kaa chini
JF-Expert Member
- Jun 4, 2022
- 1,935
- 4,048
Chai kivipi wakati mwangangu ana miaka 12 yuko form one means mwakani November atafikisha 13 akiwa anaikimbia form two, au unadhani watoto wa sasa wanasoma wakiwa wazee kama enzi zetu, second born wangu ana miaka 7 mwaka huu amengia class 3Miaka 13 form two? Sio chai hii