Tumbili wa mjini
JF-Expert Member
- Nov 2, 2024
- 1,125
- 2,233
- Thread starter
- #81
Angalia wengine mapididyBei ya kujifunza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia wengine mapididyBei ya kujifunza
Umri wako tafadhaliSie wa kijijini tukae pembeni.
Kiukweli mwaka huu ndo nataka nijifunze na nipate leseni pia.
Msiniponde natoka familia masikini
38,mtoto wa kimasikini.Usinicheke kakaUmri wako tafadhali
Si naangalia na kichwa chako?Hahahaaa mtego huo
Siku tatu naweza nikawa nimeelewa maana nina experience kidogo japo sijawah kugusa stelingSi naangalia na kichwa chako?
Sasa nikila hela halafu ukawa mzito kuelewa si nitajuta
Mie gari namfundisha mtu siku tatu tu, tofauti na hapo kichwa cha mwanafunzi ni kizito
Na huwa napenda sana kujifunza manual(mambo ya kuvunja gia)Si naangalia na kichwa chako?
Sasa nikila hela halafu ukawa mzito kuelewa si nitajuta
Mie gari namfundisha mtu siku tatu tu, tofauti na hapo kichwa cha mwanafunzi ni kizito
HahahahaaaaaAngalia wengine mapididy
Automatic usiharibu muda kujifunza tumia simu uongie YouTube baada ya hapo chukka Gari u practiceNa huwa napenda sana kujifunza manual(mambo ya kuvunja gia)
Hata mimi napenda manual,maana aliyejifunza auto hawezi kuendesha manual ila wa manual anaendesha autoAutomatic usiharibu muda kujifunza tumia simu uongie YouTube
Pikipiki najua kuendeshaMimi sikujifunza Ila nilikuwa nafata kanuni tu
Pikipiki na gari nilipewa kanuni gari nazungumzia Gari zetu automatic car.
Ufanye we na nani? Mtoto anyeanza p1 akiwa na miaka 5 atakuwa form 2 akiwa na miaka mingapi?Au sio basi tufanye ana miaka 9
Mwenzio Tumbili wa mjini anabisha mtoto wa miaka 13 kuwa form 2. Sasa kama wako wa miaka 12 ni form 1 akiwa form 2 atakuwa na miaka mingapi?Nikiwa na 24 nilikuwa naendesha, lakini mwanangu ana miaka 12 yuko kidato cha kwanza anaendesha vizuri tu anatupeleka kanisani na kurudi pia shuleni kwa wadogo zake, ila umri wa leseni bado hivyo mjini haendi
Mwenzio Tumbili wa mjini anabisha mtoto wa miaka 13 kuwa form 2. Sasa kama wako wa miaka 12 ni form 1 akiwa form 2 atakuwa na miaka mingapi?Nikiwa na 24 nilikuwa naendesha, lakini mwanangu ana miaka 12 yuko kidato cha kwanza anaendesha vizuri tu anatupeleka kanisani na kurudi pia shuleni kwa wadogo zake, ila umri wa leseni bado hivyo mjini haendi
Bora wewe mie 40+ siijui hata break iko sehem gani[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Mm nna 30 na sijui kuendesha
Basi nilichelewa shule kwa umri wa 13 nilikua la sitaMwenzio Tumbili wa mjini anabisha mtoto wa miaka 13 kuwa form 2. Sasa kama wako wa miaka 12 ni form 1 akiwa form 2 atakuwa na miaka mingapi?
Mwanangu alianza shule akiwa na miaka 5 na sasa anamiaka 13 yupo form 2 ila jamaa yako anabisha na anasema ni chai. 😀😀😃😄
Au sio kauze madafuUfanye we na nani? Mtoto anyeanza p1 akiwa na miaka 5 atakuwa form 2 akiwa na miaka mingapi?
Sasa kama hiko kitu kidogo hujui. Unajua nini humu duniani?