Ulijifunza kuendesha gari ukiwa na umri gani?

Ulijifunza kuendesha gari ukiwa na umri gani?

Wewe mwezi hutoboi utakuja kuleta uzi hapa kwa kupoteza mtoto naomba uscreen shot huu uzi,mwezi huu hutoboi
KInachokusumbuwa ni wivu na hasira yako. Pole kwakuwa unasumbuliwa na umasikini. Jitahidi watoto wako wasije kujuta badae
 
Umri huu naitafuta 50 yrs nikawe limbukeni wa magari. Pole kwakuwa kama wazee wa zamani akienda kazini anaficha mpaka remote ya TV. Punguza hasira na chuki uishi maisha marefu. Kwa ujinga wako unadhani kuna mzazi anapenda kumpoteza mtoto wake?
Ulimbukeni hauna umri miaka 50 ulitakiwa kutambua kuwa mtoto wa 2012 hatakiwi kuendesha gari,waliosema leseni miaka 18 sio wajinga,Acha ubishi zingatia ushauri wangu,hiyo sio baiskeli
 
😂😂😂😂 mkuu mimi ni kama wewe...nimeamua kwanza niende driving gari litafata 🤣
mwenyewe nna mpango wa kwenda driving aisee, Unaweza kuokota gari afu ushindwe kusepa nalo
 
Hii kisheria imeakaaje mkuu? Hatuombei mabaya ila kwa nia njema je akipata ajali akiwa anaendesha utaziambiaje Mamlaka?

Mi dogo simruhusu kabisa kuendesha japo anang'ang'ania na ana miaka 13 yupo form 2 sasa.
Sheria gani bhn Acha woga ....mbona kina yamal wanaendesha magari ulaya hio ni perception yako Tu,Kukua sio swala la umri ni swala la akili
 
Nilijifunza kuendesha gari nikiwa na miaka 14 nilijifunzia kwenye Fiat mkasi juu mkasi chini
 
Usizuge. Kama huamini watoto wanaanza shule wakiwa na miaka 5 na kumaliza wakiwa na 11 basi We huna ujuacho hapa duniani zaidi ya kuiba maembe na ndizi za watu hapo mjini.
Mbona povu unajijua hata chembe mpaka uropoke utumbo hapa? Unajidhalilisha na ni aibu mtu kama wewe kujiita eti una watoto
 
Nilijifunza kuendesha gari mtaani nikiwa na 25yrs..lakini haikuwa manual,siku moja nikaendesha manual...saa ngapi sijapiga kitu chini,matairi juu
 
17
Kunae best angu yeye alikua anachukua gari ya kwao, ndo nikajifunzia humo.

Kukanyaga mafuta ni kutamu hatari, afu ukute ndinga imenyooka.
Oooh nomaaa!!
 
Back
Top Bottom