Ulijipata kimaisha ukiwa na miaka mingapi?

Ulijipata kimaisha ukiwa na miaka mingapi?

Mi nilijipata nikiwa na miak 21 and now nina 29 so nina nyumba mbili moja iko tabora nyengine Dar kigamboni kule karibu na namiliki gari mbili moja ya biashara nyengine ya kutembelea na biashara zangu ziko kariakoo kilichobaki n kuoa tu ndo sijakamilisha
Mkereketwa wa NAZI naomba uje utupe darasa kuhusu hatua za kufikisha malengo na vitu vya kuepuka katikati huu umri 20-30
 
Back
Top Bottom