Hubble Telescope
JF-Expert Member
- Jan 30, 2025
- 426
- 527
Since 1995 nikiwa na miaka 19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Azima hata ya shem akufundishe gariSiwezi kujibu nyuzi za kimasikini kama hizi , naomba ukija wa Ndege Mnitag...
Hii kisheria imeakaaje mkuu? Hatuombei mabaya ila kwa nia njema je akipata ajali akiwa anaendesha utaziambiaje Mamlaka?Nikiwa na 24 nilikuwa naendesha, lakini mwanangu ana miaka 12 yuko kidato cha kwanza anaendesha vizuri tu anatupeleka kanisani na kurudi pia shuleni kwa wadogo zake, ila umri wa leseni bado hivyo mjini haendi
Miaka 13 form two? Sio chai hiiHii kisheria imeakaaje mkuu? Hatuombei mabaya ila kwa nia njema je akipata ajali akiwa anaendesha utaziambiaje Mamlaka?
Mi dogo simruhusu kabisa kuendesha japo anang'ang'ania na ana miaka 13 yupo form 2 sasa.
35 juu ya hapo unatafuta lawama kwa watumiaji wengine wa barabaraKujifunza mwisho miaka mingapi?
Unapendelea huo uzi uwe wa Boeing au zile Bombadia nyembamba kama mkojo wa asubuhi?Siwezi kujibu nyuzi za kimasikini kama hizi , naomba ukija wa Ndege Mnitag...
Itakuwa ni "chai-maharage"!Miaka 13 form two? Sio chai hii
Hata kuwaendesha binadamu hujui mkuu?Inatosha.Nina 45 na sijui kuendesha
Kuna shida!? 😀
Hapo wamesema Gari sio binadamu au sijasoma vizuri😀Hata kuwaendesha binadamu hujui mkuu?Inatosha.
Sentensi za kikubwa hizo.Soma kwa umakini.Hapo wamesema Gari sio binadamu au sijasema vizuri😀
Nina 37 na wala sijaliMm nna 30 na sijui kuendesha
Nunua mikate unywe mkuu maana inaonekana hujanywa chai. Ulitaka awe na miaka mingapi mkuu ili awe form two?Miaka 13 form two? Sio chai hii
Twendelee na mengineSentensi za kikubwa hizo.Soma kwa umakini.
Hata ndotoni haujawahi kuendesha imutukaa?Nina 37 na wala sijali
Mapema sana kabla hata ya kufikisha umri wa kuendesha gari na nilijifunza kwa kuendesha gari manual suzuki samurai, dahtsun na landrover 110.
Waaapi.. ila ndege naendesha ndegeHata ndotoni haujawahi kuendesha imutukaa?
Tesla unakaa tu huku unabukua gazeti.Ila kama ni mbaula bedford,isuzu au la wasomali fiat lazima jasho litiririke.Twendelee na mengine
Hivi Gari huwa wanajifunza au unakaa tu na kuanza kwenda mzee
FIAT ndio mbaula mzee. Umenikumbusha mbali sana. Ili vizuri jua likiwa kali unapaswa kuwa kifua wazi😀Tesla unakaa tu huku unabukua gazeti.Ila kama ni mbaula bedford,isuzu au la wasomali fiat lazima jasho litiririke.