Uliishawahi kuusikia uchawi au ushirikina huu?

Uliishawahi kuusikia uchawi au ushirikina huu?

Hayajakukuta wewe na kama haujafanyiwa hayo mambo wewe ni wa kawaida tu hapa duniani hauna maajabu yoyote.
Mimi nina nguvu za ki Mungu ndani yangu nalogwa vipi? Ww ukiwa wa shetani lazima mpambane na mashetani wenzako ambayo upo ndani yao.!! Ukihisi hauko sawa nitafute nikusaidie, hii ni ukweli sio jokes
 
Wachawi shikamooni! Dada mmoja mtanashati hata ajirembe namna gani, kila akienda hasa sehemu za sherehe yale mainzi matatu makubwa ya chooni yanamfuata mgongoni.
 
Wachawi shikamooni! Dada mmoja mtanashati hata ajirembe namna gani, kila akienda hasa sehemu za sherehe yale mainzi matatu makubwa ya chooni yanamfuata mgongoni.
Unakula chuma mzee unatulia. Mzee wangu kajiapiza kwamba yeyd ndo kila kitu kwenye maisha yangu nimemkataa muda huohuo kwa kujitwika roho ya kiungu

Hata kama mambo yangu hayaendi, siwez kumpa kipaumbele mtu kama huyu
 
Back
Top Bottom