The ice breaker
JF-Expert Member
- Apr 20, 2023
- 880
- 1,985
Nina afya njema
Ila kiuchumi Bado Ovyo
Ila kiuchumi Bado Ovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁😁 tungi natumia ila kiasi tu.Kumbe upo vizur nilijua ni mwendo wa tungi😂😅
Mkereketwa wa NAZI naomba uje utupe darasa kuhusu hatua za kufikisha malengo na vitu vya kuepuka katikati huu umri 20-30Mi nilijipata nikiwa na miak 21 and now nina 29 so nina nyumba mbili moja iko tabora nyengine Dar kigamboni kule karibu na namiliki gari mbili moja ya biashara nyengine ya kutembelea na biashara zangu ziko kariakoo kilichobaki n kuoa tu ndo sijakamilisha
Acha uchoyo mkuu njoo utupe elimuTaarifa zangu mta zikuta forbes
Fanya mchakato uache kabisa😁😁😁 tungi natumia ila kiasi tu.
afya njema ni asset ya kwanzaNina afya njema
Ila kiuchumi Bado Ovyo
Sponsored
UongoUnaweza ukajipata ukiwa chuo tena kwa pesa ya boom ukiwa timamu na uchumi.
Njia zipi ulipita tupe experience au kuna namna watangulizi wako walikuwa financially stable ukatengenezewa njia tangu upo mdogo wakakukabidhi ulivyojitambua.
Hebu tupe uzoefu mkuu share nasie tuone wapi tulikwam
Sawa.Uongo
Kweli kabisaMkuu we jua tu hivo hayo mengine ni Siri ya kambi
Sass wee unaoa ili iweje tena?Mi nilijipata nikiwa na miak 21 and now nina 29 so nina nyumba mbili moja iko tabora nyengine Dar kigamboni kule karibu na namiliki gari mbili moja ya biashara nyengine ya kutembelea na biashara zangu ziko kariakoo kilichobaki n kuoa tu ndo sijakamilisha
Tumalize kwanza mwaka tukianza mpya sigusi kabisa😁Fanya mchakato uache kabisa
Na kusiache kugegegdana...tugegedane jamani ndio raha ya maishaTusiache kunywa bia jamani.....tule bia tule bia
bila shaka sasa hivi una miaka 44