Ulijipata kimaisha ukiwa na miaka mingapi?

Nilijipata nikiwa na 22,nikalost nikiwa 32,sahivi nipo 37 bado sijarudi kwenye game,nimebaki na nyumba,pikipiki na mtoto mmoja.Mapambano yanaendelea till end of time
 
Nilijipata nikiwa na 22,nikalost nikiwa 32,sahivi nipo 37 bado sijarudi kwenye game,nimebaki na nyumba,pikipiki na mtoto mmoja.Mapambano yanaendelea till end of time
dakika ya 22' ulikia unaongoza 2 - 0 mara paap dakika ya 32' 2 - 1

dakika ya 37' bado tupo katika kipindi cha kwanza cha mchezo
 
Exactly ni kweli hilo suala kwa sababu utoboaji wa maisha kwa ufupi tunatofautiana ndo maana kuna madaraja, hivyo tunaomba kweli njia moja wapo ambayo ilikuwa best mpaka wewe umefika hapo ulipo
Njia zipi ulipita tupe experience au kuna namna watangulizi wako walikuwa financially stable ukatengenezewa njia tangu upo mdogo wakakukabidhi ulivyojitambua.

Hebu tupe uzoefu mkuu share nasie tuone wapi tulikwama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…