nikaona awe ananiwakilisha jf
 
Kwenye vuguvugu la uchaguzi Mdogo Jimbo la Igunga, baada ya mkulu mmoja Wa Chama la mbogamboga kutoroka Kazi, CCM Na washirika wake waliropoka matamko mengi sana, oo CDM ni Chama la kidini so msikifuaye....oo CDM ni Chama la kaskazini latafuta Nini huku, hawakuishia hapo CCM manyoka kwelikweli wakapiga debe Na kufanya uchonganishi Mbaya sana wa kidini hadi jamaa wakatoa Matamko Ooo wananihii wote wasikiunge mkono CDM Kwa kuwa kimemvua Mtu nanihii Basi vurugu ya matamko Kwa kwenda mbele.. Mpaka wananiliu wale wakasema CDM imemkong'oli mwanamke mwenzio so mambo ya Gender yachukue mkondo wake ilimradi mwendo Wa matamko ulitawala..

Mbali Na matamko Yaliyozaa matokeo CCM 26266. CHADEMA 22443
Tofauti ya Ushindi mwembamba wa kura 3,823..

Kama Matokeo yako hivyo Na uchaguzi umepigwa chini Sasa ngoma inageuka ni Kuchapa CCM matamko kwenda mbele tena ya Ukweli .. Ni MATAMKO TU tukianza Na hili la mafisadi Kama Kinana.. Sijui watajificha wapi this time..
 
nalipenda jiji la mwanza na mara ya kwanza kwenda mwanza na kuona ile miamba nilirudi na kuja kujisajili na jina rocky
 
i like wisdom, napenda niongee maneno ya hekima nikaona ni lazima niwe na sauti ya hekima wakati na mahali pote "voice of wisdom" likawa ndo jina litakalo nipa movivation ya kuongea hekima wakati nj mahali pote
 
Wa kusoma said:
Naamini kabisa Elimu haina mwisho.[......bila shaka JF tutakuwa na kina Elimu ni nuru,elimu ni ufunguo...elimu ni Mulugo!
 
Yaani kazi kweikwei, Iam a very new member of the Jamii forum, please guide me whenever you think Iam doing it the wrong way thanks. Back to the topic. Wakati nafikiria jina la kutumia kwenye JF niliwawaza sana watu ambao huanzisha uchokozi / ugomvi / maada. Wale ambao kwa kufahamu au kutokufahamu huongea mambo, hujitapa, tutashinda baadaye kuishia pabaya. mfano chama fulani cha siasa kinajitaidi kweikwei kurudisha imani kwa wananchi kwa maneno matamu lakini wananchi wako kimya tu. Wasubiri 2015 labda ufisadi ufanyike zaidi ya ule wa Syria. Wananchi wakishachoka-Ufashe mlibhona:israel:
 
Yaani kazi kweikwei, Iam a very new member of the Jamii forum, please guide me whenever you think Iam doing it the wrong way thanks. Back to the topic. Wakati nafikiria jina la kutumia kwenye JF niliwawaza sana watu ambao huanzisha uchokozi / ugomvi / maada. Wale ambao kwa kufahamu au kutokufahamu huongea mambo, hujitapa, tutashinda baadaye kuishia pabaya. mfano chama fulani cha siasa kinajitaidi kweikwei kurudisha imani kwa wananchi kwa maneno matamu lakini wananchi wako kimya tu. Wasubiri 2015 labda ufisadi ufanyike zaidi ya ule wa Syria. Wananchi wakishachoka-Ufashe mlibhona:israel:
 
Nimekuelewa Ufashe mlibhona,bila shaka unawazungumzia wale wanaowadanganya watu eti chama wanakirudisha mikononi mwa wananchi kwa kumchagua makamu mwenyekiti (mkulima wa nyanya) , wamesahau walitudanganya eti kiranja wa mawaziri ni mtoto wa mkulima...tukamshuhudia akilia bungeni badala ya kutoa maamuzi lol.
 
Back
Top Bottom