Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Hakuna shida.Ukifa ndugu wanabaki wanagombania urithi usijibane sana mpaka ukapitiliza sio vizuri utakuja kuwa tajiri bali sana ujue
Mali ya wizi anaeuza hamjui anaemuuzia (muhimu yeye apate hela yake)Kama hutojali taratibu za kununua ili usije ingia kwenye mtego wa kununua Mali ya wizi hua una verify vipi au ni security gani hua wachukua just incase yakienda kombo urudi kuwakamata wahusika , nimeielewa sana hii , nataka zama humo , ila nimeona ni vyema kwanza nijue upande huu nisije jikuta segerea
Nilitaka kusema hivi nikapita kimya tu. Mtu ananunua Coaster 45-50m jioni analetewa 100,000/- !Maisha haya! Input yako ya ntaji mbona haiendani na output ya faida?
Mimi niliwekeza milion 1.9 na kila siku nikawa natengeneza net profit ya 300k kwa miezi kadhaa!
Mkuu umejibu lakn umekwepa hapo hapoMali ya wizi anaeuza hamjui anaemuuzia (muhimu yeye apate hela yake)
hivyo ikitokea muuzaji kadakwa huko kaambiwa twende ulikouza Kitu flani.
Unataka kusema huu ni uwekezaji wa ovyo?Nilitaka kusema hivi nikapita kimya tu. Mtu ananunua Coaster 45-50m jioni analetewa 100,000/- !
Mkuu umejibu lakn umekwepa hapo hapo
Mimi nataka niwe nanunua piki piki kwa mtu then nauza , katika kufanya biashara ya hivi matukio yà kuuziwa pikipiki ya wizi mtu anaweza kutana nalo
Swali langu ndio liko hapo
Wewe umejiwekea mfumo upi wa kukwepa kununua pikipiki ya aina hii , sijui umenipata ? Au ni njia ipi hua watumia kuthibitisha Kwamba pikipiki unayouziwa ni Mali ya huyo anae kuuzia na sio imepigwa mahali
Nimewahi sana na nikihisi tu ni cha wizi huwa nina team yangu ya manunuzi (sinunui mimi)
nawatonya wanakuja,nawapa hela wananunua kisha wanasepa,muuzaji hatojua kama n mimi
nimenunua na team yangu ya manunuzi haikai mtaa niliopo hao wanakuja kwa case maalum tu
Hapana. Ni kwamba siko tayari kuweka 45m ili nipate 100,000/- kwa siku.Unataka kusema huu ni uwekezaji wa ovyo?
Ooh oksoma hili jibu langu hapa[emoji116][emoji116] taratibu na kwa makini utajua nakwepaje kununua hiyo pikipiki direct toka kwa muuzaji
Kuna watu wanawekeza zaidi ya 50m kwenye ujenzi wa nyumba kusubiri 300k-500k kwa mwezi.Hapana. Ni kwamba siko tayari kuweka 45m ili nipate 100,000/- kwa siku.
[emoji28][emoji28]io m45 nipe em ninywee supu hapa kwa mm ntilie.Hapana. Ni kwamba siko tayari kuweka 45m ili nipate 100,000/- kwa siku.
Heri yao ila mimi siko tayari kufanya hivyo.Kuna watu wanawekeza zaidi ya 50m kwenye ujenzi wa nyumba kusubiri 300k-500k kwa mwezi.
Aliyewekeza 45m kwenye coaster ni hela ya wiki 1 tu hiyo.
Wanacheza na %! Samahani ndugu naomba nifafanulie hapa umemaanisha nini?VICOBA = Village Commercial Bank...
Nakushauri bora pesa yako ukainvest sehemu au uingie partnership au ununulie ata shares kama una knowledge na hivyo vitu kuliko uko Kwenye VICOBA na masaccos,uko ujanja mwingi watu wanacheza na % tu..
Like seriously.... genge la mbogamboga anauza 800K kwa siku ?Ndiyo hivyo. Shida kubwa watu wengi wakienda shule kidogo anaona biashara za mtaani ni kama kushika uchafu. Kuna kijana mmoja mwalimu s/msingi wa kichaga alipanga chumba kwetu akaona fursa akafungua genge la mbogamboga hapo nje kalitengeneza kwa mabanzi tu ya kawaida. Saizi anauza laki 8 kwa siku. Tunataka kuanza kumtoza kodi lakini tunajishtukia kwa aibu, coz ni kasehemu ambacho wala hatukujua kuwa ni potential. Sasa mwambie graduate wa Mzumbe au Udsm afungue genge.
Hongera mkuuNilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!!nikazama kwenye taasis fulani hivi nikakopa 18.M net!! So 18.M+14M= 32.M. Nikaagiza toyota hiace 2RZ toka Japan ambapo costs za kuagiza na usajili ilini-cost 25.M kwa kipindi hicho!!Chuma kipo road kinapiga route ya Mlowo-Tunduma per day naingiza 60,000/=!!take 60,000/=×30=1,800,000/=!!Serikalini nilishaacha kazi yao na chuma nakisimamia miimi mwenyewe!!Kwa hy kuna njia nyingi za kupata hiyo 10.M ingawa sio mchezo.
Hiyo hiace IPO barabarani kila siku? Hamna service?Nilifanya biashara moja hivi ya hatari nikapata mtonyo wa 8.M faster,then nikaurudia huo mchongo nikapata 6.M faster!!jumla nikawa na-tatol ya Tsh.14.M kwa account!!kipindi hicho nilikuwa sidaiwi popote pale Tz!!nikazama kwenye taasis fulani hivi nikakopa 18.M net!! So 18.M+14M= 32.M. Nikaagiza toyota hiace 2RZ toka Japan ambapo costs za kuagiza na usajili ilini-cost 25.M kwa kipindi hicho!!Chuma kipo road kinapiga route ya Mlowo-Tunduma per day naingiza 60,000/=!!take 60,000/=×30=1,800,000/=!!Serikalini nilishaacha kazi yao na chuma nakisimamia miimi mwenyewe!!Kwa hy kuna njia nyingi za kupata hiyo 10.M ingawa sio mchezo.
Biashara gan hiyo?Maisha haya! Input yako ya ntaji mbona haiendani na output ya faida?
Mimi niliwekeza milion 1.9 na kila siku nikawa natengeneza net profit ya 300k kwa miezi kadhaa!
Hiyo hiace IPO barabarani kila siku? Hamna service?
vizuri sana na tena jiweke mbali kabisa usije sema hukushauriwaOoh ok
Ww unanunua , Mimi sitaki kabisa kujihusisha Nazi
Poa poa
😂Ila kusave Kuna itaji moyo Kuna kipindi natembea uchi maana mchezo wa Kila siku hata chupi unashindwa kununua.ila chupi kitu gani bwana???