PM yangu iko wazi Mkuupls nbox Nina jambo langu mkuu
You make me wanna πππAna blah blah nyingi mdomoni huyo
Unaweza kusoma maandishi yake Na kuyaacha Na kuyaacha kama yalivyoAna blah blah nyingi mdomoni huyo
Mimi nina nguvu za ki Mungu ndani yangu nalogwa vipi? Ww ukiwa wa shetani lazima mpambane na mashetani wenzako ambayo upo ndani yao.!! Ukihisi hauko sawa nitafute nikusaidie, hii ni ukweli sio jokesHayajakukuta wewe na kama haujafanyiwa hayo mambo wewe ni wa kawaida tu hapa duniani hauna maajabu yoyote.
We huogopi kunikiss dada yako?? π€£You make me wanna πππ
We nawe acha kuchukulia vitu serious, na Manyanza tunajuana. Halafu ww mzee imani ya uchawi umekuingia kwenye damu mpk unaonyesha mihemko kwa vitu vya kuvipotezea.Unaweza kusoma maandishi yake Na kuyaacha Na kuyaacha kama yalivyo
π π π πSawa..lisemwalo lipo kama halipo...........
Unakula chuma mzee unatulia. Mzee wangu kajiapiza kwamba yeyd ndo kila kitu kwenye maisha yangu nimemkataa muda huohuo kwa kujitwika roho ya kiunguWachawi shikamooni! Dada mmoja mtanashati hata ajirembe namna gani, kila akienda hasa sehemu za sherehe yale mainzi matatu makubwa ya chooni yanamfuata mgongoni.